Mwalimu aliwahi kumtukana sana Kikwete aliposhiriki kuanzisha fagio la chuma lengo likiwa kuwaondoa viongozi aina ya Kawawa Rashidi chamani.....Mwalimu alimtukana sana sana hata matusi ya ajabu kabisa!! kwamba wewe ni nani kwa mtu kama kawawa ktk nchi hii??....lkn alikuwa ameelezwa na Raisi Mwinyi wakati huo ktijibu kitu chochote.
Nihivi, Mwinyi alipotaka kumteua Kikwete uwaziri alimwambia aende kwanza kwa mwalimu akaombe msamaha kwa kuanzisha vuguvugu la kutaka kumng'oa Kawawa CCM......ndiyo yakamkuta hayo ya kutukanwa kama mtoto...kuwa wewe kijana mnafiki sana hata wenzio wanakujua kuwa mnafiki, n.k...
Sasa Kikwete, akichanganya hili, na lile la mwalimu kupeleka barua yake ya unafiki kwa mkuu wa majeshi(rejea jinsi alivyoondoka monduli kwa msukosuko)...bado ana kinyongo sana na Mwalimu!