Kikwete: MZEE NYERERE

Kikwete: MZEE NYERERE

Huwa namshangaa yeye anapojiita eti Dr. Dokta gani hawezi hata kuongea!!!! Halafu udokta wenyewe wa kupewa chuo cha kata UDOM, ptuuuuuu!!!
Kimsingi Mh Rais Kikwete hakujiita Dr kihihivi bali ni udaktari wa heshima( Honorary doctorate) aliotunukiwa ktk chuo kikuu cha Nairobi baada ya kazi kubwa ya upatanishi wa mgogoro ule kufuatia matokeo ya uchaguzi mkuu wa kenya wa 2007 na kufanikiwa kuwapatanisha mahasimu Raila Odinga na Kibaki dakika za mwisho.. Lazima ukumbuke kwamba mgogoro huu uliwashinda kabisa wapatanishi Koffi Annan, Benjamin Mkapa, Graca Machel,Mwenyekiti wa AU wakati ule Rais John Kuffor wa Ghana na Mwenyekiti wa EAC wakati huo Rais Museven wa Uganda..Kutokana na juhudi kubwa za Rais Kikwete maafikiano yakapatikana na ndipo jopo la maprofesa Nairobi University lilipomtunuku Udktari huo wa heshima..Pia kihistoria inaonesha kuwa Kikwete ndo Rais wa kwanza barani Africa kupewa udaktari wa heshima na chuo kikuu hicho cha Nairobi..Watanzania tuache upotoshaji juu ya udaktari wa mh kikwete, tuwe wakweli.
 
Na yeye akistafu hatutamwita kaka wa Taifa, shauri yake!
Teh teh teh teh, yaani we NATA umenichekesha sana,yyt mwenye maudhi atembeleejf maudhi yote kwisha,,teh teh teh teh teh teh teh
 
Kimsingi Mh Rais Kikwete hakujiita Dr kihihivi bali ni udaktari wa heshima( Honorary doctorate) aliotunukiwa ktk chuo kikuu cha Nairobi baada ya kazi kubwa ya upatanishi wa mgogoro ule kufuatia matokeo ya uchaguzi mkuu wa kenya wa 2007 na kufanikiwa kuwapatanisha mahasimu Raila Odinga na Kibaki dakika za mwisho.. Lazima ukumbuke kwamba mgogoro huu uliwashinda kabisa wapatanishi Koffi Annan, Benjamin Mkapa, Graca Machel,Mwenyekiti wa AU wakati ule Rais John Kuffor wa Ghana na Mwenyekiti wa EAC wakati huo Rais Museven wa Uganda..Kutokana na juhudi kubwa za Rais Kikwete maafikiano yakapatikana na ndipo jopo la maprofesa Nairobi University lilipomtunuku Udktari huo wa heshima..Pia kihistoria inaonesha kuwa Kikwete ndo Rais wa kwanza barani Africa kupewa udaktari wa heshima na chuo kikuu hicho cha Nairobi..Watanzania tuache upotoshaji juu ya udaktari wa mh kikwete, tuwe wakweli.

Ndeketu inaonekana unajua mambo, ebu tujuze na udaktari wa slaa wa chadema.

 
Ulidhani Kikwete ampende Nyerere wakati anajua fika angekuwa hai hata huu urais angeusikia maana alimjua alivyo wa hovyo kuliko mtu mwingine? Analipiza kisasi kichini chini. Mara hii mnasahau jinsi Kikwete alivyo bingwa wa kulipiza visasi!

Spot on!! Inaelekea wewe jamaa unamfahamu sana huyu mkwereeee.......!!
 
Huwa namshangaa yeye anapojiita eti Dr. Dokta gani hawezi hata kuongea!!!! Halafu udokta wenyewe wa kupewa chuo cha kata UDOM, ptuuuuuu!!!





Vp bado unaamini kuwa rais wako hawezi kuongea???!!!

 
Last edited by a moderator:
Mkapa alikataa kuitwa MTUKUFU RAISI. Mzee , Baba wa Taifa yote sawa tu. Maadamu katika historia ya Tanzania mpaka mwisho wa dunia haitabadilika kuwa na baba wa taifa mwingine zaidi ya Nyerere.
 
Kiongozi wa kwanza wa nchi yeyote huitwa founding father. Marekani: George Washington. Singapore: Lee Kuan Yew
Ghana: Kwame Nkrumah. Tanzania: Julius Nyerere. Malaysia Tunku Abdul Rahman. etc. etc.

Unadhihirisha ujinga wako kwa kuongelea vitu ambavyo huvijui. Angalia list hii ya watu wanaotambulika kama Baba wa Taifa wa Mataifa yao na uniambie kama kuna uhusiano wowote wa wao kuwa viongozi wa kwanza wa Taifa huru: Hii ni mifano michache tu

CountryFather of the NationSource
CubaCarlos Manuel de Céspedes del CastilloThomas, Hugh 1971. Cuba, or the pursuit of freedom. Eyre & Spottiswoode, London. Revised and abridged edition 2001, Picador, London. Chapters 16 & 17.
CroatiaAnte Starčević
Tanner, Marcus (2001). Croatia: A Nation Forged in War (2nd ed.). Yale University Press. p. 102.
ChileBernardo O'Higgins
Harvey, Robert (2000). Liberators: Latin America's Struggle for Independence. New York: The Overlook Press
IndiaMahatma GandhiThe Collected Works of Mahatma Gandhi, Government of India (CWMG), Vol I, p. 150
BoliviaSimón BolívarBushnell, David. The Liberator, Simón Bolívar. New York: Alfred A. Knopf, 1970
IsraelTheodor HerzlBrenner, Michael, and Shelley Frisch. Zionism: A Brief History (2003)
Sierra LeoneThomas PetersSanneh (2001), p. 50
FranceClovis 1Brown, Peter (2003). The Rise of Western Christendom. Malden, MA, USA: Blackwell Publishing Ltd.. p. 137
Irelandthe seven signatories of the Proclamation of the Irish Republic: Patrick Pearse, James Connolly, Éamonn Ceannt, Tom Clarke, Seán Mac Diarmada, Thomas MacDonagh, and Joseph Mary Plunkett. Robert Emmett is also considered a founding father
NetherlandPrince William I of Orange (1533–1584)
 
Unadhihirisha ujinga wako kwa kuongelea vitu ambavyo huvijui. Angalia list hii ya watu wanaotambulika kama Baba wa Taifa wa Mataifa yao na uniambie kama kuna uhusiano wowote wa wao kuwa viongozi wa kwanza wa Taifa huru: Hii ni mifano michache tu

CountryFather of the NationSource
CubaCarlos Manuel de Céspedes del CastilloThomas, Hugh 1971. Cuba, or the pursuit of freedom. Eyre & Spottiswoode, London. Revised and abridged edition 2001, Picador, London. Chapters 16 & 17.
CroatiaAnte StarčevićTanner, Marcus (2001). Croatia: A Nation Forged in War (2nd ed.). Yale University Press. p. 102.
ChileBernardo O'HigginsHarvey, Robert (2000). Liberators: Latin America's Struggle for Independence. New York: The Overlook Press
IndiaMahatma GandhiThe Collected Works of Mahatma Gandhi, Government of India (CWMG), Vol I, p. 150
BoliviaSimón BolívarBushnell, David. The Liberator, Simón Bolívar. New York: Alfred A. Knopf, 1970
IsraelTheodor HerzlBrenner, Michael, and Shelley Frisch. Zionism: A Brief History (2003)
Sierra LeoneThomas PetersSanneh (2001), p. 50
FranceClovis 1Brown, Peter (2003). The Rise of Western Christendom. Malden, MA, USA: Blackwell Publishing Ltd.. p. 137
Irelandthe seven signatories of the Proclamation of the Irish Republic: Patrick Pearse, James Connolly, Éamonn Ceannt, Tom Clarke, Seán Mac Diarmada, Thomas MacDonagh, and Joseph Mary Plunkett. Robert Emmett is also considered a founding father
NetherlandPrince William I of Orange (1533–1584)
Sasa ujinga wangu hapo uko wapi ndugu yangu? Nini maana ya father of the nation? Kwa Tanzania ni nani? Kinjeketile?
 
Sasa ujinga wangu hapo uko wapi ndugu yangu? Nini maana ya father of the nation? Kwa Tanzania ni nani? Kinjeketile?

quote_icon.png
By Jasusi
Kiongozi wa kwanza wa nchi yeyote huitwa founding father. Marekani: George Washington. Singapore: Lee Kuan Yew
Ghana: Kwame Nkrumah. Tanzania: Julius Nyerere. Malaysia Tunku Abdul Rahman. etc. etc.

By Kisindika Unadhihirisha ujinga wako kwa kuongelea vitu ambavyo huvijui. Angalia list hii ya watu wanaotambulika kama Baba wa Taifa wa Mataifa yao na uniambie kama kuna uhusiano wowote wa wao kuwa viongozi wa kwanza wa Taifa huru: Hii ni mifano michache tu

[TABLE="class: cms_table"]
[TR]
[TD]Country[/TD]
[TD]Father of the Nation[/TD]
[TD]Source[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Cuba[/TD]
[TD]Carlos Manuel de Céspedes del Castillo[/TD]
[TD]Thomas, Hugh 1971. Cuba, or the pursuit of freedom. Eyre & Spottiswoode, London. Revised and abridged edition 2001, Picador, London. Chapters 16 & 17.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Croatia[/TD]
[TD]Ante Starčević[/TD]
[TD]Tanner, Marcus (2001). Croatia: A Nation Forged in War (2nd ed.). Yale University Press. p. 102.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Chile[/TD]
[TD]Bernardo O'Higgins[/TD]
[TD]Harvey, Robert (2000). Liberators: Latin America's Struggle for Independence. New York: The Overlook Press[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]India[/TD]
[TD]Mahatma Gandhi[/TD]
[TD]The Collected Works of Mahatma Gandhi, Government of India (CWMG), Vol I, p. 150[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Bolivia[/TD]
[TD]Simón Bolívar[/TD]
[TD]Bushnell, David. The Liberator, Simón Bolívar. New York: Alfred A. Knopf, 1970[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Israel[/TD]
[TD]Theodor Herzl[/TD]
[TD]Brenner, Michael, and Shelley Frisch. Zionism: A Brief History (2003)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Sierra Leone[/TD]
[TD]Thomas Peters[/TD]
[TD]Sanneh (2001), p. 50[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]France[/TD]
[TD]Clovis 1[/TD]
[TD]Brown, Peter (2003). The Rise of Western Christendom. Malden, MA, USA: Blackwell Publishing Ltd.. p. 137[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ireland[/TD]
[TD]the seven signatories of the Proclamation of the Irish Republic: Patrick Pearse, James Connolly, Éamonn Ceannt, Tom Clarke, Seán Mac Diarmada, Thomas MacDonagh, and Joseph Mary Plunkett. Robert Emmett is also considered a founding father[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Netherland[/TD]
[TD]Prince William I of Orange (1533–1584)
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


Sasa huoni kwenye hiyo mifano niliyotoa kwamba si lazima kiongozi wa kwanza wa nchi aitwe Baba wa Taifa? Kuhusu ni nani anayestahili nimesema anayestahili ni Kleist Sykes kwa sababu yeye ndie muasisi wa TAA, yeye ndie aliyeweka misngi madhubuti ya chama cha kupigania uhuru wa Tanganyika na yeye ndiye aliyejitolea kwa hali na mali kuhakikisha kwamba chama cha TAA kinaenea Tanganyika nzima kwa malengo ya kupigania uhuru wa Mtanganyika. Chini yake, hotuba maalum ya kutaka Watanganyika wapewe nafasi katika maamuzi ya nchi yao iliandaliwa na kupelekwa UN. Ilikataliwa bila sababu za msingi lakini ni hotuba hiyo hiyo ikatumiwa tena wakati Nyerere alipokwenda UN kudai Uhuru wa Tanganyika. Hivyo kazi kubwa ilifanywa na huyu Kleist Sykes na baadaye ikaendelezwa na mwanawe Abulwahid Sykes baada ya kifo cha baba yake.

Habari hizo zinapatikana kwenye links hizi:

TAA strikes fear in colonial hearts

The Sykes legacy lives on
 
mm mwenyewe baba yangu simuiti baba bali mzee na yeye haniiti mtoto bali kijana!nikimuita baba naona nampunguzia heshima na yeye akiniita mtoto anaona ananipunguzia heshima!
 
quote_icon.png
By Jasusi
Kiongozi wa kwanza wa nchi yeyote huitwa founding father. Marekani: George Washington. Singapore: Lee Kuan Yew
Ghana: Kwame Nkrumah. Tanzania: Julius Nyerere. Malaysia Tunku Abdul Rahman. etc. etc.

By Kisindika Unadhihirisha ujinga wako kwa kuongelea vitu ambavyo huvijui. Angalia list hii ya watu wanaotambulika kama Baba wa Taifa wa Mataifa yao na uniambie kama kuna uhusiano wowote wa wao kuwa viongozi wa kwanza wa Taifa huru: Hii ni mifano michache tu

[TABLE="class: cms_table"]
[TR]
[TD]Country[/TD]
[TD]Father of the Nation[/TD]
[TD]Source[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Cuba[/TD]
[TD]Carlos Manuel de Céspedes del Castillo[/TD]
[TD]Thomas, Hugh 1971. Cuba, or the pursuit of freedom. Eyre & Spottiswoode, London. Revised and abridged edition 2001, Picador, London. Chapters 16 & 17.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Croatia[/TD]
[TD]Ante Starčević[/TD]
[TD]Tanner, Marcus (2001). Croatia: A Nation Forged in War (2nd ed.). Yale University Press. p. 102.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Chile[/TD]
[TD]Bernardo O'Higgins[/TD]
[TD]Harvey, Robert (2000). Liberators: Latin America's Struggle for Independence. New York: The Overlook Press[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]India[/TD]
[TD]Mahatma Gandhi[/TD]
[TD]The Collected Works of Mahatma Gandhi, Government of India (CWMG), Vol I, p. 150[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Bolivia[/TD]
[TD]Simón Bolívar[/TD]
[TD]Bushnell, David. The Liberator, Simón Bolívar. New York: Alfred A. Knopf, 1970[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Israel[/TD]
[TD]Theodor Herzl[/TD]
[TD]Brenner, Michael, and Shelley Frisch. Zionism: A Brief History (2003)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Sierra Leone[/TD]
[TD]Thomas Peters[/TD]
[TD]Sanneh (2001), p. 50[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]France[/TD]
[TD]Clovis 1[/TD]
[TD]Brown, Peter (2003). The Rise of Western Christendom. Malden, MA, USA: Blackwell Publishing Ltd.. p. 137[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ireland[/TD]
[TD]the seven signatories of the Proclamation of the Irish Republic: Patrick Pearse, James Connolly, Éamonn Ceannt, Tom Clarke, Seán Mac Diarmada, Thomas MacDonagh, and Joseph Mary Plunkett. Robert Emmett is also considered a founding father[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Netherland[/TD]
[TD]Prince William I of Orange (1533–1584)[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


Sasa huoni kwenye hiyo mifano niliyotoa kwamba si lazima kiongozi wa kwanza wa nchi aitwe Baba wa Taifa? Kuhusu ni nani anayestahili nimesema anayestahili ni Kleist Sykes kwa sababu yeye ndie muasisi wa TAA, yeye ndie aliyeweka misngi madhubuti ya chama cha kupigania uhuru wa Tanganyika na yeye ndiye aliyejitolea kwa hali na mali kuhakikisha kwamba chama cha TAA kinaenea Tanganyika nzima kwa malengo ya kupigania uhuru wa Mtanganyika. Chini yake, hotuba maalum ya kutaka Watanganyika wapewe nafasi katika maamuzi ya nchi yao iliandaliwa na kupelekwa UN. Ilikataliwa bila sababu za msingi lakini ni hotuba hiyo hiyo ikatumiwa tena wakati Nyerere alipokwenda UN kudai Uhuru wa Tanganyika. Hivyo kazi kubwa ilifanywa na huyu Kleist Sykes na baadaye ikaendelezwa na mwanawe Abulwahid Sykes baada ya kifo cha baba yake.

Habari hizo zinapatikana kwenye links hizi:

TAA strikes fear in colonial hearts

The Sykes legacy lives on

Kama ni Kleist, kwa nini tusirudi nyuma hadi akina Kinjeketile na Mkwawa? Hao ndio walioanzisha harakati za kuwapinga Wajerumani wakati akina Kleist walikuwa wanapigana kwenye jeshi la Mjerumani. Lakini Watanzania walishatoa jibu kwa maswali yenu. Our founding father is Julius Nyerere. Full stop. Naona somo la Mohamed Said limewaingieni kweli kweli.
 
Kimsingi Mh Rais Kikwete hakujiita Dr kihihivi bali ni udaktari wa heshima( Honorary doctorate) aliotunukiwa ktk chuo kikuu cha Nairobi baada ya kazi kubwa ya upatanishi wa mgogoro ule kufuatia matokeo ya uchaguzi mkuu wa kenya wa 2007 na kufanikiwa kuwapatanisha mahasimu Raila Odinga na Kibaki dakika za mwisho.. Lazima ukumbuke kwamba mgogoro huu uliwashinda kabisa wapatanishi Koffi Annan, Benjamin Mkapa, Graca Machel,Mwenyekiti wa AU wakati ule Rais John Kuffor wa Ghana na Mwenyekiti wa EAC wakati huo Rais Museven wa Uganda..Kutokana na juhudi kubwa za Rais Kikwete maafikiano yakapatikana na ndipo jopo la maprofesa Nairobi University lilipomtunuku Udktari huo wa heshima..Pia kihistoria inaonesha kuwa Kikwete ndo Rais wa kwanza barani Africa kupewa udaktari wa heshima na chuo kikuu hicho cha Nairobi..Watanzania tuache upotoshaji juu ya udaktari wa mh kikwete, tuwe wakweli.

asante kwa ufafanuzi kumbe udokta alipewa Kenya,sikulitambua hilo.!!
 
Mzee , Baba wa Taifa yote sawa tu. Maadamu katika historia ya Tanzania mpaka mwisho wa dunia haitabadilika kuwa na baba wa taifa mwingine zaidi ya Nyerere.
Kwa nini unasema hivi?

Umeshawahi kufikiria kuwa Taifa la Tanzania (kupitia Muungano) linaweza kufa huko mbeleni? unafikiria kuwa nyerere bado atakuwa "baba wa Taifa" bila ya Tanzania?

Umeshawahi kufikiria kuwa nyerere hakuwa muasisi pekee wa nchi inayoitwa Tanzania?
 
ukisikia ulimbukeni na uzumbukuku wa akili ndo kama huu, kwani mtu ukimwita BABA WA TAIFA ndo inamaana unamuheshimu?!!! mbona MKAPA alikuwa ndo bingwa wa kumuita baba wa taifa na ndo aliyepewa uraisi na NYERERE lakini ndo wa kwanza kumsaliti. mara tu alipofariki nyerere akaanza kwa kubinafsisha NBC ambayo nyerere alikuwa anaililia muda wote na baada ya hapo akaingilia 'kuuza' migodi yote kwa wazungu kabla hata hatujaandaa wanataalam wazalendo wakutosha. acheni mambo ya kizee hayo eti BABA WA TAIFA!!!
 
Kwa nini unasema hivi?

Umeshawahi kufikiria kuwa Taifa la Tanzania (kupitia Muungano) linaweza kufa huko mbeleni? unafikiria kuwa nyerere bado atakuwa "baba wa Taifa" bila ya Tanzania?

Umeshawahi kufikiria kuwa nyerere hakuwa muasisi pekee wa nchi inayoitwa Tanzania?

Kilicho baki;Anzisheni maandamano kupinga Nyerere kuwa baba wa Taifa.
 
Maandamano ya nini wakati hatumtambui?!

Oooh Good, sasa hakuna haja ya kuumiza kichwa kujadili hoja ya baba wa taifa au mzee Nyerere. Kila mtu aamini anachokiamini bila kumbuguzi mwenzake. (Ni kama vile Wakristo wanamuamini YESU na Waislamu wanamuamini Mohamad. Siku ya Kiama ndiyo ukweli utajulikana kuwa nani alichagua fungu lilio jema). Hivyo na kwenye hili suala la Nyerere kila Mtu aamini anacho ona kina mfaa, maana hakuna sheria inayokubana au kukulazimisha.
 
Oooh Good, sasa hakuna haja ya kuumiza kichwa kujadili hoja ya baba wa taifa au mzee Nyerere. Kila mtu aamini anachokiamini bila kumbuguzi mwenzake. (Ni kama vile Wakristo wanamuamini YESU na Waislamu wanamuamini Mohamad. Siku ya Kiama ndiyo ukweli utajulikana kuwa nani alichagua fungu lilio jema). Hivyo na kwenye hili suala la Nyerere kila Mtu aamini anacho ona kina mfaa, maana hakuna sheria inayokubana au kukulazimisha.
Tuko pamoja!

Ninafikiri mwanzilishi wa huu uzi atakuwa ameishaelewa sasa...aache kumsakama JK au mwenye mawazo kama ya JK ninamaanisha wale ambao hatumuiti nyerere baba wa Taifa.
 
Back
Top Bottom