Elections 2010 KIKWETE: Rais asiyeona aibu kutembea na uchafu

matawi

JF-Expert Member
Mar 29, 2010
2,053
241
Nimesikitishwa sana kuona Zakia Meghji kuwa mbunge wa kuteuliwa. Huyu ni yule aliyeidhinisha ukwapuaji mabilioni pale BOT kupitia Kagoda . Kwa mara ya kwanza alipohojiwa na kampuni ya auditing ya Dittoille de Touch akasema pesa zilichukuliwa kwa shughuli maalumu ya serikali. Kwa mara ya pili alipohojiwa akasema amepotoshwa na aliyekuwa Gavana Mr Balali. Hivi kweli raisi haoni aibu kufanya kazi na mtu ambaye cv yake chafu namna hiyo? kwani hakuna watanzania wengine?
 

Ndibalema

JF-Expert Member
Apr 26, 2008
10,957
4,630
Nikuulize swali bwana matawi.
Kwa mfano wewe ungekuwa rais na mama mkwe wako anahitaji umteuwe awe mbunge hebu niambie ungemtosa?
Usifanye mchezo na mama mkwe wewe.
 

We can

JF-Expert Member
Sep 4, 2010
678
46
Nikuulize swali bwana matawi.
Kwa mfano wewe ungekuwa rais na mama mkwe wako anahitaji umteuwe awe mbunge hebu niambie ungemtosa?
Usifanye mchezo na mama mkwe wewe.

Ndibalema, ndo kusema hufai kuwa kiongozi? Au ulikuwa unamaanisha kitu kingine? pls
 

October

JF-Expert Member
Oct 5, 2009
2,145
91
Nikuulize swali bwana matawi.
Kwa mfano wewe ungekuwa rais na mama mkwe wako anahitaji umteuwe awe mbunge hebu niambie ungemtosa?
Usifanye mchezo na mama mkwe wewe.

Kwani JK ana mke mwingine zaidi ya Saaaliiiiiiiimaaaaaaaaaaaaa? Hebu tuhabarishe wengine tusiojua.
 

Wabogojo

JF-Expert Member
Nov 5, 2010
354
87
hivi hii nchi haina watu walioenda shule na waadilifu wakumsaidia Mkuu, au ndiyo yale yale ya mwnenye nacho huongezewa zaidi na asiyenacho/maskini ...........................................!
 

Jatropha

JF-Expert Member
Apr 9, 2009
1,151
199
kwani jk ana mke mwingine zaidi ya saaaliiiiiiiimaaaaaaaaaaaaa? Hebu tuhabarishe wengine tusiojua.
nasikia kaoa kwa zakhia meghji na kwa asas wa iringa mwenye kiwanda cha maziwa hivi karibuni. Wenye habari wathabarishe zaidi.
 

Jatropha

JF-Expert Member
Apr 9, 2009
1,151
199
nimesikitishwa sana kuona zakia meghji kuwa mbunge wa kuteuliwa. Huyu ni yule aliyeidhinisha ukwapuaji mabilioni pale bot kupitia kagoda . Kwa mara ya kwanza alipohojiwa na kampuni ya auditing ya dittoille de touch akasema pesa zilichukuliwa kwa shughuli maalumu ya serikali. Kwa mara ya pili alipohojiwa akasema amepotoshwa na aliyekuwa gavana mr balali. Hivi kweli raisi haoni aibu kufanya kazi na mtu ambaye cv yake chafu namna hiyo? Kwani hakuna watanzania wengine?

subiri atakapotangaza baraza la mawaziri ndio hatajionea vituko, yaani akina el, ra na chenge wamejipangia wizara wenyewe watakavyo. Hakuna kitu, mvinyo ule ule katika chupa mpya!!!!
 
Feb 15, 2009
99
2
nasikia kaoa kwa zakhia meghji na kwa asas wa iringa mwenye kiwanda cha maziwa hivi karibuni. Wenye habari wathabarishe zaidi.

Hili si jipya masikioni mwangu, kwamba kachukua kitu kwa jamaa wa asas, lakini sijui uhusiano wa huyu mama na asas labda wenye dataz mtujuze, ma-GREAT THINKERS Pliz.
 

Ndibalema

JF-Expert Member
Apr 26, 2008
10,957
4,630
Hili si jipya masikioni mwangu, kwamba kachukua kitu kwa jamaa wa asas, lakini sijui uhusiano wa huyu mama na asas labda wenye dataz mtujuze, ma-GREAT THINKERS Pliz.


Mnaniruhusu niibandike picha ya mhusika hapa.
 

Safari_ni_Safari

JF-Expert Member
Oct 5, 2007
23,276
17,055
Nyiye mwaitafuta jela...miye simo

waz.jpg
 

MADAM T

JF-Expert Member
Oct 21, 2010
5,076
2,243
subiri atakapotangaza baraza la mawaziri ndio hatajionea vituko, yaani akina el, ra na chenge wamejipangia wizara wenyewe watakavyo. Hakuna kitu, mvinyo ule ule katika chupa mpya!!!!

mi naona hata chupa ni ile ile (ya zamani au used)
 

mbombongafu

Member
Nov 1, 2010
61
3
mko dunia(Tanzania) gani kwani nyinyi ni wageni kwa kikwete?hichi kinachosemwa ndivyo kilivyo mambo yake yapo vijiweni ndio maana huwa yanavuma vibaya kwa hiyo taarifa za kuwa mkwe jamani hakuna ubishi hapo ndio analipa mahari hapo.
 

watarime

Senior Member
Oct 21, 2010
105
8
Nimesikitishwa sana kuona Zakia Meghji kuwa mbunge wa kuteuliwa. Huyu ni yule aliyeidhinisha ukwapuaji mabilioni pale BOT kupitia Kagoda . Kwa mara ya kwanza alipohojiwa na kampuni ya auditing ya Dittoille de Touch akasema pesa zilichukuliwa kwa shughuli maalumu ya serikali. Kwa mara ya pili alipohojiwa akasema amepotoshwa na aliyekuwa Gavana Mr Balali. Hivi kweli raisi haoni aibu kufanya kazi na mtu ambaye cv yake chafu namna hiyo? kwani hakuna watanzania wengine?

tehetehetehetehetehetehetehe Unasikitika nn?? Kwani 11 eleven ya Mafisadi wa EPA na Mkwere c yumo??? Pesa za EPA ndizo zinasabisha huyu Dr Feki ashindwe kuongoza maana ndizo zilimpleka Kivukoni pale kuwa mpangaji.
 
0 Reactions
Reply
Top Bottom