Royals
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 1,466
- 378
Mtoa mada Mignon, mada yako ni nzuri ila nashauri uirejee uweke paragraph na bullets ili kubainisha points. Sasa hapo ulipoiweka ikiwa ni mkuruzo mmoja kama kanzu au gauni la dira, ninashindwa kusoma kwa mfululizo najikuta narudia misitari. Kajipange upya ufanye formating, please!!!
Mama mdogo umkuwa mkali ghafla mno kuwa mpole. Kanzu na dira za nini tena hapa. Ushauri wako wa kuedit habari ni mzuri. Nia yake ni njema sana. Please my small mama.