Kikwete na Lowassa kunani tena?

Kikwete na Lowassa kunani tena?

Baada ya kuchakachua picha za mazoezi, sasa wamechakachua picha ya maadhimisho ya miaka 53 ya uhuru, Duuuh. .....Urais huu utawaua
attachment.php
 
Kuna siku kila mbuzi atakula usawa wa kamba yake na kila mtu atakula alicho panda ccm wote ni wezi na mafisadi waliyo pindukia amna aliye msafi ndani ya ccm wote wezi

Naam! Hilo liko wazi halihitaji degree ya chuo kikuu. Nakuhakikishia huyo fisadi akipitishwa kuwa mgombea ccm itakufa kifo cha mende.
 
Timu El mnahangaika sana kumsafisha mtu wenu, nilikuwa jukwaani hakuna wakati JK a alikuwa karibu na EL. Hiyo picha imevutwa ili El aonekane yupo karibu na JK. Kweli lakuvunda......
 
Baada ya kuchakachua picha za mazoezi, sasa wamechakachua picha ya maadhimisho ya miaka 53 ya uhuru, Duuuh. .....Urais huu utawaua
Mkuu Pinda vipi kumbe kalamba Billion 5 za ESCROW.........Soon bank statement naimwaga humu (Leo saa tisa)...
 
lowasa alikuwa viti vya nyuma akifutiwa na pius msekwa akifuatiwa na bodigadi wa rais.pale mbele ni mama salima kikwete,dr.sheini,raisi wa jamhuri ya muungano wa tanganyika na zanzibar akifuatiwa na mkuu wa majeshi ya tanganyika na zanzibar.lowassa alikuwepo hapo kama waziri mkuu msitaafu.je nyinyi mnatumiaje hii nafasi kupotosha umma?
 
Raisi wenu mpendwa wa jamuhuri ya Mapinduzi ya Tanzania ni Edward Ngoyayi Lowassa - CC MSALANI

IMG_7973.jpg

kuchakachua picha kutasaidia nini ? Mbona salma yuko karibu na jk kila siku na hamjamfikiria urais ?
 
Last edited by a moderator:
Nimecheka kuna thread imeletwa kwaajili ya hiyo picha nikashangaa Lowassa anaweza vipi kukaa safu ya mbelee na kuwaaacha akina Pinda,Makinda na.......
 
Nimecheka kuna thread imeletwa kwaajili ya hiyo picha nikashangaa Lowassa anaweza vipi kukaa safu ya mbelee na kuwaaacha akina Pinda,Makinda na.......
watu wa ajabu kweli kweli ina maana Lowassa kukaa karibu na Jk ni haramu?.
 
watu wa ajabu kweli kweli ina maana Lowassa kukaa karibu na Jk ni haramu?.
Ni haramu mkuu kwani hastahili. Yeye alilazimishwa ajiuzulu kutokana na kashfa ya ufisadi. Sasa atakaaje karibu na Rais wetu? Yeye ataishia kumchungulia tu kwa mbali
 
Back
Top Bottom