Hongera Super Man, unafanya kazi nzuri, ili usiishie kwenye kupitisha ufagio peke yake kwa kufagilia tuu, baada ya kufagia, sio vibaya ukachoma na takataka pia, ili kuuhalalisha huo usafi ulio ufagia, sio mbaya ukasema na uchafu uliosafishwa.
The guy is good, ila binafsi nina mashaka na intelect yake, kugraduate sio issue enzi za Nyerere, GPA jee?.
Wizara zote alizopita alifanya nini na aliacha nini cha kukumbukwa (kila kona alipitia, kila kilichokatiza mbele ya macho yake ali...!)
He is married to Salma na wana watoto 8!, find out hao watoto 8 kama mama yao ndio huyo! you'll be surprised!.
Kufagilia tufagilie, lakini hapa JF, twende deep zaidi kidogo kwa kwenda over and above google na wikipedia, kwa vile JK ni rais wetu, tunaishi nae, tunamfahamu kwa karibu his streghths ni katika kusmile, na weaknesses zake jee?, yeye ni binadamu tuu kama binadamu wengine, tena dhaifu sana, sio tuu kwenye mambo ya kitaifa!, jamaa ni dhaifu!...
Tuendelee na kufagilia.