Nimesikitishwa sana kuona Zakia Meghji kuwa mbunge wa kuteuliwa. Huyu ni yule aliyeidhinisha ukwapuaji mabilioni pale BOT kupitia Kagoda . Kwa mara ya kwanza alipohojiwa na kampuni ya auditing ya Dittoille de Touch akasema pesa zilichukuliwa kwa shughuli maalumu ya serikali. Kwa mara ya pili alipohojiwa akasema amepotoshwa na aliyekuwa Gavana Mr Balali. Hivi kweli raisi haoni aibu kufanya kazi na mtu ambaye cv yake chafu namna hiyo? kwani hakuna watanzania wengine?