Hapa sijui alikuwa anasema sijui ISSUES gani....????Wakati akihutubia ufunguzi wa bunge la awamu ya nne, Mheshimiwa Rais alitumia fursa hiyo kuwaonya watendaji serikalini na akawahakikishia kuwa, ''I MIGHT BE WEARING A SMILE BUT IT COULD BE VERY DECEPTIVE........ I'M FIRM ON ISSUES''
Kwa maoni yako, miaka saba leo hii imetimia; je? Mh Rais amemudu kui-ishi kauli yake hiyo?
Rais kama binadamu hawezi kuwa imara kwa kila jambo, mathalan, Mbowe kaonyesha udhaifu kwa kumshughulikia John Shibuda je tukimpa nchi ataweza kuwamudu wanasiasa aina ya shibuda.
EL anatakiwa aonyeshe uwezo wake wa kuchukua mamuzi magumu
Nahisi hata kasirika yake ni danganyifu!
Tunasubiri amrudishe David Balali bongoMaamuzi magumu amchukulie nani ndo keshakatwa sasa kama vipi aende mahakamani!