jaribu siku moja baba yako umwite babu then yatakayokutokea njoo utusimulie.Lakini hata akimwita babu nini kinaharibika? Lile ni jina tu lisikufanye ushindwe kuishi kwa amani!
jaribu siku moja baba yako umwite babu then yatakayokutokea njoo utusimulie.Lakini hata akimwita babu nini kinaharibika? Lile ni jina tu lisikufanye ushindwe kuishi kwa amani!
Mmeanza vurugu nyie magaidiCheo chake ni Baba mtakatifu wa kato...i na si wa taifa, umesahau mkuu.
Bado ana hasira za kukataliwa kuwa rais wa mwaka 1995.
Mmeanza vurugu nyie magaidi
Mwislam yeyote anae jitambua hawezi kutumia jina la "BABA" kama cheo kwa Mwalim Nyerere. Cheo cha "BABA" hutumiwa na wakatoriki, ikiwa na maana "mtakatifu. Kwahiyo kwetu Waislam, Nyerere sio mtakatifu hata kidogo. Lakini kwa wenzetu wame nufaika kupitia yeye (Nyerere) kwahiyo aishangazi mukimpa cheo cha "UBABA". Nawala sio kosa kwayeyote atakae kataa kumuita "BABA", kwani hata katiba yetu haimtambui kwa cheo hicho
Mwislam yeyote anae jitambua hawezi kutumia jina la "BABA" kama cheo kwa Mwalim Nyerere. Cheo cha "BABA" hutumiwa na wakatoriki, ikiwa na maana "mtakatifu. Kwahiyo kwetu Waislam, Nyerere sio mtakatifu hata kidogo. Lakini kwa wenzetu wame nufaika kupitia yeye (Nyerere) kwahiyo aishangazi mukimpa cheo cha "UBABA"../QUOTE]
Hizo ni pumba, hebu tuambie Uislamu wa Jk unahusia au kutohusiana vipi na mtu kuitwa baba?
Mleta mada hakuongelea dini zao lkn kwa Uislamu wako feki umechomekea din
Mmeanza vurugu nyie magaidi
mkuu shukrani kwa taarifa hii,...
Na ilikuaje viongozi wa DINI walienda mbali zaidi na kutuamisha ya kua jamaa ni chaguo la Mungu, hawakua na hishoria hii au wali fanya dhami ya kupuuzia historia..?????
Tatizo ni kwamba historia yote ya vuguvugu la Watanganyika wakati wa enzi za T.A.A haijaandikwa kwa makusudi na utawala wa Nyerere ili kuwapa Watanzania picha kwamba mambo yote ya kudai uhuru yalianzia T.A.N.U alipoingia yeye. Baba wa Taifa letu lazima awe muasisi wa T.A.A. kwani ndio mtandao ulioanza kuwaunganisha Watanganyika. Sasa waulizwe wazee wachache waliobaki waliokuwepo wakati T.A.A. ilipoanzishwa ndio watatuambia nani anastahili kuitwa Baba wa Taifa
unajua maana ya gaidi we kijana mkatonta? Magaidi wamejaa huko kwenu makanisani halafu mmawazingizia waislamu.jk nyerere akiwa mmojawapo au hauamini nikuonyesha ugaidi wake?
Ushasema baba yangu, kwani Nyerere ni baba yangu? Mwenye haki ya kumuita hivyo ni Makongoro sio miemkuu baba yako unamuitaje ??????kama unaona baba inamaana ya utakatifu na hakuna binaadamu mtakatifu..........
hoja yako haina mshiko.kutomuita nyerere baba wa taifa sio dhambi.huo ubaba wa taifa kabatizwa na watu haukushushwa.nimewahi kusikia kwa mtu kuwa rais kikwete huwa hamuiti mwalimu nyerere 'baba wa taifa', kama tunavyofanya watanzania wengi. Japo sina uhakika sana na hili, mimi pia nimemsikiliza jk mara kadhaa anapoongea kuhusu nyerere hamuiti baba wa taifa bali humuita 'mzee nyerere'.
Kuna sababu yoyote ya maana inayomfanya jk asimuite baba wa taifa? Au ameamua mwenyewe tu kumuita hivyo? Kuna tatizo lolote kutokumuita baba wa taifa?