Tena wengine walitokea Kongo, Malawi na ZambiaWakazi wa asili kabisa wa Bagamoyo ni kina nani?. Wengi wa hao waliopo ni masalia ya watumwa wenye afya duni walio chukukuliwa bara na kutelekezwa hapo sokoni Bwagamoyo hivyo kuloweya hapo.
haitusaidii ki2, but mkuu wa kaya ni mzee wa chalinze, hao hawana jipya
Bw.Titus Mussa Kikwete (kulia) akiwa na mdogo wake hawa ni wakazi wa mkoa wa Iringa na wanadai kuwa na mahusiano ya kifamilia na Rais Dkt Jakaya Kikwete na kuwa chimbuko la akina Kikwete ni mkoa wa Iringa,je wewe wajua chimbuko la familia ya Rais Kikwete ni wapi ?
Usikose uhondo huu tembelea JE WAJUA KAMA UKOO WA AKINA KIKWETE CHIMBUKO NI MKOA WA IRINGA? mzee wa matukio daima
Inawezekana, koo nyingi sana zinaexist in more than one region. Kwani hata ukiangalia maana ya neno kikwete lina maudhui ya kihehe ikimaanisha kimepita. Lakini swala la akina Mgaya wakina mgaya asili yao ni iringa walienda Tanga kipindi cha manamba na wakazaliana huko. Ila kwa swala la Jk kuwa ni wa Iringa sina uhakika sana naamini wataalam wa history watatwambia.
haitusaidii ki2, but mkuu wa kaya ni mzee wa chalinze, hao hawana jipya