Tram Almasi
JF-Expert Member
- Feb 26, 2009
- 749
- 226
Mhh, hapo kweli ni heavy weight.Lowasa ni heavy weight, wewe mchukue Sitta,Mwakyembe,Anne Kilango, Nape nk waweke upande mmoja upande mwengine akikaa Lowasa uzani unaelemea kwa Lowasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhh, hapo kweli ni heavy weight.Lowasa ni heavy weight, wewe mchukue Sitta,Mwakyembe,Anne Kilango, Nape nk waweke upande mmoja upande mwengine akikaa Lowasa uzani unaelemea kwa Lowasa.
Nina wasi wasi sana na huyu zitto, inawezekana kabisa akawa anatumiwa
Utakuja kula matapishi yako mwenyewe siku moja. Mark my wordsRaila hawezi kuwa rais hata afanyeje....
Ndiyo, namwamini Mbowe 100%.usiseme hivyo
Mbowe anaaminika 100 percent?
Hafahamu kwamba kila mtu ananunulika; kinachohitajika ni kutafuta bei yake tu....na labda medium of exchange!! Kuna mwingine kwa fedha hanunuliki; lakini kwa madaraka(medium of exchange) ananunulika, tena kirahisi tu.....na kuna mwingine hanunuliki kwa fedha wala madaraka, lakini medium of exchange ikiwa totoz; ndani ya min sket....hapo simpo tu!!
Hizi ndio siasa, popote duniani mambo haya yapo, ukiwa na khofu huwezi kushinda, Politics is about fighiting for power, hakuna ustaaraabu kwemye siasa, baba na mwanae hugombana. CCM imetawala miaka mingi haitakuwa tayari kuondoka kirahisi hata kama imechokwa na watu, wapinzani wao wa karibu ni CDM kwa vyovyote CCM itafanya kila hila waivuruge CDM. La kusikitisha ni kusikia wapo viongozi wa CDM wanaweza kutumika katika mpango wa CCM kuiharibu CDM. Wait to see!Kuna taarifa za chini ya kapeti toka makao makuu ya nchi kuwa bwana mkubwa baada ya kukutana na EL Ughaibuni wamekubaliana kuanzisha mikakati mizito ambayo itapelekea EL aingie madarakani kama rais mwaka 2015, mtoa taarifa wangu ambae ni mmoja wa wana kamati ya mambo ya nje ambae alikuwemo ktk msafara ulioenda Ulaya anapasha kuwa kuwa kati ya mikakati iyo ni pamoja na kutumia vyombo vya habari marafiki na ambavyo tayari EL amevianzisha huku vikisimamiwa na Balile na wahariri wengine na mpango mwingi ni kufanya Lobbying kwa mataifa jirani hasa kenya, Uganda na Congo ambapo mmoja wa watekelezaji wa mpango huo bwana Rostam Aziz tayari ameripotiwa kufanya safari nchini Kenya kwa ajili ya kuwashawishi viongozi wa huko hasa wanaopewa nafasi kubwa ya kushinda uchaguzi nchini humo. Pia kuna mpango ambao umeanzishwa kwa spidi kubwa kuhakikisha chadema wanaparanganyika kwenye uchaguzi wao wa ndani na kumeguga, mpango huo umeshaanza na unatekelezwa na baadhi ya vyombo vya habari na viongozi wa ccm na watu wengine ambao wako ndani ya cdm wegine ni wabunge.
Kanieleza mambo mengi mengine nahitaji kuyafatilia kabla sijayaleta hapa maana yanahitaji ushahidi.
My take: Chadema inabidi wawe makini sana na nyendo zao na waangaliane vizuri ili kubaini nani anawatumikia hawa mabwana ndani ya chama.
Mie nimemfuatilia kwa karibu sana huyu bwana na nimegundua kuwa kwanza alikuwa mpinzani wa ukweli lakini kuna kitu lazima atakuwa amepewa na CCM kuja kuivuruga chadema, huyu siyo mpinzani wa kweli bali anajenga umaarufu na anaweza kutumia umaarufu wake kuivuruga chadema kwa sababu tayari atakuwa na wafuasi wengi. Fuatilia vizuri ile ishu ya sahihi 70 unadhani ilitoka wapi kama sio kwa kikwete mwenyewe. inawezekana kabisa Kikwete hayuko comfortable kufanya kazi na Pinda kwa sababu siyo muisilamu mwenzake na inabidi amkubali ka kuogopa machafuko ya kidini. Unadhani waziri mkuu angekuwa muisilamu Zitto angeshika bango? Mnajua kuwa baada ya sahihi sabini alikwenda marekani wakakutana na kikwete huko??Zitto siyo mtu mzuri hakika..Najua hilo muda mrefu, ataigharimu Chadema, afadhali hata Shibuda maana hana mvuto.
........ni mjinga peke yake ndiye anayeweza kuamini hili, kwani sentensi hii pekee inaweza ikawa ni mkakatiRais hatatoka kaskazini! na Bahati mbaya El ni kama kaniki hatakati hata umwoshe vipi