udini huo unawasumbua hv mkoje nyie?angekuwa sykes mngemwita baba wa taifa'wanafiki sana nyiemwislam yeyote anae jitambua hawezi kutumia jina la "baba" kama cheo kwa mwalim nyerere. Cheo cha "baba" hutumiwa na wakatoriki, ikiwa na maana "mtakatifu. Kwahiyo kwetu waislam, nyerere sio mtakatifu hata kidogo. Lakini kwa wenzetu wame nufaika kupitia yeye (nyerere) kwahiyo aishangazi mukimpa cheo cha "ubaba". Nawala sio kosa kwayeyote atakae kataa kumuita "baba", kwani hata katiba yetu haimtambui kwa cheo hicho