chuwaalbert
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 3,598
- 2,115
Mwakyembe HAJAKEMEA Uovu wowote. Ni rafiki tu wa vyombo vya habari, hivyo anaripotiwa zaidi ya wenzake! Sasa atuambie waliomtegea huko Ihemi Iringa mwaka ule, wakampaka poda pale kazini kwake mpaka akapewa kofia kule India. Mbona yu kimya mpaka leo? Kwa sababu ya "zawadi" ya Uwaziri? Ama kweli hizi ni Pepo za mabwege!