Kikwete wa 10 barani Afrika

Comparison under which criteria? corrupt? bueaty? or...improving people's life (health, education, poverty...)?
 
Kwani hamjui na hao wanaofanya tafiti wanaandika ili na wao wakalambe miguu ya hao jamaa. Sasa mbona na mshikaji wake wa Bondeni hamshangai amepataje wa sita sijui wakati kila kosa mbaka na kubaka analo. Nyie bwana acheni utani huyu mjamaa ni wa mwisho tu ila tu appearance labda mpaka na watafiti wanakoshwa nalo. Angekuwa Slaa hapa mpaka namba mbili au mmoja angeshika kwa performance yake
 
RAIS Jakaya Kikwete ni wa 10 kati ya viongozi 52 wa Afrika kwa kuchapa kazi katika mwaka 2010 kwa mujibu wa jarida la East African.

Katika toleo lake la Desemba 27, 2010 hadi Januari 2 mwaka huu, jarida la East African limetoa orodha yake kulingana na ufanisi wa marais wa Afrika katika nyanja mbalimbali za maendeleo kwa mwaka 2010.
Kwa mujibu wa jarida hilo, aliyeshika nafasi ya kwanza kwa ubora ni Waziri Mkuu wa Mauritius, Navinchandra Ramgoolam, akifuatiwa na Rais wa Jamhuri ya Cape Verde, Pedro Verona Rodriques Pire.

Nafasi ya tatu imeshikwa na Rais wa Botswana, Seretse Ian Khama wakati ile ya nne imeshikwa na Rais wa Ghana, John Evans Atta Mills.

Wengine waliofuata ni Hifikepunye Pohamba wa Namibia (wa tano), Jacob Zuma wa Afrika Kusini (wa sita), James Michel wa Shelisheli (wa saba), Amadou Toure wa Mali (wa nane) na Ernest Bai Koroma wa Sierra Leone (wa tisa).

Baada ya Jakaya Kikwete wa Tanzania kushika nafasi ya kumi, anayefuata ni Ellen Johnson-Sirleaf wa Liberia (11) na Rupiah Banda wa Zambia (12).

Walioshika nafasi za mkiani ni Robert Mugabe wa Zimbabwe (47), Sheikh Ahmed wa Somalia (48), Idriss Deby Itno wa Chad (49), Teodoro Mbasogo wa Equatorial Guinea (50), Omar Al-Bashir wa Sudan (51) na Isaias Afweriki wa Eritrea aliyeshika nafasi ya mwisho.

Gadbo wa Ivory Coast yuko nafasi ya ngapi?
 
RAIS Jakaya Kikwete ni wa 10 kati ya viongozi 52 wa Afrika kwa kuchapa kazi katika mwaka 2010 kwa mujibu wa jarida la East African.

Katika toleo lake la Desemba 27, 2010 hadi Januari 2 mwaka huu, jarida la East African limetoa orodha yake kulingana na ufanisi wa marais wa Afrika katika nyanja mbalimbali za maendeleo kwa mwaka 2010.
Kwa mujibu wa jarida hilo, aliyeshika nafasi ya kwanza kwa ubora ni Waziri Mkuu wa Mauritius, Navinchandra Ramgoolam, akifuatiwa na Rais wa Jamhuri ya Cape Verde, Pedro Verona Rodriques Pire.

Nafasi ya tatu imeshikwa na Rais wa Botswana, Seretse Ian Khama wakati ile ya nne imeshikwa na Rais wa Ghana, John Evans Atta Mills.

Wengine waliofuata ni Hifikepunye Pohamba wa Namibia (wa tano), Jacob Zuma wa Afrika Kusini (wa sita), James Michel wa Shelisheli (wa saba), Amadou Toure wa Mali (wa nane) na Ernest Bai Koroma wa Sierra Leone (wa tisa).

Baada ya Jakaya Kikwete wa Tanzania kushika nafasi ya kumi, anayefuata ni Ellen Johnson-Sirleaf wa Liberia (11) na Rupiah Banda wa Zambia (12).

Walioshika nafasi za mkiani ni Robert Mugabe wa Zimbabwe (47), Sheikh Ahmed wa Somalia (48), Idriss Deby Itno wa Chad (49), Teodoro Mbasogo wa Equatorial Guinea (50), Omar Al-Bashir wa Sudan (51) na Isaias Afweriki wa Eritrea aliyeshika nafasi ya mwisho.

Kuonekana tu anachaa kazi au kwa kuima matokeo ya uchapaji kazi huo? Watanzania tumenufaikaje, hali zetu zimeboreka au imekuwa from bad to worse?
 
Yaania hawa jamaa nao wamegundua kuwa mkwere anapenda ujiko basi nao wamempandisha chati ili watuibie zaidi!!!
 
They r feeding us what they want us to believe n think its the right one. Angalia kila unacho soma co lazima ukiamini kama msaafu.
 
RAIS Jakaya Kikwete ni wa 10 kati ya viongozi 52 wa Afrika kwa kuchapa kazi katika mwaka 2010 kwa mujibu wa jarida la East African.

Katika toleo lake la Desemba 27, 2010 hadi Januari 2 mwaka huu, jarida la East African limetoa orodha yake kulingana na ufanisi wa marais wa Afrika katika nyanja mbalimbali za maendeleo kwa mwaka 2010.
Kwa mujibu wa jarida hilo, aliyeshika nafasi ya kwanza kwa ubora ni Waziri Mkuu wa Mauritius, Navinchandra Ramgoolam, akifuatiwa na Rais wa Jamhuri ya Cape Verde, Pedro Verona Rodriques Pire.

Nafasi ya tatu imeshikwa na Rais wa Botswana, Seretse Ian Khama wakati ile ya nne imeshikwa na Rais wa Ghana, John Evans Atta Mills.

Wengine waliofuata ni Hifikepunye Pohamba wa Namibia (wa tano), Jacob Zuma wa Afrika Kusini (wa sita), James Michel wa Shelisheli (wa saba), Amadou Toure wa Mali (wa nane) na Ernest Bai Koroma wa Sierra Leone (wa tisa).

Baada ya Jakaya Kikwete wa Tanzania kushika nafasi ya kumi, anayefuata ni Ellen Johnson-Sirleaf wa Liberia (11) na Rupiah Banda wa Zambia (12).

Walioshika nafasi za mkiani ni Robert Mugabe wa Zimbabwe (47), Sheikh Ahmed wa Somalia (48), Idriss Deby Itno wa Chad (49), Teodoro Mbasogo wa Equatorial Guinea (50), Omar Al-Bashir wa Sudan (51) na Isaias Afweriki wa Eritrea aliyeshika nafasi ya mwisho.

SI KWELI KaBISA NAKATAAAA
 
RAIS Jakaya Kikwete ni wa 10 kati ya viongozi 52 wa Afrika kwa kuchapa kazi katika mwaka 2010 kwa mujibu wa jarida la East African.

Katika toleo lake la Desemba 27, 2010 hadi Januari 2 mwaka huu, jarida la East African limetoa orodha yake kulingana na ufanisi wa marais wa Afrika katika nyanja mbalimbali za maendeleo kwa mwaka 2010.
Kwa mujibu wa jarida hilo, aliyeshika nafasi ya kwanza kwa ubora ni Waziri Mkuu wa Mauritius, Navinchandra Ramgoolam, akifuatiwa na Rais wa Jamhuri ya Cape Verde, Pedro Verona Rodriques Pire.

Nafasi ya tatu imeshikwa na Rais wa Botswana, Seretse Ian Khama wakati ile ya nne imeshikwa na Rais wa Ghana, John Evans Atta Mills.

Wengine waliofuata ni Hifikepunye Pohamba wa Namibia (wa tano), Jacob Zuma wa Afrika Kusini (wa sita), James Michel wa Shelisheli (wa saba), Amadou Toure wa Mali (wa nane) na Ernest Bai Koroma wa Sierra Leone (wa tisa).

Baada ya Jakaya Kikwete wa Tanzania kushika nafasi ya kumi, anayefuata ni Ellen Johnson-Sirleaf wa Liberia (11) na Rupiah Banda wa Zambia (12).

Walioshika nafasi za mkiani ni Robert Mugabe wa Zimbabwe (47), Sheikh Ahmed wa Somalia (48), Idriss Deby Itno wa Chad (49), Teodoro Mbasogo wa Equatorial Guinea (50), Omar Al-Bashir wa Sudan (51) na Isaias Afweriki wa Eritrea aliyeshika nafasi ya mwisho.

Sina shaka na JK kuwa wa 10 katika bara ambalo una marais kama akina Bhagbo, Kibaki, Mgabe, Zenawi, Al Bashir, n.k. Maana hata ukienda katika shule zile ambazo hazijawahi kutoa hata mtoto mmoja kwenda sekondari tangu zianze, lazima wa kwanza, wa pili, wa tatu na wa mwisho utawapata KWA MAANA unaweza kuwa wa kwanza katika kundi la wabovu ila huyo wa mwisho kwenye kundi bovu ni balaa!


Wangesema JK ni 100 kwa ubora Duniani hapo ningechanganyikiwa lakini kuwa wa 10 Afrika sina tatizo kwa vile inafahamika kabisa kuwa Marais wazuri katika maana ya uongozi wenye upeo na dhamira njema katika Afrika hawawezi kuzidi 5.
 
Matokeo haya ni yale yale kama Synovate na Redet. waliwapa watanzania matokeo yaliyokuwa na source zilizokwishakufa na hazina mshiko ktk usahihi wa kauli na hisia za umma na hivyo zinakosa credibility.

JK yawezekana kapewa nafasi hiyo kutokana na yafuatayo:-
- hao watafiti walikosa mtu wa kujaza hiyo nafasi na hivyo kwa vile hawajui lolote alofanya JK, waka-assume atafaa kuwa ktk hiyo nafasi maana watanzania wengina wasomi ni watu wa kuafiki tu bila reasoning.

- Kama imeandaliwa na jamaa walioko ktk ukanda wa East Africa, ina maana ile style ya synovate imeapply maana ufisadi hauna mkwe au mka-mwana. hata hao waweza kupokea chapaa ili wampe JK status maana ndani ya nchi ameshadoda.
- yawezekana watafiti hawajawahi hata kuyaona malengo au ahadi za JK, then wakapewa na Salva Rweyemamu au Makamba kuwa ahadi zimetekelezwa kumbe ni kanyaboya. wameliwa. Data zao zingekuwa za kweli na sahihi, JK angeweza kuwa wa 50 na ushee.
 
Kwani hamjui na hao wanaofanya tafiti wanaandika ili na wao wakalambe miguu ya hao jamaa. Sasa mbona na mshikaji wake wa Bondeni hamshangai amepataje wa sita sijui wakati kila kosa mbaka na kubaka analo. Nyie bwana acheni utani huyu mjamaa ni wa mwisho tu ila tu appearance labda mpaka na watafiti wanakoshwa nalo. Angekuwa Slaa hapa mpaka namba mbili au mmoja angeshika kwa performance yake

Kwa Slaa ubunge sawa ila sio urais , madaraka ya urais hayawezi ni makubwa sana kwake na hana uzoefu mkubwa wa siasa
 
Why do we believe African made statistics? They are made to protect the rulers even if they are failures.
 
Hii yaonyesha kabisa wanaompinga JK wana lao jambo, na hii ni taasisi ya nje ambayo imefanya kazi yake independent kabisaaa

Acha porojo zako za mara kwa mara. JK angekuwa mtendaji, asingeishi au kuongoza kwa woga na wasiwasi kiasi hicho.

Marais watendaji wanajiamini na wako tayari kukosolewa na chaguzi zinakuwa wazi na huru, hawawezi kuiba kura kipuuzi kama alivyofanya hapa.
Mkumbuke rais wa Ghana aliyepita John Kufour, alishindwa kwa kura chache mno ika kwa ujasiri kakubali matokeo maana halindi ufiradi au kulindwa na mafisadi.
JK hawezi kuwa hata wa 50 kwa africa..! amen.
 
hata awe wa kwanza ktk report ya UN mi bado kwangu ni kiongozi wwa mwisho kabisa! Siamini kama kuna kitu bora anaweza kutufanyia watanzania unless kiwe na maslahi yake.
Ktk listi yangu yeye ni wa mwishooo kabisa, yaani kilazest ktk uongozi
 
hata awe wa kwanza ktk report ya UN mi bado kwangu ni kiongozi wwa mwisho kabisa! Siamini kama kuna kitu bora anaweza kutufanyia watanzania unless kiwe na maslahi yake.
Ktk listi yangu yeye ni wa mwishooo kabisa, yaani kilazest ktk uongozi

Wewe si wale wale wa AGENDA.
 
Back
Top Bottom