Noti mpya tz
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 974
- 244
Kuna taarifa za chini ya kapeti toka makao makuu ya nchi kuwa bwana mkubwa baada ya kukutana na EL Ughaibuni wamekubaliana kuanzisha mikakati mizito ambayo itapelekea EL aingie madarakani kama rais mwaka 2015, mtoa taarifa wangu ambae ni mmoja wa wana kamati ya mambo ya nje ambae alikuwemo ktk msafara ulioenda Ulaya anapasha kuwa kuwa kati ya mikakati iyo ni pamoja na kutumia vyombo vya habari marafiki na ambavyo tayari EL amevianzisha huku vikisimamiwa na Balile na wahariri wengine na mpango mwingi ni kufanya Lobbying kwa mataifa jirani hasa kenya, Uganda na Congo ambapo mmoja wa watekelezaji wa mpango huo bwana Rostam Aziz tayari ameripotiwa kufanya safari nchini Kenya kwa ajili ya kuwashawishi viongozi wa huko hasa wanaopewa nafasi kubwa ya kushinda uchaguzi nchini humo. Pia kuna mpango ambao umeanzishwa kwa spidi kubwa kuhakikisha chadema wanaparanganyika kwenye uchaguzi wao wa ndani na kumeguga, mpango huo umeshaanza na unatekelezwa na baadhi ya vyombo vya habari na viongozi wa ccm na watu wengine ambao wako ndani ya cdm wegine ni wabunge.
Kanieleza mambo mengi mengine nahitaji kuyafatilia kabla sijayaleta hapa maana yanahitaji ushahidi.
My take: Chadema inabidi wawe makini sana na nyendo zao na waangaliane vizuri ili kubaini nani anawatumikia hawa mabwana ndani ya chama.
Kanieleza mambo mengi mengine nahitaji kuyafatilia kabla sijayaleta hapa maana yanahitaji ushahidi.
My take: Chadema inabidi wawe makini sana na nyendo zao na waangaliane vizuri ili kubaini nani anawatumikia hawa mabwana ndani ya chama.