Kikwete na Lowassa: Kazi imeanza rasmi!

Noti mpya tz

JF-Expert Member
Mar 23, 2011
974
244
Kuna taarifa za chini ya kapeti toka makao makuu ya nchi kuwa bwana mkubwa baada ya kukutana na EL Ughaibuni wamekubaliana kuanzisha mikakati mizito ambayo itapelekea EL aingie madarakani kama rais mwaka 2015, mtoa taarifa wangu ambae ni mmoja wa wana kamati ya mambo ya nje ambae alikuwemo ktk msafara ulioenda Ulaya anapasha kuwa kuwa kati ya mikakati iyo ni pamoja na kutumia vyombo vya habari marafiki na ambavyo tayari EL amevianzisha huku vikisimamiwa na Balile na wahariri wengine na mpango mwingi ni kufanya Lobbying kwa mataifa jirani hasa kenya, Uganda na Congo ambapo mmoja wa watekelezaji wa mpango huo bwana Rostam Aziz tayari ameripotiwa kufanya safari nchini Kenya kwa ajili ya kuwashawishi viongozi wa huko hasa wanaopewa nafasi kubwa ya kushinda uchaguzi nchini humo. Pia kuna mpango ambao umeanzishwa kwa spidi kubwa kuhakikisha chadema wanaparanganyika kwenye uchaguzi wao wa ndani na kumeguga, mpango huo umeshaanza na unatekelezwa na baadhi ya vyombo vya habari na viongozi wa ccm na watu wengine ambao wako ndani ya cdm wegine ni wabunge.
Kanieleza mambo mengi mengine nahitaji kuyafatilia kabla sijayaleta hapa maana yanahitaji ushahidi.

My take: Chadema inabidi wawe makini sana na nyendo zao na waangaliane vizuri ili kubaini nani anawatumikia hawa mabwana ndani ya chama.
 

Attachments

  • JK & EL.jpg
    JK & EL.jpg
    20 KB · Views: 467
  • Salma Kikwete (3).jpg
    Salma Kikwete (3).jpg
    33 KB · Views: 397
wewe unataka kumwamsha nyoka wa mdimu?
hiyo ilitegemewa, ndio maana nyoka wa mdimu akapiga kelele za jamaa kusafiri wakati bunge liko in session, kumbe mwezeka anamipango ya muda mrefu na ya muda mfupi, na mazingira mazuri ya kukutana yalikuwa london.
 
Gazeti la mwananchi 20/7/12 ukarasa wa 12 kuna picha inaonesha umati mkubwa ikiwa na maneno yanayosomeka hivi:
"...uzinduzi wa wimbo wa Leka Dutigite uliowashirikisha wabunge vijana toka CCM na upinzani katika uwanja wa Lake Tanganyika ..."
 
Gazeti la mwananchi 20/7/12 ukarasa wa 12 kuna picha inaonesha umati mkubwa ikiwa na maneno yanayosomeka hivi:
"...uzinduzi wa wimbo wa Leka Dutigite uliowashirikisha wabunge vijana toka CCM na upinzani katika uwanja wa Lake Tanganyika ..."

Hivi vyote ni viashiria tu ila mkanda mkubwa uko nyuma unakuja hata ile issue ya Membe kuanza kulalama kuhusu maadui zake Membe anao mkanda mzima na jinsi mambo yanavyopelekwa hivi sasa, mwangalie Sitta na Mwakyembe ni kama wamenyoosha mikono juu na kujisalimisha na iangalie kauli ya Mgeja mwenyekiti wa ccm Shinyanga kujusu Membe na EL...
 
Picha hii nikiiangalia nakumbuka RICHMOND ilivyotumaliza watz tena roho inaniuma wanaigunga walivyo nunuliwa wajifanye wamezimia kwa kumkosa mu- Irani wa Igunga
 
2016 wabaya wake membe watakimbilia kenya.

Membe kaundiwa kikundi anatembea nacho bila yeye kujua kama umesikia kauli ya Mgeja kuwa Membe hamwezi EL maana EL kawekeza sana katika mbio za urais. Kikundi kilichoundwa kina wakuu wa mikoa na waziri wa mambo ya ndani wametega vijana ambao wanamfuatilia membe kila kona.
 
Kuna taarifa za chini ya kapeti toka makao makuu ya nchi kuwa bwana mkubwa baada ya kukutana na EL Ughaibuni wamekubaliana kuanzisha mikakati mizito ambayo itapelekea EL aingie madarakani kama rais mwaka 2015, mtoa taarifa wangu ambae ni mmoja wa wana kamati ya mambo ya nje ambae alikuwemo ktk msafara ulioenda Ulaya anapasha kuwa kuwa kati ya mikakati iyo ni pamoja na kutumia vyombo vya habari marafiki na ambavyo tayari EL amevianzisha huku vikisimamiwa na Balile na wahariri wengine na mpango mwingi ni kufanya Lobbying kwa mataifa jirani hasa kenya, Uganda na Congo ambapo mmoja wa watekelezaji wa mpango huo bwana Rostam Aziz tayari ameripotiwa kufanya safari nchini Kenya kwa ajili ya kuwashawishi viongozi wa huko hasa wanaopewa nafasi kubwa ya kushinda uchaguzi nchini humo. Pia kuna mpango ambao umeanzishwa kwa spidi kubwa kuhakikisha chadema wanaparanganyika kwenye uchaguzi wao wa ndani na kumeguga, mpango huo umeshaanza na unatekelezwa na baadhi ya vyombo vya habari na viongozi wa ccm na watu wengine ambao wako ndani ya cdm wegine ni wabunge.
Kanieleza mambo mengi mengine nahitaji kuyafatilia kabla sijayaleta hapa maana yanahitaji ushahidi.

My take: Chadema inabidi wawe makini sana na nyendo zao na waangaliane vizuri ili kubaini nani anawatumikia hawa mabwana ndani ya chama.

Nina wasi wasi sana na huyu zitto, inawezekana kabisa akawa anatumiwa
 
Rumourmill as usual. Why should we waste time trying to discuss such a political-dead person?EL is nothing but a day dreamer who will end up being toasted by voters if CCM dares to make such sacrilegeous mistake.
 
Kuna taarifa za chini ya kapeti toka makao makuu ya nchi kuwa bwana mkubwa baada ya kukutana na EL Ughaibuni wamekubaliana kuanzisha mikakati mizito ambayo itapelekea EL aingie madarakani kama rais mwaka 2015, mtoa taarifa wangu ambae ni mmoja wa wana kamati ya mambo ya nje ambae alikuwemo ktk msafara ulioenda Ulaya anapasha kuwa kuwa kati ya mikakati iyo ni pamoja na kutumia vyombo vya habari marafiki na ambavyo tayari EL amevianzisha huku vikisimamiwa na Balile na wahariri wengine na mpango mwingi ni kufanya Lobbying kwa mataifa jirani hasa kenya, Uganda na Congo ambapo mmoja wa watekelezaji wa mpango huo bwana Rostam Aziz tayari ameripotiwa kufanya safari nchini Kenya kwa ajili ya kuwashawishi viongozi wa huko hasa wanaopewa nafasi kubwa ya kushinda uchaguzi nchini humo. Pia kuna mpango ambao umeanzishwa kwa spidi kubwa kuhakikisha chadema wanaparanganyika kwenye uchaguzi wao wa ndani na kumeguga, mpango huo umeshaanza na unatekelezwa na baadhi ya vyombo vya habari na viongozi wa ccm na watu wengine ambao wako ndani ya cdm wegine ni wabunge.
Kanieleza mambo mengi mengine nahitaji kuyafatilia kabla sijayaleta hapa maana yanahitaji ushahidi. Hawa viongozi wetu ni maboga kama sio nazi mbovu ikiwa wanatuona mazuzu kiasi cha kumchagua mtu ambae ameihujumu nchi kiasi hiki. Wanaweza kujiprintia kura na kuzipitisha kama kawaida yao lakini hawatafika nazo mbali. Hata zile alizochakachua DHAIFU 2010 zinamtesa sana ndiyo maana anakimbia kama mwehu kubembea kwa hao anaowagawia dhahabu yetu bure huku akiwaomba vitumbua mchana kweupe. Wengi wetu tumejielimisha na tunaona mbali kuliko wanavyofikiri. Waache wahahe tu ila mwisho wao unaonekana karibuni sana tu. Swali ni kuwa kwani hawaangalii hata afya zao zilivyozorota? Ni nani anaenda kuwapigia wafu wanaotembea kura? Wangekuwa nazo wangevaa hizo suti waendelee kukimbilia nchi za nje huku wakisubiri kuzikwa kwenye vumbi walioitengenezaq wao wenyewe. Tutamchagua Dr Ulimboka kuwa rais wa nchi hii. Tutawachagua wachapa kazi kina Slaa na wengine wenye mwelekeo. Mungu ibariki Tanzania.
 
Kuna taarifa za chini ya kapeti toka makao makuu ya nchi kuwa bwana mkubwa baada ya kukutana na EL Ughaibuni wamekubaliana kuanzisha mikakati mizito ambayo itapelekea EL aingie madarakani kama rais mwaka 2015, mtoa taarifa wangu ambae ni mmoja wa wana kamati ya mambo ya nje ambae alikuwemo ktk msafara ulioenda Ulaya anapasha kuwa kuwa kati ya mikakati iyo ni pamoja na kutumia vyombo vya habari marafiki na ambavyo tayari EL amevianzisha huku vikisimamiwa na Balile na wahariri wengine na mpango mwingi ni kufanya Lobbying kwa mataifa jirani hasa kenya, Uganda na Congo ambapo mmoja wa watekelezaji wa mpango huo bwana Rostam Aziz tayari ameripotiwa kufanya safari nchini Kenya kwa ajili ya kuwashawishi viongozi wa huko hasa wanaopewa nafasi kubwa ya kushinda uchaguzi nchini humo. Pia kuna mpango ambao umeanzishwa kwa spidi kubwa kuhakikisha chadema wanaparanganyika kwenye uchaguzi wao wa ndani na kumeguga, mpango huo umeshaanza na unatekelezwa na baadhi ya vyombo vya habari na viongozi wa ccm na watu wengine ambao wako ndani ya cdm wegine ni wabunge.
Kanieleza mambo mengi mengine nahitaji kuyafatilia kabla sijayaleta hapa maana yanahitaji ushahidi. Hawa viongozi wetu ni maboga kama sio nazi mbovu ikiwa wanatuona mazuzu kiasi cha kumchagua mtu ambae ameihujumu nchi kiasi hiki. Wanaweza kujiprintia kura na kuzipitisha kama kawaida yao lakini hawatafika nazo mbali. Hata zile alizochakachua DHAIFU 2010 zinamtesa sana ndiyo maana anakimbia kama mwehu kubembea kwa hao anaowagawia dhahabu yetu bure huku akiwaomba vitumbua mchana kweupe. Wengi wetu tumejielimisha na tunaona mbali kuliko wanavyofikiri. Waache wahahe tu ila mwisho wao unaonekana karibuni sana tu. Swali ni kuwa kwani hawaangalii hata afya zao zilivyozorota? Ni nani anaenda kuwapigia wafu wanaotembea kura? Wangekuwa nazo wangevaa hizo suti waendelee kukimbilia nchi za nje huku wakisubiri kuzikwa kwenye vumbi walioitengenezaq wao wenyewe. Tutamchagua Dr Ulimboka kuwa rais wa nchi hii. Tutawachagua wachapa kazi kina Slaa na wengine wenye mwelekeo. Mungu ibariki Tanzania.

Proverbs 25:18
18*A man who bears false witness against his neighbor
****is like a war club, or a sword, or a sharp arrow.
 
Kwani kupanga mikakati ni lazima wakutane Europe? Mimi nadhani hizi ni porojo na huyo Mbunge aliyekwambia ni mbeya, lengo lake nini hasa, na ilikuweje akashirikishwa mtu ambaye hawezi kukaa na siri. Muogope huyo ni adui. CDM kama ni kunaguka wataabgua kwa uzembe wao wenyewe hasa kwa kuendekeza majungu na makundi wakati bado ni wachanga. Ni vyema wakawa na mkakati maalum wa kuendelea kujijenga na kuepusha migongano isiyokuwa na maana. Waachane na mpango wa kuchukua wanachama wenye uchu wa madaraka wanaohama ccm kwa taamaa baada ya kuona hali ni ngumu kwa upande wao. Wajikite kwenye vyuo na taasisi nyingine kujenga base yao ya vijana wasomi ambao kama watafanikiwa kushika dola watasaidia katika kujenga safu ya uongozi.
 
Padri Silaa mwenyewe anatumika na Mbowe ndio kashikwa kabisa hafurukuti unajua hayo?

Hawa washabiki wa CDM sijui wanaamini chama chao kama kimeshuka toka mbinguni vile,yaani nikitakatifu kwa asilimia zote,kumbe historia inaonyesha viongozi wao wengi ni magamba yaliyotoka CCM,huyo Slaa hakuhamia CDM hivi hivi tu ni baada ya kushindwa kura za mchujo,kama angeshinda basi mpaka leo angekuwa gamba la maana kabisa,tena alivyo na uchu wa madaraka angekuwa pacha wa mwigulu nchemba
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom