Kikwete: In Black And White

Mie ninacho elewa ni kwamba Akiwa Waziri wa Nishati na Madini KJ alisaini mkataba nyonyaji sana wa umeme wa IPTL. Yeye pia inasemekana ndiye alisaini mkataba wa Bulyanhulu kwa mujibu wa Wakili wa Chadema Tundu Lisu. Elezeni, walikosana nini na Pr. Mwandosya hadi akajiuzulu Ukatibu mkuu ndani ya wizara iliyokuwa inaoongozwa na JK.

Mambo mengine ya hovyo ni tuhuma za kura URODA bila utaratibu. Mbona Jk ana watoto nane, wengine mama zao ni akina nani.
 
Jamani Mutu asante sana mwaya. Ila jamani si ungesema sasa huyo Nguza alimuingilia kwa kimada chake kipi? Au ndiyo maneno ya mitaani hayo? Asante mwaya.
Mambo ya Nguza ni maneno ya mtaani tu ili kikwete afanikiwe kuwafunga alitakiwa kuwahonga wafuatao.

Kwa akili zako tu fupi na ndefu.

Kikwete awahonge wazazi kumi wa watoto walilawitiwa na kubakwa.
kikwete awahonge watoto kumi
kikwete awahonge waalimu wa shule waliotoa ushahidi.
kikwete awahonge madaktari waliodhibitisha kuwa watoto wameingiliwa.
kikwete awahonge majaji
kikwete awahonge wanasheria.

Hivi mnajua ugumu wa kesi za kupangwa kwa kuwahusiha watu wengi?

Tusidanganyane kikwete hahusiki ni fitna za watu kumchafua.
 
Mambo ya Nguza ni maneno ya mtaani tu ili kikwete afanikiwe kuwafunga alitakiwa kuwahonga wafuatao.

Kwa akili zako tu fupi na ndefu.


Kikwete awahonge wazazi kumi wa watoto walilawitiwa na kubakwa.
kikwete awahonge watoto kumi
kikwete awahonge waalimu wa shule waliotoa ushahidi.
kikwete awahonge madaktari waliodhibitisha kuwa watoto wameingiliwa.
kikwete awahonge majaji
kikwete awahonge wanasheria.

Hivi mnajua ugumu wa kesi za kupangwa kwa kuwahusiha watu wengi?

Tusidanganyane kikwete hahusiki ni fitna za watu kumchafua.

Vp waki plant mtu ajiite babu seya na kuwafanyia vitu hivyo kweli watoto na wakiulizwa si wasema alitutendea hivi ni babu seya.

hope you going to nullify other assumption zako ulizo orodhesha hapo.
 
Wana JF
Salaam nyingi kutoka Morogoro.
Napenda kuuliza aliye na habari za Dr. Mwafisi, aliyekuwa daktari wa Rais. Kuna tetesi kuwa aliondolewa nafasi hiyo baada ya kuteleza na kusema yasiyotakika wakati Rais alipoanguka jukwaani Mwanza. Hivi sasa hapa kwenye Msafara namwona Dr. Janabi ndiye ameshika mikoba yenye madawa.

Aliye na habari atuhabarishe zaidi.
 
Biography

Kikwete grew up witnessing the exercise of leadership by his grandfather Mrisho Kikwete as a local chief and father as a District Commissioner in colonial Tanganyika and Regional Administrative Secretary and an Ombudsman in post-colonial Tanganyika and the United Republic of Tanzania. He spent part of his childhood moving from one area of country to another as his father was transferred to different outposts. He also spent a better part of his childhood in the village under the guidance of his grandfather. Kikwete became a natural choice for leadership in school and later in the party (TANU and CCM) youth movements.

His leadership talents emerged at early stages in life. He was a student leader both in middle and secondary schools and at the University of Dar es Salaam. He was elected Chairman of the Students Council at Kibaha Secondary School and Deputy Head Prefect at Tanga Secondary School. He became very active in student politics at University. He was eventually elected Vice President of the Dar es Salaam University Students Organisation and de-facto President of the student government at the Main Campus in 1973/74. As a student leader, he spearheaded efforts to fight for student's rights and welfare. He was in the forefront in bringing about awareness and activism in liberation and anti-apartheid politics in the campus and the University community at large. He represented the Dar es Salaam University students and the students and youths of the African continent in several international conferences. Among such meetings were the International Youth Population Conference in 1974 in Bucharest, Romania.

Waafrika tuna more than a serious problem.... historia ya 'rais' wetu badala ya kuwaelezea watu wao ndio wanatuelezea....
 
Kichuguu said:
Nadhani kuwa jambo kubwa lililoanza kumletea umaarufu Kikwete miaka ya tisini lilikuwa ni insubordination fulani ambapo alitakiwa kuidhinisha nyaraka fulani akiwa naibu waziri wa maji, nishati na madini. Aliona kabisa kuwa nyaraka zile hazikuwa na maslahi kwa nchi akaamua kwenda kumwuliza Nyerere moja kwa moja huko Butiama namna ya kushughulikia nyaraka zile bila hata kumhusisha waziri wake na rais wake Mwinyi wakati huo. Haijulikani Nyerere alimshauri vipi ila alikataa kabisa kuidhinisha nyaraka zile na kuziwekea kizingiti kikubwa sana kwa Raisi Mwinyi, jambo ambalo lilimkera sana bosi wake (Waziri wa maji na nishati) na Waziri wa fedha (Malima.) Hata hivyo kitendo kile kilifurahiwa sana na Mzee mwinyi pia akampandisha cheo kuwa Waziri Kamili wa Maji na baadaye kuwa Waziri wa Fedha. Akiwa waziri wa fedha alibana sana mianya ya misamaha ya kodi na wafadhili(nachukia sana neno hili) wakafurahishwa sana utendaji ule na kurudisha tena imani kwa serikali ya Mwinyi. Kipindi hicho ndipo nyota ya Kikwete ilipopanda sana na kuna wakati Mwinyi alikuwa akiwajibu watu wanaoomba misamaha ya kodi kuwa " Ombi lenu ninalielewa ila sintawasaidia lolote kwa sababu Jakaya mkali"

Kichuguu,

..umesahau kueleza kwamba madudu aliyokuwa akiyafanya JK kwa kushirikiana na Mwinyi, ndiyo yaliyosababisha Prof.Mwandosya ajaribu kujiuzulu ukatibu mkuu wizara ya nishati na madini.

..inasemekana Prof.Mwandosya alishauriwa kubadili msimamo wake, na ili kuua soo lake na JK, wakamhamishia wizara ya Viwanda na Biashara.

..JK alipelekwa wizara ya Fedha wakati wa mabadiliko ya Baraza la Mawaziri ambapo Cleopa Msuya alichukua nafasi ya John Malecela. nimewahi kusikia kwamba Msuya alipendekeza mtu mwingine awe waziri wa fedha, lakini Mwinyi akakataa na kumuweka "mtu wake" JK ambaye alikuwa akimfanyia "kazi nzuri" toka wizara ya nishati na madini.

..siku zote za utumishi wake, JK amekuwa akilaumiwa kuwa ni mbabaishaji mno, he lacks in preparation, always late for his appointments, na mambo mengine mengi. January Makamba ndiyo mtu wa kwanza kumsoma anamsifia JK kwa uchapa kazi.
 
KIkwete ndiye aliyejenga chuo kikuu cha dodoma kitakachochukua wanafunzi 40,000
Kikwete ndiye amenunua Panton za Kigamboni.
Kikwete ndiye anataka kuleta mradi wa mabasi yaendayo kasi ( nenda ferry) kaone umeenza
kikwete anataka kujenga daraja la Kigamboni
KIkwete amefanikiwa kumaliza mpasuko wa kisiasa Zanzibar
Kikwete ameleta mfumo wa kura za maoni za wanachama wote wa CCM na kuwa chama pekee nchini kuwa na mfumo huu (demokrasia ya kweli)
Kikwete ameweza kuboresha sheria ya madini.
Kkwete kaongeza idadi ya wanawake ambao ni mama zetu katika uongozi.
Kikwete kaimarisha takukuru hadi ikakamata wanaCCM wenzie.
Kikwete kaleta uhuru wa vyombo vya habari, mfano, hapa JF tunazungumza kwa uhuru bila bughuza.

Tafadhali acha matusi.Kama mama zako ni wewe,maana mama zetu wengine hawako tayari kusaliti ndoa zao na kuzawadiwa u-DC au ubalozi.
 
Kuna fununu kwamba JK alioa mke mwingine (mtoto wa sheikh-mwanza) alipokua mapumziko ya siku sita bila mke wake!!!!
 
Hadi jana usiku,nilikuwa sijashawishika kuchangia ninachojua katika CV ya Jakaya Kikwete.Lakini baada ya HABARI LEO "kufungulia mbwa" basi acha nasi tueleza tunachojua kumhusu mgombea urais kwa tiketi ya CCM (KIkwete).

Mambo matatu ambayo NINA UHAKIKA NAYO ni kuwa Kikwete alikuwa na uhusiano na mwanamke mmoja Kinondoni Mtaa wa Isisi.Mwanamke huyo alikuwa mwenza wa mkandarasi mmoja maarufu anayesifika pia katika sanaa ya self defence.Hatimaye mkandarasi huyo alishtuklia uhusiano kati ya mwenza wake na Kikwete na wakaachana (lakini kwa uungwana akamwachia nyumba hapo Kinondoni anapoishi na mwanae).Jirani na mamakzi ya mwanamke huyo kuna grocery moja maarufu ambapo habari hiyo inafahamika waziwazi,na Kikwete ameshaonekana mitaa hiyo (kabla hajawa rais)

La pili ni kwamba Kikwete amezaa na dada mmoja mtu wa Botswana.Huyo dada ni katibu muhtasi katika kampuni moja binafsi ya sheria iliyopo East London hapa Uingereza.Mmiliki wa kampuni hiyo ya sheria ni mwanadada mmoja wa Kinigeria.Jina la dada huyo aliyezaa na JK na la mwanaye nayafahamu pia.

La tatu ni mambo ya kienyeji.Wakati wa kampeni zake za uchaguzi 2005 alikuwa anamtembelea mganga mmoja eneo la Kiberege wilayani Kilombero Mkoani Morogoro.

HAYO NINA UHAKIKA NAYO.Tetesi nilizowahi kusikia ni kwamba ana uhusiano na binti mmoja huko Marekani,na huyo dada anatangaza waziwazi kuhusu hilo.Sina uhakika na mji anaoishi japo habari hizo zinafahamika waziwazi hapo Houston,Texas.

Tetesi nyingine ni uhusiano wake na mwanamama mmoja aliyemteua kuwa balozi kwenye nchi flani "muhimu".Inadaiwa kuwa mume wa balozi huyo anafahamu uhusiano kati ya mkewe na JK lakini hachukui hatua yoyote kwa vile naye ni "kiwembe" (inadaiwa mume wa balozi huyo alikuwa na uhusiano na mbunge mmoja aliyekuwa nchini humo kimasomo.Mbunge huyo anatoka jimbo moja kanda ya kati).

Kadhalika,kuna habari kuhusu dada mmoja aliyekuwa kimada wa Kikwete kabla hajapata urais.Inaelezwa kuwa dada huyo alikuwa anakaa magomeni.Sikumbuki vema jina ila nadhani ni MARY or something like that.Dada huyo kwa sasa ni marehemu na inafahamika alifariki kutokana na maambukizi ya upungufu wa kinga mwilini (ukimwi).Kifo cha binti hiyo kinatajwa kuwa miongoni mwa sababu zilizopelekea JK kudhaniwa anaumwa ugonjwa huo (na mwenyewe akakanusha-BILA KUULIZWA-huko Dodoma)

Kuna mengine nayafanyia kazi,lakini kwa leo ni hayo tu.I repeat,NINA USHAHIDI WA HAYO MATATU YA KWANZA.
 
Du!

Mlalahoi, habari hizi ni nzito sana, ngoja nipate kahawa, nirudi niipitie taratibu. Ni vema kama una information za Ziada Black or White uendelee kuzimwaga hapa . . .
 
Hadi jana usiku,nilikuwa sijashawishika kuchangia ninachojua katika CV ya Jakaya Kikwete.Lakini baada ya HABARI LEO "kufungulia mbwa" basi acha nasi tueleza tunachojua kumhusu mgombea urais kwa tiketi ya CCM (KIkwete).

Mambo matatu ambayo NINA UHAKIKA NAYO ni kuwa Kikwete alikuwa na uhusiano na mwanamke mmoja Kinondoni Mtaa wa Isisi.Mwanamke huyo alikuwa mwenza wa mkandarasi mmoja maarufu anayesifika pia katika sanaa ya self defence.Hatimaye mkandarasi huyo alishtuklia uhusiano kati ya mwenza wake na Kikwete na wakaachana (lakini kwa uungwana akamwachia nyumba hapo Kinondoni anapoishi na mwanae).Jirani na mamakzi ya mwanamke huyo kuna grocery moja maarufu ambapo habari hiyo inafahamika waziwazi,na Kikwete ameshaonekana mitaa hiyo (kabla hajawa rais)

La pili ni kwamba Kikwete amezaa na dada mmoja mtu wa Botswana.Huyo dada ni katibu muhtasi katika kampuni moja binafsi ya sheria iliyopo East London hapa Uingereza.Mmiliki wa kampuni hiyo ya sheria ni mwanadada mmoja wa Kinigeria.Jina la dada huyo aliyezaa na JK na la mwanaye nayafahamu pia.

La tatu ni mambo ya kienyeji.Wakati wa kampeni zake za uchaguzi 2005 alikuwa anamtembelea mganga mmoja eneo la Kiberege wilayani Kilombero Mkoani Morogoro.

HAYO NINA UHAKIKA NAYO.Tetesi nilizowahi kusikia ni kwamba ana uhusiano na binti mmoja huko Marekani,na huyo dada anatangaza waziwazi kuhusu hilo.Sina uhakika na mji anaoishi japo habari hizo zinafahamika waziwazi hapo Houston,Texas.

Tetesi nyingine ni uhusiano wake na mwanamama mmoja aliyemteua kuwa balozi kwenye nchi flani "muhimu".Inadaiwa kuwa mume wa balozi huyo anafahamu uhusiano kati ya mkewe na JK lakini hachukui hatua yoyote kwa vile naye ni "kiwembe" (inadaiwa mume wa balozi huyo alikuwa na uhusiano na mbunge mmoja aliyekuwa nchini humo kimasomo.Mbunge huyo anatoka jimbo moja kanda ya kati).

Kadhalika,kuna habari kuhusu dada mmoja aliyekuwa kimada wa Kikwete kabla hajapata urais.Inaelezwa kuwa dada huyo alikuwa anakaa magomeni.Sikumbuki vema jina ila nadhani ni MARY or something like that.Dada huyo kwa sasa ni marehemu na inafahamika alifariki kutokana na maambukizi ya upungufu wa kinga mwilini (ukimwi).Kifo cha binti hiyo kinatajwa kuwa miongoni mwa sababu zilizopelekea JK kudhaniwa anaumwa ugonjwa huo (na mwenyewe akakanusha-BILA KUULIZWA-huko Dodoma)

Kuna mengine nayafanyia kazi,lakini kwa leo ni hayo tu.I repeat,NINA USHAHIDI WA HAYO MATATU YA KWANZA.

Mlalahoi, habari hizi ni mpya kwa Watanzania Wengi . . . . unaweza ukatenda haki kwa Watanzania kama utaweka mambo yote hadharani in Black and White. Si lazima yawe mabaya bali hata mazuri kama unayafahamu. Ninayo maswali machache kwako:

  • Katika huyo wa Kwanza, je alizaa na JK?
  • Unawafahamu mama wa watoto wote wa JK?
    Dada wa pili, tusaidie jina lake na la mtoto. Je Mtoto yuko wapi?
  • Hili la mganga wa kienyeji linatuchanganya akili . . . kuna details zaidi?
  • Huyo dada wa Marekani ni nani?
  • Huyu balozi wa Nchi fulani Muhimu, ni huyu aambaye ameahamishwa hivi karibuni kwenda Nchi nyingine Muhimu?
  • Huyu Mbunge wa kike, unaweza ukatoa fununu zaidi?
  • Hii habari ya Mary, JK alikanusha namna gani?
Tafadhali mwaga data za ziada ulizonazo.
 
ASANTE KWA HZO TAARIFA!
HIYO, NI HALI AMBAYO WENGI WAMEIPITIA, MIMI NIKIWA MMOJA WAO, KUANZIA SHULE YA MSINGI NIMEKUWA KIONGOZI, TENA MWENYE MAFANIKIO NIKIONGOZA KUANZIA WANAFUNZI HADI KWENYE TAASISI ZA DINI SHULENI YAANI KUANZIA SHULE YA MSINGI, SEKONDARI NA SEKONDARI YA JUU, CHUO KIKUU NDO SINA HATA CHA KUSEMA, MPAKA SASA NIMEMZIDI KUANZIA PERFORMANCE YA SHULE HADI G.P.A NA NINATEGEMEA KUMUACHA MBALI KWA MAANA MIMI NDOTO ZANGU NI KUISHIA Phd HUKO NAKO SITAKUWA KIONGOZI HATA SEHEMU MOJA HUYU MWESHIMIWA NI KIONGOZI ASIYEPENDA KUJIENDELEZA NA ANAYECHUKIA ELIMU AMBAO KWANGU MIMI NI MSINGI WA MAENDELEO YOYOTE YALE, HATA UKITAKA KUENDELEA KTK UPUMBAVU LAZIMA USOME KWANZA, TUCHUKULIE MFANO MDOGO SANA HUU KUANZIA MWAKA 1995 ALIJUA KUWA YEYE NDIO RAIS WA JMT ANAYEKUJA KILIMSHINDA NN KUJIENDELEZA HATA AKAISHIA SHAHADA YA UZAMILI, ALISHINDWA NINI HATA KUMPELEKA ENGLISH KOZI MAMA SALMA ILI AENDE SANJARI NA MABADILIKO YA ULIMWENGU, KAMA YEYE AKUJIENDELEZA UNADHANI ATAIFANYIA NINI SEKTA YA ELIMU ZAIDI YA HAYA MNAYO YASHUHUDIA SASA, HII MIKOPO SI ATAIFUTA KABISA AKIPITA TENA. SASA TURUDI KWENYE MADA YA MSINGI MIMI NIKIJA LEO NIKAOMBA KURA YAKO KWA KUTAJA VIGEZO KWAMBA NILIKUWA KIONGOZI WA YCS NA VIONJO VINGINE UTANIPA KURA YAKO NIWE RAIS, WAKO WATU AMBAO HAWAKUWAHI KUONGOZA LKN WANA KARAMA YA UONGOZI HAO CKU ZOTE NDIO HUONGOZA LKN KWAKE YEYE IMEKUWA KINYUME. EBU JARBU KU2WEKEA NA MAPUNGUFU YAKE
 
Kijana mmoja kwa jina la saduku akili ameeleza kwa majonzi jinsi Raisi wa Tanzania Jakaya Kikwete alivyotumia nafasi yake ya uraisi kumpora girl friend wake.

Akiongea na gazeti la rai ya watanzania, saduku anauliza kama kuna ulazima wowote wa wazee wa mambo ya haki za usawa Tanzania (Wawamahauta) kuingilia kati ili kuokoa uhusiano wake.
 
Ina maana Ridhiwani si mtoto wa Salma? Salma na JK wana watoto wangapi? Na hao wengine mama yao ni nani? Je mke wake wa kwanza bado yupo au walitalikiana na kama kuna data zozote?

Mama yao kina Ridhwan, Salama na Miraji anakaa Dodoma, Salma na Mh wana watoto wa nne(Khalfan, Rajab, Lulu na Khalifa) kama sikosei.
 
Mama yao kina Ridhwan, Salama na Miraji anakaa Dodoma, Salma na Mh wana watoto wa nne kama sikosei.

Mkuu; hii imetulia.

Mama watoto wa Dodoma, bado ni mke wake au walitalikiana? Maana wasifu wa JK unadai ana mke moja tu.
 
Hivi viungo wanaume wamepewa bure, inaelekea havitawaliki hata kwa mtutu wa bunduki! Segere la uchaguzi mwaka huu linaandika historia mpya
 
KIkwete ndiye aliyejenga chuo kikuu cha dodoma kitakachochukua wanafunzi 40,000
Kikwete ndiye amenunua Panton za Kigamboni.
Kikwete ndiye anataka kuleta mradi wa mabasi yaendayo kasi ( nenda ferry) kaone umeenza
kikwete anataka kujenga daraja la Kigamboni
KIkwete amefanikiwa kumaliza mpasuko wa kisiasa Zanzibar
Kikwete ameleta mfumo wa kura za maoni za wanachama wote wa CCM na kuwa chama pekee nchini kuwa na mfumo huu (demokrasia ya kweli)
Kikwete ameweza kuboresha sheria ya madini.
Kkwete kaongeza idadi ya wanawake ambao ni mama zetu katika uongozi.
Kikwete kaimarisha takukuru hadi ikakamata wanaCCM wenzie.
Kikwete kaleta uhuru wa vyombo vya habari, mfano, hapa JF tunazungumza kwa uhuru bila bughuza.

Yote haya si kweli UDOM ni MKAPA
BRT ni awamu ya tatu
Daraja la Kigamboni awamu ya tatu
MPASUKO WA ZANZIBAR wameuziba wenyewe, kwa kuwa wanaogopa moto wa CUF
CCM haina demokrasia ya kweli, Muulize Mangula, Bashe, na wengine wengi,
Sheria ya madini bado iko ovyo
Unajua ni kwanini wanawake wengi wameongezwa kwenye nafasi za uongozi? kweli wana uwezo wa kuongozwa, mbona wenye uwezo wa kuongoza wako pembeni?
Mkuu mbona TAKUKURU iko ovyo na wote tunajua, inaweza kwenda kumkamata RA, EL au Chenge?
Uhuru wa habari wa magazeti ya shigongo si uhuru, au wa FM stations si uhuru


Mkuu JF si ya watoto tunaangalia nchi yetu inavyokwenda.
 
Back
Top Bottom