Yote haya si kweli UDOM ni MKAPA
BRT ni awamu ya tatu
Daraja la Kigamboni awamu ya tatu
MPASUKO WA ZANZIBAR wameuziba wenyewe, kwa kuwa wanaogopa moto wa CUF
CCM haina demokrasia ya kweli, Muulize Mangula, Bashe, na wengine wengi,
Sheria ya madini bado iko ovyo
Unajua ni kwanini wanawake wengi wameongezwa kwenye nafasi za uongozi? kweli wana uwezo wa kuongozwa, mbona wenye uwezo wa kuongoza wako pembeni?
Mkuu mbona TAKUKURU iko ovyo na wote tunajua, inaweza kwenda kumkamata RA, EL au Chenge?
Uhuru wa habari wa magazeti ya shigongo si uhuru, au wa FM stations si uhuru
Mkuu JF si ya watoto tunaangalia nchi yetu inavyokwenda.
Kiranga , Kikwete Mtu wa Mwinyi aache kumuuliza Mwinyi aende Butiama kwa Nyerere? labda useme kwa Warioba kama kipindi hicho bado alikuwa Waziri Mkuu?kweli ni maneno ya mtaani ,ila maneno ya mtaani si maneno?.
Mtaani ndio ushahidi watu tunao .................... ila nadhani unaposema maneno ya mtaani unamaanisha kuwa habari zisizi na uhakika.
Ila bigi lady shuhuda wa mashuda wako mtaani na ndio wanasema haya yote.
Kuna watu wanapicha za mkulu akipiga mtungo ilala kabla yakuwa mkulu tena za video ila hiyo tunaweka pembeni ngoja tuongelee ya msingi (maana hapo hajavunja sheria ni raha zake).
Big Lady tusitoke sana nje ya mstari najua utapata hamu ya kujua mengi ila mambo mengine bora usijue mwenyewe najuta kujua hili.
Baada ya uchaguzi na kuapishwa
sisi walalahoi tuliambiwa kuna MABILION ya kukupeshwa ambapo kila mkoa ulipewa bilion moja (ingawa vogogo na mabenki ndo walifaidika)
ninakosa majibu ya maswali haya:-
naomba mwenye data atumwagie hapa tuelimike.
- Mabilion haya yalitoka wapi?
- Mpaka sasa zimerejeshwa kiasi gani?
- Bunge lipi la BAJETI lilipitisha hela hizi ukichukulia zilitolewa kabla ya bunge la bajeti.
- Yana uhusiano na EPA?
- Hayana chembe za takrima?
Wasi wasi wangu ni mkubwa sana kuhusu hizi senti
Hadi jana usiku,nilikuwa sijashawishika kuchangia ninachojua katika CV ya Jakaya Kikwete.Lakini baada ya HABARI LEO "kufungulia mbwa" basi acha nasi tueleza tunachojua kumhusu mgombea urais kwa tiketi ya CCM (KIkwete).
Kuna mengine nayafanyia kazi,lakini kwa leo ni hayo tu.I repeat,NINA USHAHIDI WA HAYO MATATU YA KWANZA.
Salma Kikwete - Mke wa Rais Kikwete anayeongelewa katika wasifu wake.
kikwete is worse hakuna alichowahi kufanya kama raisi! Ni kucheka cheka na mizaha
Mbona Mke wake Mzuri kiasi hiki, anatafute nini zaidi! Mhhhhhhhhhhhhhhhhh nimechoka,
kUFUATILIA MAMBO BINAFSI YA MTU NI KUFIRISIKA KIMAWAZO NA KISERA.KWAMBA UMESHINDWA KUFUATILIA MAMBO YA MSINGI AMBAYO YANAFAIDA KWA TAIFA NA NCHI.
duh, kweli wewe ni superman wa copy and paste! Thanks anyway!:confused2:Hii inatoka: Jakaya Kikwete - Wikipedia, the free encyclopedia
Jakaya Mrisho Kikwete (born October 7, 1950) is a Tanzanian politician, the fourth and current President of the United Republic of Tanzania. Kikwete was born in Msoga, Bagamoyo District, Tanganyika in present day Tanzania. Kikwete was also the Chairperson of the African Union from 31 January 2008 to 2 February 2009.
Kwani kinachotafutwa ndicho kionekacho machoni?Mbona Mke wake Mzuri kiasi hiki, anatafute nini zaidi! Mhhhhhhhhhhhhhhhhh nimechoka,
Kwani kinachotafutwa ndicho kionekacho machoni?
unasikia miahadi anayo mwaga huko kwa wenye nchi, wewe kazana na black and white tu, watu wana peta
acheni kashfa jamani hao ma DC na Mabalozi ni zaidi ya 70 je ana wa duu kwa staili gani wote?angalieni wanatimiza majukumu yao vizuri?km wanachemka semeni.....hivi kila mwanamke akipewa uongozi kavua chupi?wacheni hizo!
Mlalahoi, habari hizi ni mpya kwa Watanzania Wengi . . . . unaweza ukatenda haki kwa Watanzania kama utaweka mambo yote hadharani in Black and White. Si lazima yawe mabaya bali hata mazuri kama unayafahamu. Ninayo maswali machache kwako:
Tafadhali mwaga data za ziada ulizonazo.
- Katika huyo wa Kwanza, je alizaa na JK?
- Unawafahamu mama wa watoto wote wa JK?
Dada wa pili, tusaidie jina lake na la mtoto. Je Mtoto yuko wapi?- Hili la mganga wa kienyeji linatuchanganya akili . . . kuna details zaidi?
- Huyo dada wa Marekani ni nani?
- Huyu balozi wa Nchi fulani Muhimu, ni huyu aambaye ameahamishwa hivi karibuni kwenda Nchi nyingine Muhimu?
- Huyu Mbunge wa kike, unaweza ukatoa fununu zaidi?
- Hii habari ya Mary, JK alikanusha namna gani?
Hapo mtoa mada kazungumzia elimu na nafasi alizowahi kushika, Je kuna jambo ambalo alishawahi kulisimamia kwa maslahi ya wananchi au kitu alichowahi kufanya cha kukumbukwa? Mfano Dr. Slaa, Mrema, na wengine wengi kuna vitu ambavyo vitadumu milelel na milele bila kusahaulika. vituo vya polisi vingi vingi unavyoviona leo ni Mrema huyo.
Mwingine ni Mkulo ukisikia Mkulo unakumbuka NSSF alifanya vizuri sana japo kwenye fedha kachemsha. Sasa kaka yetu kwa elimu na positions amefanya nini au alishawahi kufanya nini cha kukumbukwa? Mkapa hakuwa amefanyua cha kukumbukwa alkini baada ya kuingia madarakani alifanya mengi saaana japo kulikuwa na dosari dnogo ndogo.