Kikwete: MZEE NYERERE

Kikwete: MZEE NYERERE

Mwanzo, nilidhani utakua uzushi, ila leo kupitia maadhimisho ya miaka 36 ya kuzaliwa CCM, ndio nimeamini kupitia matamshi yake. Hv ni kwanini Ndg. Mrisho Kikwete huwa hataki kutamka Jina &quot;Baba wa Taifa Julius Kambarage Nyerere&quot;????<br />
Je na zile picha za kumbukumbu zenye Jina la Baba wa Taifa..., ziliandikwa kimakosa??
<br />
<br />
Yeye si kajianzia la kwake bwana maendeleo mmekataa kumuita badala yake mmemwita fastjet?
 
Kimsingi Mh Rais Kikwete hakujiita Dr kihihivi bali ni udaktari wa heshima( Honorary doctorate) aliotunukiwa ktk chuo kikuu cha Nairobi baada ya kazi kubwa ya upatanishi wa mgogoro ule kufuatia matokeo ya uchaguzi mkuu wa kenya wa 2007 na kufanikiwa kuwapatanisha mahasimu Raila Odinga na Kibaki dakika za mwisho.. Lazima ukumbuke kwamba mgogoro huu uliwashinda kabisa wapatanishi Koffi Annan, Benjamin Mkapa, Graca Machel,Mwenyekiti wa AU wakati ule Rais John Kuffor wa Ghana na Mwenyekiti wa EAC wakati huo Rais Museven wa Uganda..Kutokana na juhudi kubwa za Rais Kikwete maafikiano yakapatikana na ndipo jopo la maprofesa Nairobi University lilipomtunuku Udktari huo wa heshima..Pia kihistoria inaonesha kuwa Kikwete ndo Rais wa kwanza barani Africa kupewa udaktari wa heshima na chuo kikuu hicho cha Nairobi..Watanzania tuache upotoshaji juu ya udaktari wa mh kikwete, tuwe wakweli.
<br />
<br />
Si ndiyo wa kupewa? Kwani utafananisha na ule wa Dr. Slaa?
 
<font color="#800080"><b>Ndeketu inaonekana unajua mambo, ebu tujuze na udaktari wa slaa wa chadema.<br />
<br />
</b></font>
<br />
<br />
Sidhani kama huo atakuwa anaujua anajua za sebuleni tu kama hizo
 
Na wewe kwanini hutaki kumtambua na kumpa heshima yake kwa kumuita rais. Jakaya kikwete na sio ndugu. Acha roho mbaya isiyo na ustaarabu au wewe sio mtanzania . Unahangaika kutoa heshima kwa marehemu wakati walio hai wanaokutawala huwaheshimu au kwani akimuita mzee nyerere wewe utaongezewa mshahara kibaruani kwako



We' nawe ni miongon mwa wale wenye kujipendekeza kw viongoz wa ccm mwisho wa siku mkitegemea nafas za uongoz wa kupewa tu!!!. Rais kikwete (kama unavyotaka aitwe) si mtawala km unavyoamini we' bali ni kiongoz. hilooooooooo.
 
Back
Top Bottom