Kwa chuki alizozizalisha EL wakati wa uongozi wake zimezima ndoto zake zote. Huyu bwana alishaka madaraka na kutumia vibaya sheria dhaifu zilizokuwepo kujiona Mungu Mtu sasa ataisikiaa tu Urais na hata Ubunge astaafu tuu asijeumbuka 2015 atakapoangushwa na vijana.