Kikwete: In Black And White

In elective Party politics, Kikwete started shining in 1982 when he was overwhelmingly elected by the party (CCM) national congress to be a Member of the National Executive Committee. This is the highest policy and decision-making body of the party. He has won re-elections to the body every five years since then. Also, in 1997, he was elected a member of the party's powerful 31-member Central Committee (CC). He is still a member of the Central Committee since he was reelected in 2002 for another term of 5 years.

vicky.jpg


Msanii Vicky Kamata akiwa anatumbiza wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM 2010 ambao ulipitisha jina la Kikwete kuwa mgombea urais kwa ticketi ya CCM. Kikwete ameingia katika siasa za CCM/TANU kuanzia mwaka 1982.​
 
Akiwa waziri wa Nishati na madini ndie aliyesaini mkataba wa kuwapa wawekezaji eneo la Bulyahngulu, japo kwenye mkataba alisaini eneo jingine baada ya mzee Mwinyi kustukia., lakini alipooondoka tu Mzee ruksa, yaliyofuata kule Bulyangulu sisi sote ni mashahidi.

Alikuwa anataka kununua kiwanja kimoja cha muarabu kule msasani kwa milioni 600 Tshs, yule muarabu alikataa na alikuwa anataka Million 800 Tshs, JK akashindwa, lakini baada ya kuingia ikulu amechukua kile kiwanja (sina hakika kama amenunua au alichukua kwa nguvu).
 
Alikuwa anataka kununua kiwanja kimoja cha muarabu kule msasani kwa milioni 600 Tshs, yule muarabu alikataa na alikuwa anataka Million 800 Tshs, JK akashindwa, lakini baada ya kuingia ikulu amechukua kile kiwanja ( sina hakika kama amenunua au alichukua kwa nguvu).

Mkuu Kilembwe, hii unaweza ukaitolea ufafanuzi wa kina? inaonekana kama ni issue mpya kidogo . . .
 
A: Hii inatoka: Jakaya Kikwete - Wikipedia, the free encyclopedia

Jakaya Mrisho Kikwete (born October 7, 1950) is a Tanzanian politician, the fourth and current President of the United Republic of Tanzania. Kikwete was born in Msoga, Bagamoyo District, Tanganyika in present day Tanzania. Kikwete was also the Chairperson of the African Union from 31 January 2008 to 2 February 2009.

Education

He received his primary education at Karatu Primary School between 1959 and 1963 and his middle school education at Tengeru School from 1962 to 1965. He then moved from Tengeru School to Kibaha Secondary School for O-level education between 1966 to 1969. The following year he joined Tanga Secondary School for advanced level education. Kikwete attended the University of Dar es Salaam from 1972 to 1975, where he earned a degree in Economics.



B: Source: Gazeti la Uhuru

RAIS Jakaya Kikwete alizaliwa Oktoba 7, mwaka 1950 katika kijiji cha Msoga, wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani. Ni mtoto wa sita wa Mzee Khalfani Kikwete. Baada ya elimu ya msingi mwaka 1958-1961, Kikwete alijiunga na Shule ya Kati Lugoba mwaka 1962-1965.


My Take:

Something is wrong about his middle school (shule ya kati)!!
 
A:

Education

He received his primary education at Karatu Primary School between 1959 and 1963 and his middle school education at Tengeru School from 1962 to 1965. He then moved from Tengeru School to Kibaha Secondary School for O-level education between 1966 to 1969.

B: Source: Gazeti la Uhuru

Baada ya elimu ya msingi mwaka 1958-1961, Kikwete alijiunga na Shule ya Kati Lugoba mwaka 1962-1965.

Something is wrong about his middle school (shule ya kati)!!

Nakuunga mkono mkuu. Huu ni mtaji huu kwa upinzania. Kunanini records haziaminiki? Wanaofahamu ukweli wa hili watusaidie.
My Take:
 
8634983.jpg

Katika kipindi cha utawala wa JK, sheria mbalimbali zilitungwa. Moja kati ya sheria hizo ni ile ya kujamiiana ambayo ilimtia hatiani Babu Seya na Wanawe ambao walihukumiwa kifungo cha maisha. Baadhi ya wanawe waliachiwa baada ya kukata rufaa.​

16.JPG

Mwanasheria Mabere Marando ndiye aliyewatete Babu Seya na wanawe katika Rufaa yao.​
 
Mbona umeeleza machache tu. Hujatueleza ya IPTL, mikataba ya madini aliyosaini, kuanguka anguka, safari zake za nje, Maisha duni kwa kila Mtanzania, maswahiba wenye remote ya kumcontrol (RA, Low --, Kina .. etc) na washikaji wake kwenye ofisi na taasisi za serikali ambao wemeshindwa kudeliver kufanikisha kauli mbiu ya kikwete.

In Black and White Kikwete kwa kiasi ulichoeleza ameshindwa kudeliver miserably kwenye nafasi ya uraisi. Rudia homework yako. Lakini hadi leo anatoa ahadi kando ya mipango ya serikali atawadanganya wadanyika. Tunaomfahamu kwa undani tulijua ni disaster.
 
nikimuangalia Kikwete sura yake huwa nacheka, sijui ni yale mambo yake ya kudanganywa kila mara na kina makamba, sijui.
hasa hili bango jirani na Uwanja wa Nyamagana, sijui namuonaje.

Ray C, JUZI KASEMA Atampa kura JK , kwakua ni handsome kuliko wenzake woooote.
 


vicky.jpg


Msanii Vicky Kamata akiwa anatumbiza wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM 2010 ambao ulipitisha jina la Kikwete kuwa mgombea urais kwa ticketi ya CCM. Kikwete ameingia katika siasa za CCM/TANU kuanzia mwaka 1982.​

Huyo aliyeshika fweza mkononi kutuza si ni UKINIHOFIA CHIMBA? Sorry nilimaanisha Sofia nichimbe Hapana yaani Sofia Lion.
Hapo kafika kwa habari za mipasho.
 

Huyo aliyeshika fweza mkononi kutuza si ni UKINIHOFIA CHIMBA? Sorry nilimaanisha Sofia nichimbe Hapana yaani Sofia Lion.
Hapo kafika kwa habari za mipasho.

Mchukia Ufisadi, you don't get it. Please connect the dots. It is two in one.
 
Akiwa waziri wa Nishati na madini ndie aliye saini mkataba wa kuwapa wawekezaji eneo la Bulyahngulu, japo kwenye mkataba alisaini eneo jingine baada ya mzee Mwinyi kustukia., lakini alipooondoka tu Mzee ruksa, yaliyofuata kule Bulyangulu sisi sote ni mashahidi.

Alikuwa anataka kununua kiwanja kimoja cha muarabu kule msasani kwa milioni 600 Tshs, yule muarabu alikataa na alikuwa anataka Million 800 Tshs, JK akashindwa, lakini baada ya kuingia ikulu amechukua kile kiwanja (sina hakika kama amenunua au alichukua kwa nguvu).

...Now you are talking! more about this and this thread will really start!!

 
Mbona umeeleza machache tu. Hujatueleza ya IPTL, mikataba ya madini aliyosaini, kuanguka anguka, safari zake za nje, Maisha duni kwa kila Mtanzania, maswahiba wenye remote ya kumcontrol (RA, Low --, Kina .. etc) na washikaji wake kwenye ofisi na taasisi za serikali ambao wemeshindwa kudeliver kufanikisha kauli mbiu ya kikwete.

In Black and White Kikwete kwa kiasi ulichoeleza ameshindwa kudeliver miserably kwenye nafasi ya uraisi. Rudia homework yako. Lakini hadi leo anatoa ahadi kando ya mipango ya serikali atawadanganya wadanyika. Tunaomfahamu kwa undani tulijua ni disaster.

Nimekusoma Mkuu. Kwa nini utismwage data zaidi kama zipo za uhakika?
 
nikimuangalia Kikwete sura yake huwa nacheka, sijui ni yale mambo yake ya kudanganywa kila mara na kina makamba, sijui.
hasa hili bango jirani na Uwanja wa Nyamagana, sijui namuonaje.

Ray C, JUZI KASEMA Atampa kura JK , kwakua ni handsome kuliko wenzake woooote.

Mkuu Nguvumali, tujuze zaidi. Kina Makamba wamemdanganya nini hasa? Kuna facts zozote?
 
Hapa sijakuelewa Mutu, unaweza ukawa muwazi zaidi?

duh Big Lady bana unataka uwazi zaidi haya, kwani kisa cha ukoo wa nguza kwenda jela si baada ya kuona mkulu anaingiliwa tena ali injinia kabla hajawa mkulu bado.

Mkulu kwa sasa ni Mkwere
Kuingiliwa ktk anga za mapenzi na vimada.

Ukitaka uwazi zaidi ntajua we muhuni,maana utakuwa uwazi uwazi !!
 
Ninachofahamu kwa dhati ni kwamba Mama Salma sio Mke wa Kwanza Wa Rais Jakaya Kikwete.

Mama huyu (ambaye kwa Taaluma ni Mwalimu) ameolewa rasmi kati ya miaka ya mwisho mwa 1980 wakati huo Rais Kikwete akiwa Waziri Wizara ya Madini,nakumbuka kwenye Harusi hiyo Juwata Jazz walitumbuiza na nilisikia Kiongozi wa Bendi hiyo Mzee Muhidin Ngurumo ana undugu wa karibu ama na Rais au Mkewe. Kipindi hicho cha harusi watoto wa Rais, Ridhiwan na Salama walikuwepo. Mkuu wa Nchi alifanya Harusi hiyo pale nyumbani kwake Regency Estate.

Katika kuandika haya tujaribu kuepuka kejeli na lugha za matusi, vinginevyo thread itaondoa maana yake. Heshima ni kitu cha bure!
 


vicky.jpg


Msanii Vicky Kamata akiwa anatumbiza wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM 2010 ambao ulipitisha jina la Kikwete kuwa mgombea urais kwa ticketi ya CCM. Kikwete ameingia katika siasa za CCM/TANU kuanzia mwaka 1982.​

Hawa wake wenza wanapendana wenyewe au wanarushana roho...........
Watu bana halafu mmeweka ktk thread ya KIKWETE IN BLACK N WHITE tehe teh vijana wajokozi ninyi
 
Back
Top Bottom