‘Kikwete’s remarks on FDLR shocking’


Even fighting them is the way of negotiation. UN has peace keeping (chapter 6) and peace Enforcement (chapter 7). All are peace keepers.
 


This is a forum for great thinkers not watu wanaosoma magazeti ya Shigongo....wewe unapaswa kuandika riwaya...c'mon unaweza kutupa source zako?
 
Rwandese should know that compassion is better than anger...Kikwete akiomba msamaha, ajiuzulu hata urais wa TZ.....pumb.avu zao Rwanda is just 26000 sq km compared to 955000 sq km to tz. Haijai hata kwenye kidole cha jk.
Utingo weka akili kazini, ukubwa wa pua siyo wingi wa kamasi.Military strategies have nothing on your poor analysis.Have a look on the 1973 Israel against Arabs communities,Vietname VS USA, and USSR VS.Afaghastan.
 
Last edited by a moderator:

Mkuu kwani unafikili ni Afghanistan ndiyo ina negotiate na Taliban? Hizo ni geresha tu, ukweli ni kwamba Merikani yenyewe ndio unahusika moja kwa moja katika suala hili la kufanya mazungumzo na Taliban, lakini kwa Merikani kuona aibu wanamtumia proxy wao KAZAI kufanya mazungumzo, Merikani imefikia hatua ya kufanya hivyo baada ya kuona vita ya Afghanistani imekuwa ngumu kwao licha ya kuwa na zana lukuki za kivita; Merikani imehamua kubwaga manyanga baada ya kupoteza zaidi ya mika kumi chasing shadows in Afghanistani.

Urusi iliwahi kuionya Merikani kuhusu ugumu wa kupigana vita nchini Afghanistani, lakini kutokana na kiburi na jeuri za Merikani kama walivyo Watutsi wakahamua kupuuzia onyo la URUSI, come mwaka kesho hakuna mwanajeshi hata mmoja wa Merikani atabaki Afghanistan wataondoka actually wamekwisha anza kuondoka kwa aibu kubwa, sioni kama KAZAI atachukuwa muda baada ya Merikani kuondoka Afghanistani aidha atauuwawa na Watalibani au atapaswa kukimbilia uhamishoni, baada ya hapo nina uhakika Wataliban watashika madaraka tena Nchini Afghanistani.

La kujiuliza hapa ni: Hivi nchi kubwa kama Merikani imeona kuna umuhimu wa kufanya mazungumzo na mahasmi wao wakubwa wa siku nyingi (Taliban/Al-Queda) kwa nini Seriakali ya Mh.Kageme inashindwa kuhiga mfano wa Merikani/Kazai - Mh.Kagame anaona ugumu gani katika hilo, unless kama anaona kuna kitu ambacho hakiwezi kumnusuru katika sakata la siku za nyuma; ajaribu kuwa jasiri na kuweka terms zake za ku-negotiate na FDLR wajaribu kusahau yaliyo pita, na wawekane wazi kwamba hakuna mambo ya kulipizana kisasi - South Africa waliweza hilo Wanyarwanda wanashindwa NINI?

Nekwisha sema mara nyingi humu inapokuja mambo ya mauuaji, uwezi kumtetea Mtutsi au Muhutu katika hilo wote wamefanya mauuaji makubwa sana.
 
The way you argue you sound a tutsi! am sorry if you are not. And, am still doubt of your ability to compare incidences, ...Idi Amini vs Tanzania, and FDRL vs tutsi! How do u compare these two?
FDRL, M23 hivi hawa wote si ni wanyarwandwa au nakosea? ila idi amini, talbani ni A and B maana FDRL, M23 na waliopo madarakani wote ni wanyarwandwa tena wote wanaongea Lugha moja tu ya kinywarwanda sijawahi kusikia kuna Lugha ya kitutsi, kihutu au kitwa wote wanaongea kinyaru, ni kama watoto wa baba na mama mmoja wanaogombea urithi kwa wazazi wao ambao bado hawajafa so hao watoto ndio wanakuwa na tabia tofauti. sasa kunapokuwa na tabia tofauti kati ya watoto uliowazaa utawauwa au utatafuta jinsi ya kuishi nao kwa amani ili nao wapendane ni swali tu?

Sasa ajabu wanaotafuta tofauti eti wanatafuta tofauti kati ya FDRL na Watutsi badala ya kutafuta tofauti ya FDRL na FPR na M23 hapo ndio naona kuna tofauti (kivyama) lakini ukitaka tofauti ya watutsi na Wahutu na Watwa hutaipata kwa sababu wote ni wanyarwanda wanaongea lugha moja tu ya Kinyarwanda. Huo urefu sijui ufupi ni genetic tu ndio naweza kusema.
 
Utingo weka akili kazini, ukubwa wa pua siyo wingi wa kamasi.Military strategies have nothing on your poor analysis.Have a look on the 1973 Israel against Arabs communities,Vietname VS USA, and USSR VS.Afaghastan.

kanga......kwa hiyo kwa upumbavu wako unakubali na unaridhia kila wakati rwanda inapokuwa na nakisi (deficit) ya bajet yake iwe inakwenda kuiba madini Congo kwa kisingizio cha kuwapiga Hutu Rebels?

Tangu wameanza kuvamia Congo kuwasaka, uliwahi kusikia wamewakamata wangapi?

stop using ass to think.
 
Ngiwilizi,
The way I see it you cannot negotiate with the one who wanted to exterminate you. Those Hutus who were peaceful and ran to Congo with the interahamwe have been given a chance to return home. Through the gacaca courts some have been forgiven of their heinous acts. The ones who Kikwete wants Kagame to "negotiate" with are the hardliners
who were supported by France and think they can return with their army. Once you have 2 armies in a country you have a recipe for more war. And what is worse, those people who Kikwete sympathises with have not been heard to renounce their anti-Tutsi sentiments. So why talk to your intended killers?
 
Kwa hili namwunga mkono Kikwete. Hawa Watutsi wanajidai ni wao tu waliopata taabu katika matatizo ya Rwanda, nalhali hata Wahutu waliuawa, tena kwa maelfu. Kuna wakati Fulani Rwanda ilipewa uhuru na Marehemu Kabila wa kwenda popote nchiniDRC kuwasaka hawa, ina maana hawauwamaliza? FDLR ni chama chenye genuine political grievances, ni lazima wakae nao wazungumze wasijidai kuwatia watu jivu la macho. Sisi tunajua ukweli na wasifanye watu wote kuwa wapumbavu. Kwani Watutsi hawakuuwa Wahutu malaki na lukuki Mashariki ya Congo, Mombasa, Ullaya na kwengineko? Wasituletee 'Uisraeli' barani Afrika, kwamba ni maumivu yao tu ndiyo yanayo count kwa vile wao ni watu bora kuliko wengine!
 

Shapu labda kwa kukusaidia Kikwete amekuwa Waziri wa mambo ya nje wa mkapa, Kama Waziri wa mambo ya nje anajua in and out ya Tatizo la Rwanda , na isitoshe ana additional info ambazo hata wewe huna, kwa hiyo anaposhauri ana uhakika na anachokisema, Na pia kwenye meza za majadiliano ya issue za Rwanda na yeye amekuwepo.
 
Mgogoro wa Congo, Rwanda pamoja na Uganda ambako M7 ameshidwa kuweka amani haujaanza leo unajulikana kwa ukubwa na mapana yake. Magogoni tuna wafanyakazi ambao sio raia wa Tanzania ni wakimbizi tu, then ndio washauri wa Mr president. Rais wetu amekuwa anatumiwa sana na matajiri kwa kujinafsisha binafsi wakati haya Majambazi yanachota rasilimali za Walipa kodi na JK hajali kuona haki inatendeka. Tanzania ambayo inaheshimika na unaona hivi sasa marais wa marekani wanakuja sio bure kuna kitu hapo kinaendelea na matokeo yake hatuwezi kuyaona leo wala kesho itachukua miaka kadhaa kuonekana.

Kwa nini tunatumiwa hivi sasa ni kwa sababu ya jitihada za makusudi za awamu ya kwanza kujiweka katika mazingara mazuri hususan na nchi zote za SADC ambako tuna sauti na tunasikilizwa I presume. JK hivi sasa analikoroga na sidhani kama ushirikiano wa mwanzo wa SADC uko imara kama awali. Kuyumbayumba kwa SADC kutaleta matatizo siku za usoni.


BTW Wale wakimbizi wa Rwanda ooops chijui Burundi .. ... .. kina Koba et al hawajaweka maneno hapa?
 

Huu u..---- wako kawadanganye wapuuzi wenzako wasiojua kitu au wale criminals wanaokimbia kimbia misitu ya Congo wakiiba mihogo and raping innocent women,FDLR lazima wamalizwe kama inakuuma sana kajiunge nao
 
Huu u..---- wako kawadanganye wapuuzi wenzako wasiojua kitu au wale criminals wanaokimbia kimbia misitu ya Congo wakiiba mihogo and raping innocent women,FDLR lazima wamalizwe kama inakuuma sana kajiunge nao

kagame is a criminal, siku zake zimeanza kuhesabika
 
Khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeee naona moshi umekafukua kajoka khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
The way you argue you sound a tutsi! am sorry if you are not. And, am still doubt of your ability to compare incidences, ...Idi Amini vs Tanzania, and FDRL vs tutsi! How do u compare these two?

For the same reason basi wewe ni FDRL,na wala siwezi kukupa heshima ya kukuita wewe mhutu maana wahutu sio hao genocidals unaowatetea,FYI kagame/Kigali hawahitaji msaada au ushauri kutoka kwa wapuuzi kama wewe mnaojifanya mnaelewa kumbe zero,struggle yao went back more than 50 yrs then leo mpuuzi kama wewe unakuja na garbage zako eti tutsi tutsi wabaya wabaya jesus will see you....get the f#42%&^%4 ut!
 
sawa, lakini TANZANIA kamwe haiwezi kuwaomba msamaha wakimbizi wa kitusi wanaoishi rwanda! kamwe haitatokea na sababu tunazo, madhara ya migogoro ya maziwa makuu waathirika wakubwa ni sisi watanzania.Hamna njia hata kwa vita tupo tayari kuhakikisha afrika na hususani rwanda ni mahali salama kwa wote na si kwa wakimbizi wa kitusi pekee!!!!!!
 
Yes, Tutsi are evil, period! swallow it or leave it! uje na hoja sio matusti.. heheeheeeee! silly you...wewe ndo ZERO squared! anyway, dont have time to argue with brain impared people of yr type! Got a lot to do.
 
Yes, Tutsi are evil, period! swallow it or leave it! uje na hoja sio matusti.. heheeheeeee! silly you...wewe ndo ZERO squared! anyway, dont have time to argue with brain impared people of yr type! Got a lot to do.
kajiunge na wapuuzi wenzako FDLR acha kupoteza muda ...lazima msafishwe!
 

TUTSI are really known to be very arrogant and befriend only a submissive person!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…