Kikwete: I may be having a smiling face but am firm on issues

Usimwamini mtu awaye yeyote @ Lst Mama'ko Mzazi
mkuu urafiki wangu na mtu ni suala binafsi. lakini linapokuja suala linalohusu masilahi ya umma huwezi kutumia urafiki kama kigezo cha kumweka mtu badala ya uwezo wake.
kwa hiyo Kikwete alichofanya ni sawa kabisa. kaangalia masilahi ya taifa zaidi kuliko urafiki.
Sidhani kama kuna mtu anayemjua lowasa vizuri katika viongozi kama Kikwete. maana amekuwa naye karibu sana kwa muda mrefu.
 
Ndio Mkwere original,Mwenyewe alisema Pale Bungeni Dodoma mwaka 2010 kuwa;"I might be wearing a smile, but it could be deceptive".Lowasa akachekewa akasema:"Mimi na Kikwete hatukukutana njiani,"Pole Baba Lowassa, Hukujua kuna binadamu anaweza kuua binadamu mwenzake huku muuaji huyo akijawa na tabasamu.Songa mbele na plan B. Kabla jua halijakuchwa!
Hata alinuna alibaki kuwa mndanganyifu..akinunua anawaadhibi wasio na hatia..huku akiwachekea mafisadi.
 
Ndio Mkwere original,

Mwenyewe alisema Pale Bungeni Dodoma mwaka 2010 kuwa;

"I might be wearing a smile, but it could be deceptive".

Lowasa akachekewa akasema:
"Mimi na Kikwete hatukukutana njiani,"

Pole Baba Lowassa, Hukujua kuna binadamu anaweza kuua binadamu mwenzake huku muuaji huyo akijawa na tabasamu.

Songa mbele na plan B. Kabla jua halijakuchwa!

JK mtoto wa mjini EL anajua kuchunga ng'ombe tu ndiyo kisa cha kuamini kila kitu hata hivyo hana sifa ya kuwa Rais wa Tanzania kwa kuwa ni mbinafsi kama Monduli kuna shida kibao na ni kweli nimekuwapo mara kwa mara hakuna maji ya uhakika barabara shule na huduma za afya ni mbovu ni vpi aliweza kutumia bilioni moja kwa masaa manne kutangaza ni ya kugombea urais? na kwa kukosa nidhamu akaanza kufanya kampeni kabla ya wakati kwa kulipia media zote zitangaze mikutano yake pote alikokwenda kutafuta wadhamini bado CCM wamwache tu kwa lipi hasa? Hana mapenzi na watanzania angekuwa ni mpambanaji wa kuupiga umaskini angeanza kuboresha maisha ya watu jimboni mwake hasa huduma za jamii lakini mnafiki anatudanganya ni mwema kwetu wakati ndugu zake wanalala na kufa na njaa na huduma mbovu za afya. Na kuthibitisha kuwa alikuwa kibiashara zaidi katika misaada yake yote alikuwa akitoa kwenye makundi yenye nguvu za ushawishi kama makanisa na misikiti kwakuwa alijua viongozi wa taasisi hizo wangezitumia zile fedha binafsi na kuishawishi makundi wanayoyaongoza kuwa ni yeye tu ndiyo anafaa kuingia IKULU, ILIFIKIA KIONGOZI wa dini mmoja baada ya kuhongwa pesa kibao akasahau mpaka msingi wa imani yake na kumuita EL kwa ni kama mtume na waislamu wakakaa kimya kwa kuwa walilamba fedha za kutosha hakuna aliyeliona hilo, angesema mtu mwingine asiye na fedha saa hizi tungeshuhudia maandamano nchi nzima kama yale ya kauli ya marehemu Mama Sophia Kawawa.

Kwa hiyo namshauri EL popote alipo aanze kuondoa umaskini jimboni mwake kwanza ndipo tutamuamini kumpa urais mwaka 2025 baada ya Magufuli kustaafu, tofauti na hivyo alie tu. Urais haupatikani kwa nguvu bali kwa neema ya Mungu ajifunze kwa Magufuli. Biblia kitabuanachokiamini EL inatufundisha kuwa AJIKWEZAYE ATASHUSHWA NA AJISHUSHAYE ATAKWEZWA ajiulize yeye na Magufuli nani alijikweza na nani alijishusha ili andiko litimie, na alisema hatarajii kushindwa !!!!!!! OVERCONFIDENCE KIKO WAPI SASA?????????? Hivi ni lazima awe yeye tu ndiyo ionekane haki imetendeka? Wengine hawana haki ya kuongoza tanzaniampaka awe EL tu. MAISHA BILA URAIS YAWEZEKANA ATULIE NA AWE MPOLE
 
JK mtoto wa mjini EL anajua kuchunga ng'ombe tu ndiyo kisa cha kuamini kila kitu hata hivyo hana sifa ya kuwa Rais wa Tanzania kwa kuwa ni mbinafsi kama Monduli kuna shida kibao na ni kweli nimekuwapo mara kwa mara hakuna maji ya uhakika barabara shule na huduma za afya ni mbovu ni vpi aliweza kutumia bilioni moja kwa masaa manne kutangaza ni ya kugombea urais? na kwa kukosa nidhamu akaanza kufanya kampeni kabla ya wakati kwa kulipia media zote zitangaze mikutano yake pote alikokwenda kutafuta wadhamini bado CCM wamwache tu kwa lipi hasa? Hana mapenzi na watanzania angekuwa ni mpambanaji wa kuupiga umaskini angeanza kuboresha maisha ya watu jimboni mwake hasa huduma za jamii lakini mnafiki anatudanganya ni mwema kwetu wakati ndugu zake wanalala na kufa na njaa na huduma mbovu za afya. Na kuthibitisha kuwa alikuwa kibiashara zaidi katika misaada yake yote alikuwa akitoa kwenye makundi yenye nguvu za ushawishi kama makanisa na misikiti kwakuwa alijua viongozi wa taasisi hizo wangezitumia zile fedha binafsi na kuishawishi makundi wanayoyaongoza kuwa ni yeye tu ndiyo anafaa kuingia IKULU, ILIFIKIA KIONGOZI wa dini mmoja baada ya kuhongwa pesa kibao akasahau mpaka msingi wa imani yake na kumuita EL kwa ni kama mtume na waislamu wakakaa kimya kwa kuwa walilamba fedha za kutosha hakuna aliyeliona hilo, angesema mtu mwingine asiye na fedha saa hizi tungeshuhudia maandamano nchi nzima kama yale ya kauli ya marehemu Mama Sophia Kawawa.

Kwa hiyo namshauri EL popote alipo aanze kuondoa umaskini jimboni mwake kwanza ndipo tutamuamini kumpa urais mwaka 2025 baada ya Magufuli kustaafu, tofauti na hivyo alie tu. Urais haupatikani kwa nguvu bali kwa neema ya Mungu ajifunze kwa Magufuli. Biblia kitabuanachokiamini EL inatufundisha kuwa AJIKWEZAYE ATASHUSHWA NA AJISHUSHAYE ATAKWEZWA ajiulize yeye na Magufuli nani alijikweza na nani alijishusha ili andiko litimie, na alisema hatarajii kushindwa !!!!!!! OVERCONFIDENCE KIKO WAPI SASA?????????? Hivi ni lazima awe yeye tu ndiyo ionekane haki imetendeka? Wengine hawana haki ya kuongoza tanzaniampaka awe EL tu. MAISHA BILA URAIS YAWEZEKANA ATULIE NA AWE MPOLE

Acha kuandika kwa kubahatisha.. umewahi fika monduli?
 
Acha kuandika kwa kubahatisha.. umewahi fika monduli?

Pole sana hivi Monduli panahitaji VISA NA PASSPORT KUINGIA? Kawaulize watu wa monduli hasa Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Monduli atakuambia wana matatizo gani katika wilaya yao ndipo utajua nisemacho ni kweli au la, hata wewe najua ni mwathirika wa mgao wa EL pole sana, lakini ukweli haubadiliki HAWI RAIS.
 
Ndio Mkwere original,

Mwenyewe alisema Pale Bungeni Dodoma mwaka 2010 kuwa;

"I might be wearing a smile, but it could be deceptive".

Lowasa akachekewa akasema:
"Mimi na Kikwete hatukukutana njiani,"

Pole Baba Lowassa, Hukujua kuna binadamu anaweza kuua binadamu mwenzake huku muuaji huyo akijawa na tabasamu.

Songa mbele na plan B. Kabla jua halijakuchwa!
Mwrhu weeee unadhani ana afya ya kumwezesha kuendelea na siasa huyo babu yako saa mbovu?
 
Ndio Mkwere original,

Mwenyewe alisema Pale Bungeni Dodoma mwaka 2010 kuwa;

"I might be wearing a smile, but it could be deceptive".

Lowasa akachekewa akasema:
"Mimi na Kikwete hatukukutana njiani,"

Pole Baba Lowassa, Hukujua kuna binadamu anaweza kuua binadamu mwenzake huku muuaji huyo akijawa na tabasamu.

Songa mbele na plan B. Kabla jua halijakuchwa!
Mwehu weeee unadhani huyo ana afya ya kumwezesha kuendelea na siasa huyo babu yako saa mbovu?
 
JK mtoto wa mjini EL anajua kuchunga ng'ombe tu ndiyo kisa cha kuamini kila kitu hata hivyo hana sifa ya kuwa Rais wa Tanzania kwa kuwa ni mbinafsi kama Monduli kuna shida kibao na ni kweli nimekuwapo mara kwa mara hakuna maji ya uhakika barabara shule na huduma za afya ni mbovu ni vpi aliweza kutumia bilioni moja kwa masaa manne kutangaza ni ya kugombea urais? na kwa kukosa nidhamu akaanza kufanya kampeni kabla ya wakati kwa kulipia media zote zitangaze mikutano yake pote alikokwenda kutafuta wadhamini bado CCM wamwache tu kwa lipi hasa? Hana mapenzi na watanzania angekuwa ni mpambanaji wa kuupiga umaskini angeanza kuboresha maisha ya watu jimboni mwake hasa huduma za jamii lakini mnafiki anatudanganya ni mwema kwetu wakati ndugu zake wanalala na kufa na njaa na huduma mbovu za afya. Na kuthibitisha kuwa alikuwa kibiashara zaidi katika misaada yake yote alikuwa akitoa kwenye makundi yenye nguvu za ushawishi kama makanisa na misikiti kwakuwa alijua viongozi wa taasisi hizo wangezitumia zile fedha binafsi na kuishawishi makundi wanayoyaongoza kuwa ni yeye tu ndiyo anafaa kuingia IKULU, ILIFIKIA KIONGOZI wa dini mmoja baada ya kuhongwa pesa kibao akasahau mpaka msingi wa imani yake na kumuita EL kwa ni kama mtume na waislamu wakakaa kimya kwa kuwa walilamba fedha za kutosha hakuna aliyeliona hilo, angesema mtu mwingine asiye na fedha saa hizi tungeshuhudia maandamano nchi nzima kama yale ya kauli ya marehemu Mama Sophia Kawawa.

Kwa hiyo namshauri EL popote alipo aanze kuondoa umaskini jimboni mwake kwanza ndipo tutamuamini kumpa urais mwaka 2025 baada ya Magufuli kustaafu, tofauti na hivyo alie tu. Urais haupatikani kwa nguvu bali kwa neema ya Mungu ajifunze kwa Magufuli. Biblia kitabuanachokiamini EL inatufundisha kuwa AJIKWEZAYE ATASHUSHWA NA AJISHUSHAYE ATAKWEZWA ajiulize yeye na Magufuli nani alijikweza na nani alijishusha ili andiko litimie, na alisema hatarajii kushindwa !!!!!!! OVERCONFIDENCE KIKO WAPI SASA?????????? Hivi ni lazima awe yeye tu ndiyo ionekane haki imetendeka? Wengine hawana haki ya kuongoza tanzaniampaka awe EL tu. MAISHA BILA URAIS YAWEZEKANA ATULIE NA AWE MPOLE
Nakubaliana nawe 100%
 
Ndio Mkwere original,

Mwenyewe alisema Pale Bungeni Dodoma mwaka 2010 kuwa;

"I might be wearing a smile, but it could be deceptive".

Kikwete ni mwanajeshi tena mkubwa aliyekubuhu kwenye siasa za kijeshi.Mwanajeshi yeyote aliyekonmaa huwa huwezi kumsoma kwa kumtizama sura.Sura yake pia ni silaha ya kijeshi ya kumchanganya adui asielewe unawaza nini au unamwazia nini.Mcheki Kikwete alivyo na mkuu wa majeshi Mwamnyange alivyo sura yake huwezi kumsoma.Mwamunyange huwezi kujua anakuwazia mabaya au mazuri kachukia au la .Hawa wawili ni moto wa kuotea mbali.Akitaka kukubwaga anakubwaga huku anacheka!!! Ogopa watu wenye sura NEUTRAL.Hata maghufuli ukimcheki ana sura neutral tofauti na sura kama za akina kagame ambaye ukimtizama tu usoni unajua huyu ni mtu wa Zahama na shari.
 
mkuu urafiki wangu na mtu ni suala binafsi. lakini linapokuja suala linalohusu masilahi ya umma huwezi kutumia urafiki kama kigezo cha kumweka mtu badala ya uwezo wake.
kwa hiyo Kikwete alichofanya ni sawa kabisa. kaangalia masilahi ya taifa zaidi kuliko urafiki.
Sidhani kama kuna mtu anayemjua lowasa vizuri katika viongozi kama Kikwete. maana amekuwa naye karibu sana kwa muda mrefu.

Ni sawa ila Tz leaders wanafanya hayo kwa % ngap na lingine EL c alichinjiwa baharin Baada ya BM kuingia Top 5 na BM na Jk ni 1 Blood
 
Lowasa apumzike tu ,Jk kamshinda .Kama vipi amuombe msamaha yaishe ale yake ya uzee.Ila aliyemdanganya kuliko wote ni Mkapa na Karume ,,,,kumbe walikuwa wanampa backup ya uongo...Nilishawahi kumuambia Bob ampelekee messeji mzee akabisha ,,Mkapa amepata revenge nzuri tu Kama vile Mangula alivyopata revenge.Akae kimya tu kama mwaka ,,aende zake kanisani atapata faraja ,,,kila mtu alishawahi kupitia aibu na majaribu hayo.Somo kwenye siasa usiamini marafiki uliokutana nao kweny siasa ....jenga mahusiano tu ya kisiasa
 
I MAY BE HAVING A SMILING FACE BUT AM FIRM ON STRONG ISSUES: ni kauli ambayo mkuu wa kaya alishaitoa mwaka 2006 na ameanza kuitimiza juzi juzi tu baada ya kuamua kumtosa swahiba wake mkubwa ambae wameshatueleza hawakukutana barabarani ila juzi amempa nafasi ya kutafakari na kuchukua uamuzi mwenyewe kabla chama hakijawaonyesha mlango wakutokea

Unasema ameanza kuitimiza kauli aliyotoa mwaka 2006?Sasa itatusaidia nini wakati muda wake umekwisha!
 
Ni sawa ila Tz leaders wanafanya hayo kwa % ngap na lingine EL c alichinjiwa baharin Baada ya BM kuingia Top 5 na BM na Jk ni 1 Blood
hivi ni nani anayejua kuwa membe ni ndugu yake kikwete zaidi ya membe mwenyewe? yeye mwenyewe kasema hana undugu na Kikwete nyie mmekomalia. kwa masilahi yapi?
 
Back
Top Bottom