Kikwete: In Black And White

Kikwete: In Black And White

mi nilidhani kuna cv yoyote ya maana kumbe mnataka kutupotezea tu wakati..........KIZURI CHA JIUZA,KIBAYA....KUNA HAJA GANI KWA CCM KUHANGAIKA KUWADANGANYA WANANCHI KUWA WAMEFANYA KITU FULANI WAKATI KILA MTU ANAONA............WHY WASTING TIME LIKE THIS
 
Hongera Super Man, unafanya kazi nzuri, ili usiishie kwenye kupitisha ufagio peke yake kwa kufagilia tuu, baada ya kufagia, sio vibaya ukachoma na takataka pia, ili kuuhalalisha huo usafi ulio ufagia, sio mbaya ukasema na uchafu uliosafishwa.

The guy is good, ila binafsi nina mashaka na intelect yake, kugraduate sio issue enzi za Nyerere, GPA jee?.
Wizara zote alizopita alifanya nini na aliacha nini cha kukumbukwa (kila kona alipitia, kila kilichokatiza mbele ya macho yake ali...!)

He is married to Salma na wana watoto 8!, find out hao watoto 8 kama mama yao ndio huyo! you'll be surprised!.

Kufagilia tufagilie, lakini hapa JF, twende deep zaidi kidogo kwa kwenda over and above google na wikipedia, kwa vile JK ni rais wetu, tunaishi nae, tunamfahamu kwa karibu his streghths ni katika kusmile, na weaknesses zake jee?, yeye ni binadamu tuu kama binadamu wengine, tena dhaifu sana, sio tuu kwenye mambo ya kitaifa!, jamaa ni dhaifu!...

Tuendelee na kufagilia.
 
Hapo mtoa mada kazungumzia elimu na nafasi alizowahi kushika, Je kuna jambo ambalo alishawahi kulisimamia kwa maslahi ya wananchi au kitu alichowahi kufanya cha kukumbukwa? Mfano Dr. Slaa, Mrema, na wengine wengi kuna vitu ambavyo vitadumu milelel na milele bila kusahaulika. vituo vya polisi vingi vingi unavyoviona leo ni Mrema huyo. Mwingine ni Mkulo ukisikia Mkuolo unakumbuka NSSF alifanya vizuri sana japo kwenye fedha kachemsha. Sasa kaka yetu kwa elimu na positions amefanya nini au alishawahi kufanya nini cha kukumbukwa? Mkapa hakuwa amefanyua cha kukumbukwa alkini baada ya kuingia madarakani alifanya mengi saaana japo kulikuwa na dosari dnogo ndogo.

Mkuu Mess; wewe hakuna chochote unachoona amefanya hasa ukizingatia maelezo yooote yaliyotolewa hapo juu?
 
Hongera Super Man, unafanya kazi nzuri, ili usiishie kwenye kupitisha ufagio peke yake kwa kufagilia tuu, baada ya kufagia, sio vibaya ukachoma na takataka pia, ili kuuhalalisha huo usafi ulio ufagia, sio mbaya ukasema na uchafu uliosafishwa.

The guy is good, ila binafsi nina mashaka na intelect yake, kugraduate sio issue enzi za Nyerere, GPA jee?.
Wizara zote alizopita alifanya nini na aliacha nini cha kukumbukwa (kila kona alipitia, kila kilichokatiza mbele ya macho yake ali...!)

He is married to Salma na wana watoto 8!, find out hao watoto 8 kama mama yao ndio huyo! you'll be surprised!.

Kufagilia tufagilie, lakini hapa JF, twende deep zaidi kidogo kwa kwenda over and above google na wikipedia, kwa vile JK ni rais wetu, tunaishi nae, tunamfahamu kwa karibu his streghths ni katika kusmile, na weaknesses zake jee?, yeye ni binadamu tuu kama binadamu wengine, tena dhaifu sana, sio tuu kwenye mambo ya kitaifa!, jamaa ni dhaifu!...

Tuendelee na kufagilia.

Roger that Pasco.

Pia Superman, ungetuelezea ni jinsi gani wewe unamjua Kikwete ( Kama Raisi na kama binadamu wa kawaida). Ungeanza kwa mazuri (kama ulivyofanya) kisha ukamalizia na udhaifu wake alafu sisi wadau tungemalizia tunayoyajua. Ila kwa kutupa habari kutoka UHURU (Gazeti la chama) na Wikipedia, unatuweka katika wakati mgumu kwani hatujui hata unachotaka sisi tuonge ni nini.
 
mi nilidhani kuna cv yoyote ya maana kumbe mnataka kutupotezea tu wakati..........KIZURI CHA JIUZA,KIBAYA....KUNA HAJA GANI KWA CCM KUHANGAIKA KUWADANGANYA WANANCHI KUWA WAMEFANYA KITU FULANI WAKATI KILA MTU ANAONA............WHY WASTING TIME LIKE THIS

Jile79, share na sisi kwa nini CV iliyobandikwa hapo si ya maana?
 
Hongera Super Man, unafanya kazi nzuri, ili usiishie kwenye kupitisha ufagio peke yake kwa kufagilia tuu, baada ya kufagia, sio vibaya ukachoma na takataka pia, ili kuuhalalisha huo usafi ulio ufagia, sio mbaya ukasema na uchafu uliosafishwa.

The guy is good, ila binafsi nina mashaka na intelect yake, kugraduate sio issue enzi za Nyerere, GPA jee?.
Wizara zote alizopita alifanya nini na aliacha nini cha kukumbukwa (kila kona alipitia, kila kilichokatiza mbele ya macho yake ali...!)

He is married to Salma na wana watoto 8!, find out hao watoto 8 kama mama yao ndio huyo! you'll be surprised!.

Kufagilia tufagilie, lakini hapa JF, twende deep zaidi kidogo kwa kwenda over and above google na wikipedia, kwa vile JK ni rais wetu, tunaishi nae, tunamfahamu kwa karibu his streghths ni katika kusmile, na weaknesses zake jee?, yeye ni binadamu tuu kama binadamu wengine, tena dhaifu sana, sio tuu kwenye mambo ya kitaifa!, jamaa ni dhaifu!...

Tuendelee na kufagilia.

Mkuu Pasco umeongea issues ambazo ni muhimu lakini bado hatujapata majibu. Kama unaweza ukawa na details zozote tuwekee hapa, au yoyote anyeweza kuwa nazo azimwage hapa, kwa ufupi tunahitaji kujua:

  • GPA yake alipograduate
  • Wizara zote alizopita alifanya nini na aliacha nini cha kukumbukwa
  • Je, hao watoto 8 mama yao ni Salma Kikwete?
  • Ana weaknesses gani?
Haya tuanzie hapo . . .
 
Roger that Pasco.

Pia Superman, ungetuelezea ni jinsi gani wewe unamjua Kikwete ( Kama Raisi na kama binadamu wa kawaida). Ungeanza kwa mazuri (kama ulivyofanya) kisha ukamalizia na udhaifu wake alafu sisi wadau tungemalizia tunayoyajua. Ila kwa kutupa habari kutoka UHURU (Gazeti la chama) na Wikipedia, unatuweka katika wakati mgumu kwani hatujui hata unachotaka sisi tuonge ni nini.

Mkuu, unayoyasema ni kweli . . . . Kichwa cha thread kinaeleza wazi. Nimeweka standard CV kama ilivyopatikana na inayomwuuza katika kipindi hiki cha Uchaguzi.

Ninachotarajia toka kwa wote ni kama kuna mazuri ya kuongezea au mapungufu yake. Hakika kama na mimi nitakuwa na fact yoyote nitaiweka hapa . . .
 
IPTL Saga : Alikuwa Waziri wa Nishati (Mojawapo ya Mambo ya kumukumbuka)

EPA & Co : Case zinaendelea (Akiwa Rais)

Mramba & Yona : Case inaendelea (Akiwa Rais)

BOT Twin Tower Saga : Case inaendelea (Akiwa Rais)
 
CV ya JK? blah blah tu. CV alikuwa nayo Dr. Salim na bado CCM wakambwaga. Sina imani kama CV inafanya kazi kwenye siasa za Tanzania. Majangili wana CV gani na bado wanaongoza
 
IPTL Saga : Alikuwa Waziri wa Nishati (Mojawapo ya Mambo ya kumukumbuka)

EPA & Co : Case zinaendelea (Akiwa Rais)

Mramba & Yona : Case inaendelea (Akiwa Rais)

BOT Twin Tower Saga : Case inaendelea (Akiwa Rais)

Ngoma inogile . . . Pasco upo hapo?

Baba Enock; kwa nini unafikiri mambo haya yanamgusa moja kwa moja yeye kama Kikwete? I mean what could he has done?
 
CV ya JK? blah blah tu. CV alikuwa nayo Dr. Salim na bado CCM wakambwaga. Sina imani kama CV inafanya kazi kwenye siasa za Tanzania. Majangili wana CV gani na bado wanaongoza

Mkuu kwa nini unafikiri CV ya JK ni blah blah tu?
 
President Kikwete is a keen sportsman having played basketball competitively in school. He has been a patron of the Tanzania Basketball Federation for the past 10 years. He is married to Mama Salma Kikwete, and together they have eight children.

Is Kikwete not a polygamist?
Is is he having 8 children with Salma? Or do you mean in togetherness they have 8 children. If so, what about the mothers of other children, have they been divorced? When did the wife of Kikwete elder to salma have been divorced?
 
Hii nayo ina mushkeli:

Although in the past two years of Kikwete's presidency, a remarkable 1,500 new secondary schools have been built (the quality of these new school is very poor, no teachers, no desks etc)
 
Mkuu kwa nini unafikiri CV ya JK ni blah blah tu?

1. Luteni (usu?) mzima unaanguka hadharani kwa uchovu na kufunga?
2. Kiongozi mwenye maadili unasema mimba za wanafunzi ni viherehere?
3. Mwanaume mwenye mke na watoto nane (tu) unawaahidi wanawake wajawazito bajaji ziwapeleke kujifungua kwenye barabara zenye makorongo?
4. Mtu mzima mwenye watoto wa kike unaamini mtoto wa kike akijifungua akaruhusiwa kusoma maziwa yatamwagika akiwa darasani?
5. Rais mwenye akili timamu unakiri hadharani hujui kwa nini Tanzania ni masikini wakati uliahidi maisha bora kwa kila Mtanzania?
6.Mwenyekiti wa chama tawala unatumia familia yako kukupigia kampeni kama chama kimekuwa sehemu ya sebule yako?

need I say more? I don't think so!
Hiyo CV ya JK hata ikiwa imetengenezwa kwa dhahabu na kunakshiwa na vito vya almasi ni blah blah bla tu
 
of course yeye kwa sasa ndiye rais wa jamuhuri ya muungano wa tanzania toka 2005 hadi 2010 . . . . .

rekebisha kaka hatuna tena jamhuri ya muungano tangu zanzibar iwe nchi kwa hiyo uongozi wake ni batili.
 
kwa hiyo wa kujadiliwa hapa ni Kikwete tu?
Basi hii thread hainihusu ngoja niwaachie wadau mwendelee.

Ndibalema hebu cheki signature yako then angalia ulichoandika ...Nahisi unakinzana nayo sana hiyo signature yako we endelea tu hakuna kumwachia mwingine hapa.. weka uchafu wake weka mazuri yake si ndo maana ya black and white ama?
 
1. Luteni (usu?) mzima unaanguka hadharani kwa uchovu na kufunga?
2. Kiongozi mwenye maadili unasema mimba za wanafunzi ni viherehere?
3. Mwanaume mwenye mke na watoto nane (tu) unawaahidi wanawake wajawazito bajaji ziwapeleke kujifungua kwenye barabara zenye makorongo?
4. Mtu mzima mwenye watoto wa kike unaamini mtoto wa kike akijifungua akaruhusiwa kusoma maziwa yatamwagika akiwa darasani?
5. Rais mwenye akili timamu unakiri hadharani hujui kwa nini Tanzania ni masikini wakati uliahidi maisha bora kwa kila Mtanzania?
6.Mwenyekiti wa chama tawala unatumia familia yako kukupigia kampeni kama chama kimekuwa sehemu ya sebule yako?

need I say more? I don't think so!
Hiyo CV ya JK hata ikiwa imetengenezwa kwa dhahabu na kunakshiwa na vito vya almasi ni blah blah bla tu

Du! Ngoma inogile . . .
 
Ndibalema hebu cheki signature yako then angalia ulichoandika ...Nahisi unakinzana nayo sana hiyo signature yako we endelea tu hakuna kumwachia mwingine hapa.. weka uchafu wake weka mazuri yake si ndo maana ya black and white ama?

Bora umemshtukia Mkuu, hata sijui ni thread ya vipi inayomhusu . . . mtafute arudi aje atueleze.
 
Ana mke, Salma Rashid Kikwete, na ni baba wa watoto wanane; wanaume sita na wanawake wawili.

Salma%20Kikwete(1).jpg

Salma Kikwete - Mke wa Rais Kikwete anayeongelewa katika wasifu wake.​
 
IMG_0763.jpg


Familia ya Mh. Dr. Jakaya Mrisho Kikwete wakiwa na Hasheem Thabit?​
 
Back
Top Bottom