Uchaguzi 2020 Kikwete, Mizengo Pinda na Kassim Majaliwa hamna ushawishi wowote kwenye siasa za Tanzania kwa sasa, huko kwenye kampeni mlikojiingiza mnachorwa tu

Kuna kitu huyu former First Lady anakosa nyumbani kwao hivyo anatafuta njia ya kutokuwepo nyumbani kwa kisingizio cha Bunge!!! She does not have the competence to be a useful member of parliament!!
Ohooooo !!!
 
Nikianza na Kikwete, huyu mambo yote yalimvurugikia mwaka 2015 kutokana na kutokujiamini na uoga wake dhidi ya Lowassa, akaboronga na kupeleka nchi kushoto kwa kucheza kamari ya hatari sana na kumpa nchi mtu asiyestahili, katili na mwenye visasi vya hovyo sana ambavyo havijawahi kutokea kwenye nchi hii. Matokeo yake nchi yetu imerudi utumwani huku watu wakitekwa na kupotea katika mazingira ya hovyo sana yenye kuiletea nchi aibu duniani.

Hata hivyo Kikwete hajawahi kukemea unyama huu wa kishamba, na tangu hapo wananchi wamemdharau sana, japo ameonekana Lindi kwenye mkutano wa kampeni wa CCM, wengi hawakuguswa na uwepo wake na wanaamini alikuja mahususi kumpigia kampeni mkewe, ambaye alifikia kuwa first lady lakini sasa anaomba tena ubunge. Maajabu! Kwa kifupi Kikwete ndio aliyesababisha nchi hii kuwa hivi, wananchi hawatamsamehe.

Mizengo Pinda, huyu hana uwezo wa kumshawishi yeyote kuhusu siasa za Tanzania , hana uwezo na wala hajawahi kukemea maovu popote Tanzania, wananchi siyo Wajinga na wanazo kumbukumbu na akili timamu. Pinda alipokuwa Waziri Mkuu alimzuia Magufuli aliyekuwa Waziri wa Ujenzi kubomoa jengo la Tanesco Ubungo kwa kisingizio kwamba liko kwenye hifadhi ya barabara. Hata hivyo, baada ya Magufuli kuwa Rais akarudi tena Ubungo na kulibomoa jengo lile kiroho mbaya bila huruma na wala bila faida yoyote, Pinda aliona lakini akaufyata, mtu kama huyu anaweza kumshawishi mwananchi gani kuichagua CCM?

Kasimu Majaliwa, huyu ndio funga kazi kabisa! Hana ubunifu na wala hajawahi kuwa nao. Katika kipindi chake chote cha miaka mitano alichofanya ni kupandisha ligi kuu kimagumashi timu ya kwao inayoitwa Namungo na kutumia pesa ya umma kujenga uwanja wa soka kwao. Hana alilolifanya zaidi ya kusoma hotuba za kufunga ama kufungua bunge. Aliufyata alipoambiwa mashangazi zake watatandikwa makofi kwenye sakata la korosho, ndugu zake wakazama kwenye mafuriko huku yeye akijificha DSM.

Kwa kumbukumbu zangu huyu ndio Waziri Mkuu wa kiwango cha chini kabisa kuwahi kuwepo nchi hii, hana ubunifu wowote na kuna taarifa kwamba kwao hatakiwi kabisa na wananchi. Hii ndio sababu ya Wagombea ubunge Ruangwa wa vyama vingine kutekwa na kunyimwa fomu ili apitishwe bila kupingwa. Huyu hana uwezo wa kumshawishi mtu yeyote kuichagua CCM. Kampeni anazozifanya ni sawa na kupoteza muda tu.

Itaendelea...
Maandishi yako ni sawasawa na kijana anayeibuka na kulolonga kwamba msichana fulani si mzuri. Kama si mzuri, so what? Hakujiumba mwenyewe. Anaendelea na maisha yake. Sawasawa na wewe unavyosema Kikwete, Majaliwa na Pinda hawana ushawishi. So what? Kama wameshindwa kukushawishi wewe, ni sawa na yule msichana uliyemsema wewe kuwa siyo mzuri akaja akachukuliwa na mwenzako wakaishi vizuri. Wakina Kikwete, Majaliwa na Pinda hawakuvutii wewe. Endelea na wakati wako. Hujui kama kuna wengi wanaovutiwa nao.
 
Maandishi yako ni sawasawa na kijana anayeibuka na kulolonga kwamba msichana fulani si mzuri. Kama si mzuri, so what? Hakujiumba mwenyewe. Anaendelea na maisha yake. Sawasawa na wewe unavyosema Kikwete, Majaliwa na Pinda hawana ushawishi. So what? Kama wameshindwa kukushawishi wewe, ni sawa na yule msichana uliyemsema wewe kuwa siyo mzuri akaja akachukuliwa na mwenzako wakaishi vizuri. Wakina Kikwete, Majaliwa na Pinda hawakuvutii wewe. Endelea na wakati wako. Hujui kama kuna wengi wanaovutiwa nao.
Mkuu ulimola , habari za Geita
 
Nikianza na Kikwete, huyu mambo yote yalimvurugikia mwaka 2015 kutokana na kutokujiamini na uoga wake dhidi ya Lowassa, akaboronga na kupeleka nchi kushoto kwa kucheza kamari ya hatari sana na kumpa nchi mtu asiyestahili, katili na mwenye visasi vya hovyo sana ambavyo havijawahi kutokea kwenye nchi hii. Matokeo yake nchi yetu imerudi utumwani huku watu wakitekwa na kupotea katika mazingira ya hovyo sana yenye kuiletea nchi aibu duniani.

Hata hivyo Kikwete hajawahi kukemea unyama huu wa kishamba, na tangu hapo wananchi wamemdharau sana, japo ameonekana Lindi kwenye mkutano wa kampeni wa CCM, wengi hawakuguswa na uwepo wake na wanaamini alikuja mahususi kumpigia kampeni mkewe, ambaye alifikia kuwa first lady lakini sasa anaomba tena ubunge. Maajabu! Kwa kifupi Kikwete ndio aliyesababisha nchi hii kuwa hivi, wananchi hawatamsamehe.

Mizengo Pinda, huyu hana uwezo wa kumshawishi yeyote kuhusu siasa za Tanzania , hana uwezo na wala hajawahi kukemea maovu popote Tanzania, wananchi siyo Wajinga na wanazo kumbukumbu na akili timamu. Pinda alipokuwa Waziri Mkuu alimzuia Magufuli aliyekuwa Waziri wa Ujenzi kubomoa jengo la Tanesco Ubungo kwa kisingizio kwamba liko kwenye hifadhi ya barabara. Hata hivyo, baada ya Magufuli kuwa Rais akarudi tena Ubungo na kulibomoa jengo lile kiroho mbaya bila huruma na wala bila faida yoyote, Pinda aliona lakini akaufyata, mtu kama huyu anaweza kumshawishi mwananchi gani kuichagua CCM?

Kasimu Majaliwa, huyu ndio funga kazi kabisa! Hana ubunifu na wala hajawahi kuwa nao. Katika kipindi chake chote cha miaka mitano alichofanya ni kupandisha ligi kuu kimagumashi timu ya kwao inayoitwa Namungo na kutumia pesa ya umma kujenga uwanja wa soka kwao. Hana alilolifanya zaidi ya kusoma hotuba za kufunga ama kufungua bunge. Aliufyata alipoambiwa mashangazi zake watatandikwa makofi kwenye sakata la korosho, ndugu zake wakazama kwenye mafuriko huku yeye akijificha DSM.

Kwa kumbukumbu zangu huyu ndio Waziri Mkuu wa kiwango cha chini kabisa kuwahi kuwepo nchi hii, hana ubunifu wowote na kuna taarifa kwamba kwao hatakiwi kabisa na wananchi. Hii ndio sababu ya Wagombea ubunge Ruangwa wa vyama vingine kutekwa na kunyimwa fomu ili apitishwe bila kupingwa. Huyu hana uwezo wa kumshawishi mtu yeyote kuichagua CCM. Kampeni anazozifanya ni sawa na kupoteza muda tu.

Itaendelea...

Kuna jambo moja linasemwa sana, na wewe hapa umelisema, 'mtu wa visasi'. Kisasi ni malipizi kwa mtu aliyekuumiza. Sasa hebu niambie akina nani hao walianza kukuumiza yeye kabla na walimuumizaje mpaka awafanyie visasi'? Kwanza tupunguze blanketi statement na mambo yanaodhaniwa kufahamika wakati hayafahamiki.
 
Nikianza na Kikwete, huyu mambo yote yalimvurugikia mwaka 2015 kutokana na kutokujiamini na uoga wake dhidi ya Lowassa, akaboronga na kupeleka nchi kushoto kwa kucheza kamari ya hatari sana na kumpa nchi mtu asiyestahili, katili na mwenye visasi vya hovyo sana ambavyo havijawahi kutokea kwenye nchi hii. Matokeo yake nchi yetu imerudi utumwani huku watu wakitekwa na kupotea katika mazingira ya hovyo sana yenye kuiletea nchi aibu duniani.

Hata hivyo Kikwete hajawahi kukemea unyama huu wa kishamba, na tangu hapo wananchi wamemdharau sana, japo ameonekana Lindi kwenye mkutano wa kampeni wa CCM, wengi hawakuguswa na uwepo wake na wanaamini alikuja mahususi kumpigia kampeni mkewe, ambaye alifikia kuwa first lady lakini sasa anaomba tena ubunge. Maajabu! Kwa kifupi Kikwete ndio aliyesababisha nchi hii kuwa hivi, wananchi hawatamsamehe.

Mizengo Pinda, huyu hana uwezo wa kumshawishi yeyote kuhusu siasa za Tanzania , hana uwezo na wala hajawahi kukemea maovu popote Tanzania, wananchi siyo Wajinga na wanazo kumbukumbu na akili timamu. Pinda alipokuwa Waziri Mkuu alimzuia Magufuli aliyekuwa Waziri wa Ujenzi kubomoa jengo la Tanesco Ubungo kwa kisingizio kwamba liko kwenye hifadhi ya barabara. Hata hivyo, baada ya Magufuli kuwa Rais akarudi tena Ubungo na kulibomoa jengo lile kiroho mbaya bila huruma na wala bila faida yoyote, Pinda aliona lakini akaufyata, mtu kama huyu anaweza kumshawishi mwananchi gani kuichagua CCM?

Kasimu Majaliwa, huyu ndio funga kazi kabisa! Hana ubunifu na wala hajawahi kuwa nao. Katika kipindi chake chote cha miaka mitano alichofanya ni kupandisha ligi kuu kimagumashi timu ya kwao inayoitwa Namungo na kutumia pesa ya umma kujenga uwanja wa soka kwao. Hana alilolifanya zaidi ya kusoma hotuba za kufunga ama kufungua bunge. Aliufyata alipoambiwa mashangazi zake watatandikwa makofi kwenye sakata la korosho, ndugu zake wakazama kwenye mafuriko huku yeye akijificha DSM.

Kwa kumbukumbu zangu huyu ndio Waziri Mkuu wa kiwango cha chini kabisa kuwahi kuwepo nchi hii, hana ubunifu wowote na kuna taarifa kwamba kwao hatakiwi kabisa na wananchi. Hii ndio sababu ya Wagombea ubunge Ruangwa wa vyama vingine kutekwa na kunyimwa fomu ili apitishwe bila kupingwa. Huyu hana uwezo wa kumshawishi mtu yeyote kuichagua CCM. Kampeni anazozifanya ni sawa na kupoteza muda tu.

Itaendelea...
Nyumbu katika ubora wake
 
Nikianza na Kikwete, huyu mambo yote yalimvurugikia mwaka 2015 kutokana na kutokujiamini na uoga wake dhidi ya Lowassa, akaboronga na kupeleka nchi kushoto kwa kucheza kamari ya hatari sana na kumpa nchi mtu asiyestahili, katili na mwenye visasi vya hovyo sana ambavyo havijawahi kutokea kwenye nchi hii. Matokeo yake nchi yetu imerudi utumwani huku watu wakitekwa na kupotea katika mazingira ya hovyo sana yenye kuiletea nchi aibu duniani.

Hata hivyo Kikwete hajawahi kukemea unyama huu wa kishamba, na tangu hapo wananchi wamemdharau sana, japo ameonekana Lindi kwenye mkutano wa kampeni wa CCM, wengi hawakuguswa na uwepo wake na wanaamini alikuja mahususi kumpigia kampeni mkewe, ambaye alifikia kuwa first lady lakini sasa anaomba tena ubunge. Maajabu! Kwa kifupi Kikwete ndio aliyesababisha nchi hii kuwa hivi, wananchi hawatamsamehe.

Mizengo Pinda, huyu hana uwezo wa kumshawishi yeyote kuhusu siasa za Tanzania , hana uwezo na wala hajawahi kukemea maovu popote Tanzania, wananchi siyo Wajinga na wanazo kumbukumbu na akili timamu. Pinda alipokuwa Waziri Mkuu alimzuia Magufuli aliyekuwa Waziri wa Ujenzi kubomoa jengo la Tanesco Ubungo kwa kisingizio kwamba liko kwenye hifadhi ya barabara. Hata hivyo, baada ya Magufuli kuwa Rais akarudi tena Ubungo na kulibomoa jengo lile kiroho mbaya bila huruma na wala bila faida yoyote, Pinda aliona lakini akaufyata, mtu kama huyu anaweza kumshawishi mwananchi gani kuichagua CCM?

Kasimu Majaliwa, huyu ndio funga kazi kabisa! Hana ubunifu na wala hajawahi kuwa nao. Katika kipindi chake chote cha miaka mitano alichofanya ni kupandisha ligi kuu kimagumashi timu ya kwao inayoitwa Namungo na kutumia pesa ya umma kujenga uwanja wa soka kwao. Hana alilolifanya zaidi ya kusoma hotuba za kufunga ama kufungua bunge. Aliufyata alipoambiwa mashangazi zake watatandikwa makofi kwenye sakata la korosho, ndugu zake wakazama kwenye mafuriko huku yeye akijificha DSM.

Kwa kumbukumbu zangu huyu ndio Waziri Mkuu wa kiwango cha chini kabisa kuwahi kuwepo nchi hii, hana ubunifu wowote na kuna taarifa kwamba kwao hatakiwi kabisa na wananchi. Hii ndio sababu ya Wagombea ubunge Ruangwa wa vyama vingine kutekwa na kunyimwa fomu ili apitishwe bila kupingwa. Huyu hana uwezo wa kumshawishi mtu yeyote kuichagua CCM. Kampeni anazozifanya ni sawa na kupoteza muda tu.

Itaendelea...
Mnafurahisha mnaposhambulia mtu binafsi badala ya Sera za Chama zao mkidhani wanayotekeleza ni kwa matakwa yao kama ilivyo CHADEMA SACCOS ya Mbowe.

Kwa vitendo vyenu vya kuwashambulia viongozi wa CCM, walioheshimika na wanachama, hakija mnajijengea chuki. Hao wanachama (>milioni 12) watawaadhibu kwa kura. Hata wachache ambao hakupendezwa na uongozi wa hao, hawatapiga kura za chuki.

Je, CHADEMA ina wanachama wangapi watiifu wa kuwapigia kuea wagombea, ikizingatiwa:-
1) Mgombea, kweye kampeni zake hadi sasa, Sera yake ni kuchochea chuki dhidi ya Magufuli. Hili linamtenga na jamii iliyostaarabika (milioni 5 ya wapiga wasio wanachama wa CCM;
2) Sera ya "haki, uhuru na maendeleo ya watu" ni nadharia ya kisomi ambayo hata Mgombea wa Urais ameshindwa kuielezea, sembuse wabunge na madiwani. Kwa ushahidi, hao wagombea wa CHADEMA, kama hawatukani kwenye kampeni, wamesikika wakitoa ahadi za "maendeleo ya vitu".
3) Viongozi wa CHADEMA wameshindwa kuwapa imani wanachama wao kwa matumizi yasioeleweka ya ruzuku kiasi cha kupitisha bakuli la kuchangia gharama za kampeni.
4) Tuhuma za ulevi wa M/Kiti, Mbowe, na matumizi mabaya ya fedha za chama, ikiwemo rukuzu, kushindwa kujenga ofisi, ni kigugumizi kuzijibu.

Katika mazingira hayo, CHADEMA yenye wanachama, wasiozidi milioni 4, kutegemea ushindi ni ndoto za alinacha. Wasio na vyama nao wanasita kuamini viongozi wasiominika kwa wanachama wao.
 
Wanatumika tu km ndomu.......wamuachie huyu mharibifu wa uchumi wa nchi afe na chama chake basi vinginevyo wanajidharirisha bure
 
Back
Top Bottom