Kwa hiyo mulitaka atumie kofia yake ya uwaziri kuwaletea ninyi meli bila kuangalia priorities??? Musafirishe nini?? Mawese??? Mchele????
Binafsi nimeona kitu na natambua juuhudi za mwakyembe kuwepo wizara ya uchukuzi na kama ingekuwa amri yangu angebaki huko. Tizama vichwa vipya vya treni vilivyoletwa mwezi jana kama si juzi.
Acheni ubinafsi, waziri kutokea kwenu isiwe nongwa.
Mengineyo, hakuna aliyekamilika. Hata wewe ukipewa utafanya vitu kwa umuhimu na utaratibu uliowekwa.
Inaonekana akija kuwa Rais, mnaweza taka makao makuu ya nchi yaamishiwe Kyela.
Wewe uanashindwa kuona kwamba alihangaika sana na TAZARA sio ndio inakwenda huko kwenu? na Songwe airport havitoshi tu hivi?
Si kweli kama watu wa Kyela ni wabinafsi,bali tunacho jaribu kukuambia ni kuwa WAZIRI HAINA MAANA NDIYO USILIHUDUMIE JIMBO LAKOULICHOANDIKA SIO CRITICAL NI UTUMBO MTUPU UBINAFSI UMEKUJAA SANA BASI HAMFAI WATU WA KYLA
1.Tumepata mafuriko makubwa yaliyo ua watu wengi na maelfu ya mifugo na kuharibu nyumba lkn Mbunge wetu anakaa Kyela ndani ya masaa tu akiulizwa mbona anaondoka bila kuunda hata timu za uokoaji anatujibu yy ni Waziri ana kazi nyingi za kitaifa
2.Anazuiliwa Kasumulu kwa nn unaondoka bila kutuambia ahadi yako ya kutupa maji anawajibu wapiga kura kuwa 'Maswali ya akijinga siyapendi na kumbukeni mm ni Waziri polisi wote wananitii mkiuliza tena maswali kama haya nawatia jela"
Jamani kuwa Waziri siyo ndiyo utelekeze Jimbo lako,majukumu ya kuhudumia Jimbo yanabaki pale pale
Fazili, achana ha huyu jamaa, huu ni ubinafsi uliopitiliza. Kwani Mwakyembe anayo bajeti ya kwake au ni ile ya nchi nzima. Yaani unashangilia wale wanaopendelea maeneo yako kwa gharama ya watanzania wote? Mwakyembe ni "presidential material" hawezi kufanya ujinga kama huo. Ninaamini yeye akiteuliwa na CCM anaweza kushinda kama upinzani ukifanya makosa katika uteuzi wa mgombea wao. Kama sio Mwakyembe, atakayesimamishwa na upinzani atashinda tu, hata kama hana sifa.
Wanampoteza vipi? Ni katika utawala wa JK ndipo Mwakyembe aliacha kuwa mbunge tu na kuanza kuhudumu kama naibu waziri na hatimae waziri! Sasa kama lengo ilikuwa ni kumpoteza, alikuwa na haja gani ya kumteua naibu waziri na hatimae waziri? Tatizo watu mnaichukulia poa Wizara ya EA lakini ile wizara inatakiwa kuwa na watu strong kama Mwakyembe kwavile tumezungukukwa na nchi manyang'au ambao huwa wanataka kusukuma agenda zao! Na kosa atakalofanya rais ajae 2015 ni kuichukulia poa hii wizara na kuweka waziri yoyote... ikitokea hivyo, jua tumekwisha.
Hapa ndipo ubaya wa nguvu nyingi za Rais unapoonekana, hivi hatuwezi kuweka kipengele kwenye katiba, kiwe kinawapa Wananchi nguvu ya kupinga mabadiliko yasiyo na tija kwa viongozi kama hili?. Huko nyuma tuliona vile Dr Magufuli alivyopelekwa kwenye vitoweo na kwenye barabara tukaweka mtu mwingine, tukamzungusha, baadae tukamrudisha tena ujenzi, hatuoni kwamba tunapoteza mtiririko wa kazi,sababu kila anayekuja, anaanza upya.
Sipingi mabadiliko,ila mengine ni hovyo kabisa, hivi hata huyu aliyepelekwa Ardhi, hivi kweli tuko makini na matatizo yaliyoko kule ardhi mpaka tunapeleka wanasiasa kule?
Wanampoteza vipi? Ni katika utawala wa JK ndipo Mwakyembe aliacha kuwa mbunge tu na kuanza kuhudumu kama naibu waziri na hatimae waziri! Sasa kama lengo ilikuwa ni kumpoteza, alikuwa na haja gani ya kumteua naibu waziri na hatimae waziri? Tatizo watu mnaichukulia poa Wizara ya EA lakini ile wizara inatakiwa kuwa na watu strong kama Mwakyembe kwavile tumezungukukwa na nchi manyang'au ambao huwa wanataka kusukuma agenda zao! Na kosa atakalofanya rais ajae 2015 ni kuichukulia poa hii wizara na kuweka waziri yoyote... ikitokea hivyo, jua tumekwisha.
Ulichosema ni sahihi kabisa, tushasema sana hapa kuhusu hii Eac, kiuhalisia kabisa, ilihitaji mtu mmpambanaji hasa kama mwakyembe, kwa sbb ya uchokozi na mbinu za hawa wenzetu kwenye jumuia. Sipat mantiki kusema au kuona kuwa huku ni kushushwa cheo, nnachaamini ni kuwa, kaona ugumu wa hii wizara na ndio maana kampeleka huku.
Sitta sina tatizo nae akisimama kwa akili yake, matatizo makubwa ya huyu mzee huwa hawezi kujibeba, ni kama PANYA! Anauma na kupuliza, na akitikiswa sana si ajabu ndo ukawa mwisho wake.
heee! Abhandu bha kumyetu mlibhingi ku jf, ulimkafu????
Mwakyembe ndo amesaidia uwanja wa ndege wa MBEYA kuanza kazi, mlitaka nn zaidi?
Mafuriko y 2014 ndiyo mafuriko makubwa kuikumba Kyela yakiizidi hata yale ya mwaka 1952,ni mafuriko yaliyo ua watu wengi na kuharibu nyumba na miundo mbinu LKN Mbunge wetu alifika na kukaa Kyela ndani ya masaa tu akiwatembelea wahanga wa Itope tu!
Wapiga kura walipohoji kwa nn anakaa Kyela ndani ya masaa tu wakati hata maiti nyingi bado hazijapatikana Mwakyembe akajibu kuwa YY NI WAZIRI ANA KAZI NYINGI ZA KITAIFA!
wananchi wa jimbo la kyela tulipata faraja kubwa baada ya kukabidhiwa wizara hii, umeshindwa kuiga kwa mawaziri wenzio,
Abhandu bha Kyela na gwa kutukujhu bha ka na mahala kabisa. Mwakyembe ikubhuja na Mwakyusa jhope ikubhuja mwi bunge