juve2012
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 3,343
- 2,040
Hii ilikuwa Jana Arusha ktk kuwa commission maafisa wa JWTZ wapya
Mkuu kwani huu uzi umepostiwa lini?
Hii ilikuwa Jana Arusha ktk kuwa commission maafisa wa JWTZ wapya
Tayari nchi imeshafilisika chini ya uongozi wa Kikwete.Kuna wengi wanamtaka Lowasa kuwa raisi mwakani. Kiuongozi ana ujasiri wa kufanya maamuzi bila uoga. Na pia anajiamini haogopi mtu yeyote. Lakini ukweli ni kwamba Lowasa ana tabia ya ufisadi na hiyo tabia hawezi kuiacha. Kama akishika nafasi ya uraisi, basi ujue nchi itafilisika.
Binafsi kwa upande wa ccm angalau namkubali Magufuli hadi nashangaa kwanini haoneshi interest ya kugombea kiti mwakani. Lowasa ni mwizi mno
unamtaka nani sasa? membe au?
unamtaka nani sasa? membe au? jų [/]
Utt7uuu7
Dr.Wilbroad slaa atosha
mpe baba uprof kuanzia leo akukosea kukuzaakwa mtazamo wangu na jinsi pepo za siasa zinavovuma tz ni dhahiri
kabisa kuwa jk akianza safari ya msoga baadae mwaka huu, edo ndiye
atakayeingia ktk zile ofisi nyeti pale magogoni karibu na soko la samaki.
Hata kama jahazi la kinana litamtosa,nadhani hawa ukawa watamchukua
tu na kumpitisha haraka sana.