bridalmask
JF-Expert Member
- Jan 14, 2015
- 2,195
- 1,169
Hivi wizara hii ya uchukuzi ilikuwa na kasoro kiasi kwamba Mwakyembe alitakiwa kunyakuliwa kwenye wizara ya uchukuzi na kisha kupelekwa wizara nyingne?!!?!, au ndio kuwa mwakyembe akipelekwa huko sifa aliyokuwa nayo itafifia!!!?
Mzee huyu huwa akiamua anafanya kazi hata huko EAC tutamskia tu!!!
Lengo kuu la kuliahamisha hili jembe ni kwa ajili ya Uchaguzi unao kuja ili waweze kuchakachua na kupitisha magendo mbalimbali pasipo Kodi ili kufanikisha uchaguzi wakifisadi na wizi.
Aliyepelekwa pale si unajua alifanikisha kuchakachukua kura za maoni ya katiba alafu wakashangilia wenyewe japo wamejiibia wenyewe tena.
Huu ni MKAKATI MAHUSUSI WA KUBADILISHA WIZARA HIZI NA KUWAWEKA GOIGOI KATIKA WIZARA NYETI KAMA YA NISHATI, USAFIRISHAJI N.K.
LENGO KUU NI UCHAGUZI NASI TUMESHA WASHTUKIA HAKUNA KONA TENA, HATA KAMA WANASEMA WANA MBINU NYINGI ZA WIZI, MWISHO NI OCTOBER 2015