Kikwete na Rais Magufuli wapanda gari moja

Kikwete na Rais Magufuli wapanda gari moja

Sijui hapa nani atakuwa kamuomba mwingine 'watete'!
 
ki itfaki inaweza isiwe powa ila
kikawaida sio ishu sana coz hata bush aliwah kumpa lift nanilii kwenye ndege ya raisi wa usa
 
  • Thanks
Reactions: bbc
Ni hivi, rais anayo mamlaka ya kuondoka na yeyote kwenye gari yake, lakini taarifa wanakuwa nazo wazee wale, na hii mara nyingi kama rais anataka kuzungumza kitu na huyo mtu kwa faragha kubwa. Nitakuleteeni mifano hai baade, niko bize kidogo.
 
Linawezekana kabisa hilo huenda kwa majukumu walionayo imebidi watete fasta hapo ulinzi ni Mara mbili
 
Baada ya kuisha ibada ya kuuaga mwili wa marehemu Samwel Sitta Rais mstaafu Jakaya Kikwete na Rais Magufuli wapanda gari pamoja na kuondoka
Kwani Obama alifanya nini kwa rais mstaaf clinton walipo toka kwenye mazishi israel????
'BIRDS OF THE FEATHER FLOCK TOGETHER'
 
Acha Nao Wapande Pamoja Unajua Nchii Hii Haiwezi Kuendelea Kwa Unafki
 
Hivi watu wawili wakitembea kwa kuongozana wameshikana mikono inaweza kuwa gumzo!? Na je inatofauti gani kuwa ndani ya gari moja au paa moja, sioni kama hili ni tatizo, wangeweza kujifunika mwavuli mmoja, labda hoja ingekuwa wamechangia kijiko wakati wa mlo
 
Back
Top Bottom