Kikwete ni mhehe wa Iringa?

Candid Scope

JF-Expert Member
Nov 8, 2010
11,883
6,884
Kikwete(8).jpg


DSCF9890.JPG


Bw.Titus Mussa Kikwete (kulia) akiwa na mdogo wake hawa ni wakazi wa mkoa wa Iringa na wanadai kuwa na mahusiano ya kifamilia na Rais Dkt Jakaya Kikwete na kuwa chimbuko la akina Kikwete ni mkoa wa Iringa,je wewe wajua chimbuko la familia ya Rais Kikwete ni wapi ?

Usikose uhondo huu tembelea JE WAJUA KAMA UKOO WA AKINA KIKWETE CHIMBUKO NI MKOA WA IRINGA? mzee wa matukio daima
 
kutafutana...nilishawahi kusikia bibi bibi gani sijui babu babu gani wa obama alikuwa ni mtz akahamia kenya ..lol!!
 
kutafutana...nilishawahi kusikia bibi bibi gani sijui babu babu gani wa obama alikuwa ni mtz akahamia kenya ..lol!!

Kwa wanabayolojia ukiangalia sura za hao wanaojiita majina ya kikwete na mafuvu yao kuna dalili ya cell zenye asili moja ya kizazi cha karibuni. Huyo dogo licha ya kaupara kidogo lakini hutashtuka ukiambiwa ni dogo wa ******.
 
Kwa wanabayolojia ukiangalia sura za hao wanaojiita majina ya kikwete na mafuvu yao kuna dalili ya cell zenye asili moja ya kizazi cha karibuni. Huyo dogo licha ya kaupara kidogo lakini hutashtuka ukiambiwa ni dogo wa ******.
wanafanana kwel i si unona mashati ya kushona kwa fundi dula ...peni mfukoni etc
 
Huku Iringa pia kuna akina Mgaya na Tanga wapo. Sio lazima wawe ni ndugu ila ni ubini ndio uliofanana.
 
Kwa wanabayolojia ukiangalia sura za hao wanaojiita majina ya kikwete na mafuvu yao kuna dalili ya cell zenye asili moja ya kizazi cha karibuni. Huyo dogo licha ya kaupara kidogo lakini hutashtuka ukiambiwa ni dogo wa ******.

Wakina KIKWETE wa Iringa hapana kuchekacheka bana. Tazama hao hapo juu.
 
Inawezekana, koo nyingi sana zinaexist in more than one region. Kwani hata ukiangalia maana ya neno kikwete lina maudhui ya kihehe ikimaanisha kimepita. Lakini swala la akina Mgaya wakina mgaya asili yao ni iringa walienda Tanga kipindi cha manamba na wakazaliana huko. Ila kwa swala la Jk kuwa ni wa Iringa sina uhakika sana naamini wataalam wa history watatwambia.
 
Kwa wanabayolojia ukiangalia sura za hao wanaojiita majina ya kikwete na mafuvu yao kuna dalili ya cell zenye asili moja ya kizazi cha karibuni. Huyo dogo licha ya kaupara kidogo lakini hutashtuka ukiambiwa ni dogo wa ******.

labda jeshi la mkwawa lilipoweka kambi pale pwani kulipatikana nyumba ndogo.
 
Wahehe na watu wa pwani ni kitu kimoja.... kwa sisi wazaramo/wandengereko tuna majina mengi ya ukoo yanayofanana.. eg Chogo.
 
Wakazi wa asili kabisa wa Bagamoyo ni kina nani?. Wengi wa hao waliopo ni masalia ya watumwa wenye afya duni walio chukukuliwa bara na kutelekezwa hapo sokoni Bwagamoyo hivyo kuloweya hapo.

Kama jamaa wamethibitisha Kikwete ni jina la Iringa, then wako right kabisa.

Kitu ambacho tusikifanye ni kuzishauri jamii zetu zirejee kwenye asili zao. Wangoni warudi kwao Zulu land baada ya kuletwa nchini na Zongendamba. Wayao nao warudi kwao utawala wa Mwanamutapa. Waarabu wa Unguja na Pemba warudi kwao Oman baada ya kuletwa na Sultan Sayed Said.

Wachaga Wamasai na Wameru warudi kwao Kenya. Wahaya na Waangaza warudi kwao Baganda Kingdom. Kigoma warudi kwao Zaire. Wamakonde warudi kwao Msumbiji, Wanyasa warudi kwao Malawi, Makabila ya Mara warudi kwao Kenya.

Kwa kifupi wenyeji wa asili wa Tanganyika ni bantustans wa Tanganyika, Wasukuma na vizalia vyake, Wagogo, Wahehe, Waluguru na vizalia vyao. Makabila ya Singida na Arusha kama Warangi, Wasandawe, Wabarbaig, Wahadzabe etc, hapa sio kwao, hawa si wabantu ni semi nilotic ambao hutanga na nyika kutafuta survivor hivyo kujijuta Tanganyika.

Maadam tulipopata uhuru wetu ile Desemba 1961, Katiba iliwatambua wale wote walio kuwepo kwenye ardhi ya Tanganyika kuanzia ile saa 6 usiku wa uhuru ni Watanzania halali.
 
Huku Iringa pia kuna akina Mgaya na Tanga wapo. Sio lazima wawe ni ndugu ila ni ubini ndio uliofanana.

Akina Mgaya wa Tanga ni manamba waliotolewa Iringa kupelekwa kulima mashamba huko Tanga.
 
Inawezekana, koo nyingi sana zinaexist in more than one region. Kwani hata ukiangalia maana ya neno kikwete lina maudhui ya kihehe ikimaanisha kimepita. Lakini swala la akina Mgaya wakina mgaya asili yao ni iringa walienda Tanga kipindi cha manamba na wakazaliana huko. Ila kwa swala la Jk kuwa ni wa Iringa sina uhakika sana naamini wataalam wa history watatwambia.

Kikwete aliwahi kuliongelea hili, wana asili ya sehemu za Ilembula Njombe, na wengi wa akina Kikwete wa Ilembula ambao ,ni Wabena, ni watu weupe kama huyo dogo..
 
Nimeamini kweli hili jukwaa ni la real great thinkers, nimejaribu kuchora mchoro na kuunganisha dot sasa kweli zinaunganika, unajua mheshimiwa Rais Kikwete ana mashiko sana mkoa wa Iringa nikawa najiuliza, katika uchanguzi wa 2010 mkoa wa iringa uliongoza kwa kumpa kura nyingi sana.
 
intresting fact....vipi waparee na wachagaa nao??
Wakazi wa asili kabisa wa Bagamoyo ni kina nani?. Wengi wa hao waliopo ni masalia ya watumwa wenye afya duni walio chukukuliwa bara na kutelekezwa hapo sokoni Bwagamoyo hivyo kuloweya hapo.

Kama jamaa wamethibitisha Kikwete ni jina la Iringa, then wako right kabisa.

Kitu ambacho tusikifanye ni kuzishauri jamii zetu zirejee kwenye asili zao. Wangoni warudi kwao Zulu land baada ya kuletwa nchini na Zongendamba. Wayao nao warudi kwao utawala wa Mwanamutapa. Waarabu wa Unguja na Pemba warudi kwao Oman baada ya kuletwa na Sultan Sayed Said.

Wachaga Wamasai na Wameru warudi kwao Kenya. Wahaya na Waangaza warudi kwao Baganda Kingdom. Kigoma warudi kwao Zaire. Wamakonde warudi kwao Msumbiji, Wanyasa warudi kwao Malawi, Makabila ya Mara warudi kwao Kenya.

Kwa kifupi wenyeji wa asili wa Tanganyika ni bantustans wa Tanganyika, Wasukuma na vizalia vyake, Wagogo, Wahehe, Waluguru na vizalia vyao. Makabila ya Singida na Arusha kama Warangi, Wasandawe, Wabarbaig, Wahadzabe etc, hapa sio kwao, hawa si wabantu ni semi nilotic ambao hutanga na nyika kutafuta survivor hivyo kujijuta Tanganyika.

Maadam tulipopata uhuru wetu ile Desemba 1961, Katiba iliwatambua wale wote walio kuwepo kwenye ardhi ya Tanganyika kuanzia ile saa 6 usiku wa uhuru ni Watanzania halali.
 
Mbona nazi zipo tanga, mtwara, newala, moshi...hata kigoma zipo.
Sasa nazi ni mwenyeji wa mkoa gani?
 
Back
Top Bottom