Kikwete na Lowassa kunani tena?


Wewe ndiyo mjusi na pole pia sociologist kumbe tangu ugombane mama alipokuvuta yale maeneo ukaugua.
 
Mkuu hii picha imepigwa lini?Kama ni ya leo Basi Rais wetu amesoma alama za Nyakati.

Ikague hiyo picha vizuri. Pia, mstari wa mbele au karibu na rais, waziri mkuu mstaafu awe anatafuta nini hapo?? Photoshop at work kutoka TeamLowassa.
 
Afisa wa jeshi mstaafu.... anatisha...

Awe na Parkinson asiwe mayo najua hakupi uzingizi. Mambo wengine tumuachie Mungu akisema Leo hii Lowassa ndiyo raisi Wa JMT hakuna wskumzuia. Picha tu zinawafanya kutoka na pofu subiri sasa atangaze nia na msisimuko utakaye ampatana na ile nia. Ndiyo utamshangaa huyu Mungu na wataule wake!
 
Hana nguvu zozote ni ujinga tu tena hata nyumba alizonunua UK zinaweza kurudishwa kwa walipa kodi wa Tanzania. Yeye anakamua pesa baada ya kulididimiza shirika la simu Tanzania akisaidiwa na kiranja mkuu wa wizi anayelala Magogoni.
Hauna hoja ungekuwa na hoja dhidi ya Lowassa kafulila kijana makini angesha iweka hadharani. Lowassa ni msafi Kama theluji. Aliwaonesha na kuwafundisha watanzania dhana ya uwajibikaji. Na hii ndiyo maana kubwa ya yeye kuwa kipenzi cha watanzania wengi. Kina mama na vijana! Rejea maneno ya Dr. Slaa kwenye Hansard kuhusu kujizulu kwa lowassa. Hapo ndipo utajua umakini Wa EDO.
 
Jk na El ni marafiki...sasa sijui kama wanaosema hawa mabwana wanaugomvi wako sawa kisaikolojia sidhani.Politics is illusions..lets try to look more carefully
 

Cha kwanza, EL hayupo mstari wa kwanza sababu kuna kiti hapo. Pili kwa walio mstari wa pili, Haiwezekani Pius Msekwa aonekane yuko mbali wakati kwa jinsi picha ilivyopigwa, ilitakiwa yeye aonekane yupo karibu zaidi ya EL ktk hii picha, sasa ni Lowassa anayeonekana yupo karibu, PHOTOSHOP all the way!.
 
Google kwanza "Parkinson disease" then urudi hapa kumfagilia huyo mwizi
 

Mimi ninayempigania EL ninauhakika na ninachokipigania kwani SBB za msingi ninazo kulingana na mstakabali mzima wa taifa letu
 

EL ni mteule pekee wa Mungu aliyechaguliwa kuiongoza hii nchi kwa muhula huu unaofuata
 
EL tyr ameshachukua nchi, anasubiria muda wa kuapishwa ufike ili aweze kuanza majukumu yake ya urais

Ningekuwa karibu na wewe ningekuchomeka screwdriver kwenye shingo, kwa sasa naona kaa tu kwenye hiki kidole cha kati nilichokutengea ukatike na usikie raha ninavyokizungusha.
 

Kwa EL ndiye rais mtarajiwa, bhas ni muhimu tumjadili ktk kila hatua ya kiuongozi anayopitia
 
Picha ya kutengeneza hii lowasa hakua jukwaa kuu,pia jukwaa kuu hawawez kaa kwa kubanana pia angalia picha ilivotengenezwa el hana miguu,

Usitake kunifanya nisiamini macho yangu, siku hiyo nilimuona mwenyewe Lowassa kwa macho yangu, nikajiuliza, kuna mtu humu alianzisha thread kwamba Lowassa amelazwa nchi anayojua yeye (mleta mada), sasa hapo kwenye sherehe amefikaje? nikawa nafikiri hizo mvi ni za vice president lakini sira ya Lowassa, anyway sasa nimeproove alikuwa yeye.
 

Ni kweli mkuu ht mm niliona,hapo hakuna photoshop ila ni picha halisi.
 
Hana nguvu zozote ni ujinga tu tena hata nyumba alizonunua UK zinaweza kurudishwa kwa walipa kodi wa Tanzania. Yeye anakamua pesa baada ya kulididimiza shirika la simu Tanzania akisaidiwa na kiranja mkuu wa wizi anayelala Magogoni.

ebu weka picha ya hizo nyumba mkuu
 
Kwa comments hizi nimegundua watanzania wengi wana matatizo ya macho.

Mkuu, watu hawaangalii picha kwa umakini. Wanashindwa kugundua picha imeunganishwa. Ukitazama vizuri utagundua kuna mstari hafifu ambao unaonyesha picha kuunganishwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…