mkuu urafiki wangu na mtu ni suala binafsi. lakini linapokuja suala linalohusu masilahi ya umma huwezi kutumia urafiki kama kigezo cha kumweka mtu badala ya uwezo wake.Usimwamini mtu awaye yeyote @ Lst Mama'ko Mzazi
kwa hiyo Kikwete alichofanya ni sawa kabisa. kaangalia masilahi ya taifa zaidi kuliko urafiki.
Sidhani kama kuna mtu anayemjua lowasa vizuri katika viongozi kama Kikwete. maana amekuwa naye karibu sana kwa muda mrefu.