Kikwete: MZEE NYERERE

Kikwete: MZEE NYERERE

Kwani baba yako mzazi huo ubaba alipewa na nani, na je hicho cheo kwenye katiba kipo? Je kuna ulazima wa kila mtoto hapo kwenu kumuita baba yenu baba? Na ipi hukumu ya kutomuita baba yenu mzazi BABA?

Good analysis. Mwenye mawazo ya kijuha zama hizi hujibiwa kijuha.
 
Kwani baba yako mzazi huo ubaba alipewa na nani, na je hicho cheo kwenye katiba kipo? Je kuna ulazima wa kila mtoto hapo kwenu kumuita baba yenu baba? Na ipi hukumu ya kutomuita baba yenu mzazi BABA?

Kwa maswali yako BUTU umethibitisha kwamba si LAZIMA mtu yeyote kumwita Marehemu Nyerere baba, ni maamuzi binafsi tu.
 
UDOCTA wa kupachikwa hauna NGUVU!!!!!.....ndo maaana watu wanasahau sahau kulitaja!!!

!kasome vizuri cv ya muheshimiwa Rais Dr. J.K , you gave me cancer with your dumb :A S angry: replay
 
Inaonyesha hata maana ya Baba wa Taifa hujui, inasikitisha na kushangaza,
Naomba nikuulize swali, Wewe ulihusishwa ktk kumuita Baba yako mzazi Mkuu wa familia.

Ikusikitishe na ikushangaze. Kuna watu walianza kuunganisha Watanganyika kabla yake. Yeye Nyerere aliwakuta hawa wameadvance kiasi cha kutosha na wameweka mtandao wa chama Tanganyika nzima. Nyerere akautumia tu huo mtandao hivyo hastahili kupewa heshima ya kuwa Baba wa Taifa.
 
acha na kikwete maana katuelekezea upanga ukitanguliza mdomo ataanza nawewe mwache amalizie time lake
 
Ikusikitishe na ikushangaze. Kuna watu walianza kuunganisha Watanganyika kabla yake. Yeye Nyerere aliwakuta hawa wameadvance kiasi cha kutosha na wameweka mtandao wa chama Tanganyika nzima. Nyerere akautumia tu huo mtandao hivyo hastahili kupewa heshima ya kuwa Baba wa Taifa.
Tatizo lenu hamuwi wawazi, unaposema kuwa Nyerer aliwakuta watu wameadvance na kuweka mtandao chama Tanganyika nzima, hivyo Nyerere hastahili kupewa heshima ya Baba wa Taifa una maanisha yupo unayemjua wewe/nyie kuwa anastahili kuitwa baba wa Taifa tofauti na Nyerere, ni vizuri ukatutajia ili na sisi tumuite huyo ndio baba wa Taifa,
 
Kwa maswali yako BUTU umethibitisha kwamba si LAZIMA mtu yeyote kumwita Marehemu Nyerere baba, ni maamuzi binafsi tu.
Hata hivyo hakuna mtu anayelazimishwa kumuita baba yake mzazi BABA, ni busara za mtu binafsi tu.
 
Hata hivyo hakuna mtu anayelazimishwa kumuita baba yake mzazi BABA, ni busara za mtu binafsi tu.

we kweli mlevi utamfananishaje baba angu na Nyerere? Nyerere si baba yangu bali alikuwa sawa na babu tuu!
 
we kweli mlevi utamfananishaje baba angu na Nyerere? Nyerere si baba yangu bali alikuwa sawa na babu tuu!
Huo ni mfano, Nyerere sio baba yako ni baba wa Taifa, ndio maana hatusemi umuite baba yako, tunakushauri umuite baba wa Taifa.
Unavyogoma kumuita hivyo, nikakupa mfano, ni sawa na mtoto kugoma kumuita baba yake mzazi BABA.
 
Huo ni mfano, Nyerere sio baba yako ni baba wa Taifa, ndio maana hatusemi umuite baba yako, tunakushauri umuite baba wa Taifa.
Unavyogoma kumuita hivyo, nikakupa mfano, ni sawa na mtoto kugoma kumuita baba yake mzazi BABA.

baba wa taifa kwa kifungu gani cha katiba?
 
mkuu shukrani kwa taarifa hii, yafaa kua sehemu ya historia. Kwa maana hyo historia bado inamuhukumu?
Na ilikuaje viongozi wa DINI walienda mbali zaidi na kutuamisha ya kua jamaa ni chaguo la Mungu, hawakua na hishoria hii au wali fanya dhami ya kupuuzia historia..?????
Si kila kiongozi wa dini yupo hapo kiimani zaidi, wengine wapo kimaslahi binafsi zaidi (si wito).
 
baba wa taifa kwa kifungu gani cha katiba?
Kweli wewe darasani ulikuwa unaelewa kiurahisi?! Nimekujibu kwa kukupa mfano,Baba yako mzazi ni baba yako kwa kutumia kifungu kipi cha katiba?, Baba wa Taifa maana yake ni founder of the nation, yule aliyekuwa kiongozi wa kwanza wa taifa huru,
Kama una swali jingine uliza.
 
Huwa namshangaa yeye anapojiita eti Dr. Dokta gani hawezi hata kuongea!!!! Halafu udokta wenyewe wa kupewa chuo cha kata UDOM, ptuuuuuu!!!
 
Kweli wewe darasani ulikuwa unaelewa kiurahisi?! Nimekujibu kwa kukupa mfano,Baba yako mzazi ni baba yako kwa kutumia kifungu kipi cha katiba?, Baba wa Taifa maana yake ni founder of the nation, yule aliyekuwa kiongozi wa kwanza wa taifa huru,
Kama una swali jingine uliza.

Unapoteza muda wako bure kumwelewesha mtu wa aina hii. Si ndiyo hao hao wanaojiita eti Dr!!!! Alipovalishwa kofia ya PhD ya usanii na msanii mwenzie pale chuo cha kata UDOM alitoka pale anashangilia kama zuzu, tehe tehe tehe !!!!
 
Mwalimu aliwahi kumtukana sana Kikwete aliposhiriki kuanzisha fagio la chuma lengo likiwa kuwaondoa viongozi aina ya Kawawa Rashidi chamani.....Mwalimu alimtukana sana sana hata matusi ya ajabu kabisa!! kwamba wewe ni nani kwa mtu kama kawawa ktk nchi hii??....lkn alikuwa ameelezwa na Raisi Mwinyi wakati huo ktijibu kitu chochote.

Nihivi, Mwinyi alipotaka kumteua Kikwete uwaziri alimwambia aende kwanza kwa mwalimu akaombe msamaha kwa kuanzisha vuguvugu la kutaka kumng'oa Kawawa CCM......ndiyo yakamkuta hayo ya kutukanwa kama mtoto...kuwa wewe kijana mnafiki sana hata wenzio wanakujua kuwa mnafiki, n.k...

Sasa Kikwete, akichanganya hili, na lile la mwalimu kupeleka barua yake ya unafiki kwa mkuu wa majeshi(rejea jinsi alivyoondoka monduli kwa msukosuko)...bado ana kinyongo sana na Mwalimu!

Inawezekana alishawahi kulichapa kaburi la 'Mzee' Nyerere?
 
Unapoteza muda wako bure kumwelewesha mtu wa aina hii. Si ndiyo hao hao wanaojiita eti Dr!!!! Alipovalishwa kofia ya PhD ya usanii na msanii mwenzie pale chuo cha kata UDOM alitoka pale anashangilia kama zuzu, tehe tehe tehe !!!!

kama ulivyo ZUZU wewe na digrii yako ya ch*****u@@@pi uliyoipata Unrecognised university
 
Unapoteza muda wako bure kumwelewesha mtu wa aina hii. Si ndiyo hao hao wanaojiita eti Dr!!!! Alipovalishwa kofia ya PhD ya usanii na msanii mwenzie pale chuo cha kata UDOM alitoka pale anashangilia kama zuzu, tehe tehe tehe !!!!
Kweli mkuu, huyu jamaa atanichosha, sasa hivi akiuliza tena namkaushia.
 
Back
Top Bottom