Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 401
Namshangaa sana kikwete tangu ashike madaraka kifua chake kimetuna as if ni mnyanyua vyuma. Kana kwamba hiyo haitoshi, siku anazungukwa na walinzi wengi waliovaa kiraia. Hivi anachoogopa ni nini kama yeye ni MAN OF THE PEOPLE. Kuna wakati makamba alisema kikwete ni kipenzi cha watanzania. Kama ndivyo, sasa kwa nini anakuwa mwoga kiasi hicho?