Kikwete safari tena, Marekani na Botswana

Kikwete safari tena, Marekani na Botswana

Heshima mbele wakuu,
mkuu wa nchi atavunja recodi tena baada ya ile ya miezi miwili iliyopita aliyotoka ulaya na kuunganisha Botswana moja kwa moja,safari hii ataelekea zake kwa mkuu sana Obama na baada ya hapo ataunga moja kwa moja kwa mkuu mwingine Ian khama wa Botswana,Rais khama amealika maraisi kadhaa kuhudhuria mkutano wa global worming,lakini kwa nchi zingine imeonekana mawaziri wenya wizara zinazohusika na mambo hayo wahudhurie kuwakilisha marais wao,hapa kwetu mkuu mwenyewe ataongoza timu ya watu 47 kuelekea kwenye mkutano huo wa aina yake!

Nnasisitiza kama yupo mwenye taarifa sahihi atuwekee safari alizowahi kusafiri huyu bwana Kikwete ili tuzijue gharama ni kiasi gani,kwa taifa masikini kama hili la Tanzania.
 
Hivi hizi safari zinalipiwa na hao wanaoalika au ni Kodi zetu ndo zinatumika?

Kodi zetu wananchi masikini wa Tanzania ndizo zinazotumika ktk kila safari ya bwana Kikwete
 
Hapa wakuu nimeamini sasa tuna viwavi jeshi sio watawala,nchi inafilisiwa ni lini miradi ya maendeleo itafikiliwa????

Ni mpaka hapo Watanzania watakapostuka kuwa wanadanganywa na kuibiwa,na ni pale tu wananchi hao watakapochukua hatua kwa vitendo na sio kelele
 
NIMEKWISHA SEMA HAKUNA HAJA YA KUWA NA WAZIRI WA MAMBO YA NCHI ZA NJE KWANI MKWERÈ AMEONEKANA KUCOVER NAFASI FRESh kabisa.
 
Heshima mbele wakuu,
mkuu wa nchi atavunja recodi tena baada ya ile ya miezi miwili iliyopita aliyotoka ulaya na kuunganisha Botswana moja kwa moja,safari hii ataelekea zake kwa mkuu sana Obama na baada ya hapo ataunga moja kwa moja kwa mkuu mwingine Ian khama wa Botswana,Rais khama amealika maraisi kadhaa kuhudhuria mkutano wa global worming,lakini kwa nchi zingine imeonekana mawaziri wenya wizara zinazohusika na mambo hayo wahudhurie kuwakilisha marais wao,hapa kwetu mkuu mwenyewe ataongoza timu ya watu 47 kuelekea kwenye mkutano huo wa aina yake!
Inawezekana tunasumbuka na hobby ya mtu kitu ambacho ni vigumu sana kukiacha.
 
Ya ngapi hii? Hata vaso da gama atatiushiwatittle yake. Hivi ni posho za safari zinazo mzuzua au ni ulimbukeni tu?

hazimzuzui bali ni haki yake..mshahara pekee wa urais hautoshi so kwa yeye kula zaidi inabidi hizi allowance za safari azishuhulikie...ni haki yake lakini...angalau kwa hilo tunajua haibi..ni jasho lake.

Kuna topic moja ilisema hakuna haja ya kua na waziri wa mambo ya nje ni kweli aisee, maana trip karibia zote za nje anakwenda Rais mwenyewe so huyu waziri sijui hua trip zake zinakuaga wapi...
 
wachunguzi fanyieni kazi hizi safari kuona kama hazina personal interest isije kuwa ni afya kweli inamatatizo ya kutibiwa kila wakati,vinginevyo hakuna haja ya kuwa na viongozi wa aina hii siku zijazo
 
nnasisitiza kama yupo mwenye taarifa sahihi atuwekee safari alizowahi kusafiri huyu bwana kikwete ili tuzijue gharama ni kiasi gani,kwa taifa masikini kama hili la tanzania.

ukizijua haki ya nani utakufa kwa presha.
 
Akisha change blood na kumeza vidonge breki ya kwanza kwa Khama Botswanaaaaa!!!
 
2011-12 amefanya safari nyingi za nje kuliko alizozifanya ndani ya nchi
 
Inawezekana Rais wetu ni mgonjwa huwa anakwenda kuonana na daktari wake mdhungu, vinginevyo haingii akilini kila siku awe yuko nje ya nchi kuhudhuria mikutano, kama wote wangekuwa wanasafiri namna hii basi kila siku tungekuwa tunapokea wageni

Mkuu umemena, mkulu ni tia maji tia maji, muda wowote kamba inaweza kata, kwa hiyo kubadili blad ni muhimu...
 
Du!!! Mutu ya musoga ni noma, kila kukicha anawaza aende kuzurura wapi... kweli kazi ipo... Huko Botswana si angemtuma joka la mdimu Membe, au ndo yale mambo ya waziri asiyekuwa na wizara maalum...
 
JAMANI MWACHENI jk WETU asafiri kidogo; hivi watu mnafikiri mambo yalivyo hapa nyumbanI huyo mkuu ana furaha?! HATA KIDOGO kinachomsaidia ni mwenyezi Mungu kumjalia an ever smilling face vinginevyo watanzania tungekuwa tunalalamika viyo hivyo kwamba kwa nini rais wetu analia lia hadharani kama Dr. Kaunda rais wa zamani wa zambia mambo yalipokuwa yakimzidia anaangua kilio hadharani. JK is stressed mbaya kuliko, kazingirwa na mchwa kulia, kushoto juu na chini; kusafiri nje kidogo ni sehemu ya mkakati wa kitu kinachoitwa STRESS MANAGEMENT. relax Jk
 
mwacheni asafiri jamani ndiyo hobby yake hiyo
 
Again irresponsible use of available resources,Hii ni pamoja na rasilimali watu lots of billion are spent bila huruma jamani mungu awape uwezo viongozi wetu walau wasikilize kilio cha wananchi, Kwa kipindi hiki angebaki nchini akafanya mornitoring ya viongozi wake walau ingelisaidia taifa
 
Kwaani safari ya kuzunguka dunia watu 47 ni ka sh. ngapi? maana tz ni nchi fukara wasije wakacharara safarini wakaanza umatonya. Tena jana Obama alikubaliana na sera za sodoma, sorry, Cameron.
 
Back
Top Bottom