Kimilidzo
JF-Expert Member
- Jan 3, 2011
- 1,346
- 613
Ameahidi kupeleka mbuzi kutoka katika shamba lake kwenda kushindana kitaifa kwenye maonyesho ya nane nane. Hiyo ni sehemu ya hotuba ya nane nane leo Dodoma
My take; Kama Rais haoni matatizo kama ya Pamba kukosa soko, au mahindi kuzuiwa kuuza nje anazungumzia vitu vidogo kama kushindanisha mbuzi kwenye nanenane basi mjue nchi haina mwenyewe.
My take; Kama Rais haoni matatizo kama ya Pamba kukosa soko, au mahindi kuzuiwa kuuza nje anazungumzia vitu vidogo kama kushindanisha mbuzi kwenye nanenane basi mjue nchi haina mwenyewe.