Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,884
Bw.Titus Mussa Kikwete (kulia) akiwa na mdogo wake hawa ni wakazi wa mkoa wa Iringa na wanadai kuwa na mahusiano ya kifamilia na Rais Dkt Jakaya Kikwete na kuwa chimbuko la akina Kikwete ni mkoa wa Iringa,je wewe wajua chimbuko la familia ya Rais Kikwete ni wapi ?
Usikose uhondo huu tembelea JE WAJUA KAMA UKOO WA AKINA KIKWETE CHIMBUKO NI MKOA WA IRINGA? mzee wa matukio daima