rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,441
Heshima mbele wakuu,
mkuu wa nchi atavunja recodi tena baada ya ile ya miezi miwili iliyopita aliyotoka ulaya na kuunganisha Botswana moja kwa moja,safari hii ataelekea zake kwa mkuu sana Obama na baada ya hapo ataunga moja kwa moja kwa mkuu mwingine Ian khama wa Botswana,Rais khama amealika maraisi kadhaa kuhudhuria mkutano wa global worming,lakini kwa nchi zingine imeonekana mawaziri wenya wizara zinazohusika na mambo hayo wahudhurie kuwakilisha marais wao,hapa kwetu mkuu mwenyewe ataongoza timu ya watu 47 kuelekea kwenye mkutano huo wa aina yake!
mkuu wa nchi atavunja recodi tena baada ya ile ya miezi miwili iliyopita aliyotoka ulaya na kuunganisha Botswana moja kwa moja,safari hii ataelekea zake kwa mkuu sana Obama na baada ya hapo ataunga moja kwa moja kwa mkuu mwingine Ian khama wa Botswana,Rais khama amealika maraisi kadhaa kuhudhuria mkutano wa global worming,lakini kwa nchi zingine imeonekana mawaziri wenya wizara zinazohusika na mambo hayo wahudhurie kuwakilisha marais wao,hapa kwetu mkuu mwenyewe ataongoza timu ya watu 47 kuelekea kwenye mkutano huo wa aina yake!