Na tanzania ni nchi ya ngapi kiuchumi Afrika ? Au imepanda/imeporomoka mpaka kuwa ya ngapi kiuchumi ?
Je mfumuko wa bei umeshuka kwa asilimia ngapi ?Au je ni nchi ya ngapi kwa kudhibiti rushwa ?thamani ya pesa ikoje ,hali ya maisha ya wananchi wake nikiwemo mimi na wewe ,majomba,wapwa na wajukuu zetu zikoje,wanakwenda choo mara ngapi kwa wiki ?wakiugua
wanachimba mizizi au wanatibiwa hospitali.
Waambie watupe taarifa kwa maswali hayo hapo juu.
unazifahamu criteria walizotumia?