Kiongozi wa kwanza wa nchi huitwa Rais wa kwanza, au Waziri Kuu wa kwanza!
Kiongozi wa kwanza wa nchi yeyote huitwa founding father. Marekani: George Washington. Singapore: Lee Kuan Yew
Ghana: Kwame Nkrumah. Tanzania: Julius Nyerere. Malaysia Tunku Abdul Rahman. etc. etc.