Seif al Islam
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 2,156
- 638
Nadhani huo si mkakati mahsusi kwa muda huu.naamini kwa aina ya watanzania tluionao leo msisitizo ungewekwa katika kutekeleza ilani ya ccm ya kuwaletea wananchi maendeleo(kama ilani hiyo inatekelezeka).watashangaa mpango huo utakaposhindwa na kuanza kushikana uchawi.