watu wa mwanza bado hajatufikia watu wa moshi, huku kwetu moshi maeneo ya soweto watu walivua tisheti zaowalizo pewa nakofia za rangi za kijani na njano wakawavalisha mbwa zilizo andikwa chagua kikwete wakawasambaza mbwa hao wapatao kumi barabarani huku wakisema hizi nguo zimeletwa huku kwetu nyingi mno na piazinasabasha chuki maana watu wa huku hawataki ccm wala salakana hivyo mtu akikuona umeva sare za kijaniaidha za timu ya brzili yanga ama zantel,anakuita fisadi wa ccm akimsalimia anakujibu kawasalimie mafisadiwenzako wa ccm na sio mimi tena ukome na visalamu vyako mchwara nakuona mtu kumbe adui tena mnyama,kjamani hata mimi ilibidi niweke bendera ya chadema afisini kwangu baada ya wateja kunichunia wakidainitangaze msimamo wangu la sivyo sitawaona tena labda nihamishie afisi yangu chalize ingawa sipendi kulaliaupande wowote kisiasa ilibidi niweke mambo peupe slaa 4 president 2010.hiyo ndo vituko vya watu wa moshi.
guys... Rational thinking is key for our country, siungi mkono zomeazomea... Ni primitive
Leo kulikuwa na mikutano miwili yenye mvuto sana jijini Mwanza.Wagombea ubunge wawili mh Wenje wa CHADEMA jimbo la Nyamagana akiwa viwanja vya Mirongo na mh.kikwete CCM mbunge hasiye na jimbo maalumu akiwa viwanja finyu vya Sahara.
Hali ilikuwa hivi kule kwa kikwete mbali na kusomba watu toka mikoa jirani watu walikuwa si wengi sana.huku kwa wenje wananchi wenye mapenzi mema walikuwa wamejaa.Baada ya wenje kumaliza kampeini ikapita helkopita ya Kikwete jirani na Wenje.kazomewa sanaaaa. Baada ya Kikwete kufika Sahara kakuta watu wa kawaida tu. Kama kawaida kaanza "ccm oyee!"walioitikia ni wale waliokuwa wamevaa tshirt za ccm tu.alivyoanza kuongea tu wale waliokuwa hawajavaa nguo za ccm wakaanza kuondoka.
Maandamano ya wenje yalitia Fola mno. Waandamanaji kama kawaida wakiimba "tumechoka na Mafisadi"
Ajabu ni kuwa imagine mgombea ubunge anapimana nguvu na mzee wa kaya na watu wakawa sawasawa. Masha hoiiiiii. Yaani anazomewa kila apitapo.
Habari ndo hiyo.
Source ni mimi mwenyewe.niko foot step kutoka maeneo ya tukio hadi hivi ninavyoandika
Ni mabadiliko tu miakaa hii ya karibuni!Obama 4 changes=president of United states,David cameroon plan 4 changes=Prime minister of United kingdom...i bet hata Slaa yuko kwenye hii list this time!
Nahene ongw'iseTulimtaniaga kipindi kile akadhani ngosha tunajipendekezaga, ukipindisha sie tunanyoosha tu Kikwete, The Don Ngosha Nduhu Nchezo ngwanawane, bashosha ng'ombe bagosha ba shimba.... Masha nae hoi hatumtaki....
Leo kulikuwa na mikutano miwili yenye mvuto sana jijini Mwanza.Wagombea ubunge wawili mh Wenje wa CHADEMA jimbo la Nyamagana akiwa viwanja vya Mirongo na mh.kikwete CCM mbunge hasiye na jimbo maalumu akiwa viwanja finyu vya Sahara.
Hali ilikuwa hivi kule kwa kikwete mbali na kusomba watu toka mikoa jirani watu walikuwa si wengi sana.huku kwa wenje wananchi wenye mapenzi mema walikuwa wamejaa.Baada ya wenje kumaliza kampeini ikapita helkopita ya Kikwete jirani na Wenje.kazomewa sanaaaa. Baada ya Kikwete kufika Sahara kakuta watu wa kawaida tu. Kama kawaida kaanza "ccm oyee!"walioitikia ni wale waliokuwa wamevaa tshirt za ccm tu.alivyoanza kuongea tu wale waliokuwa hawajavaa nguo za ccm wakaanza kuondoka.
Maandamano ya wenje yalitia Fola mno. Waandamanaji kama kawaida wakiimba "tumechoka na Mafisadi"
Ajabu ni kuwa imagine mgombea ubunge anapimana nguvu na mzee wa kaya na watu wakawa sawasawa. Masha hoiiiiii. Yaani anazomewa kila apitapo.
Habari ndo hiyo.
Source ni mimi mwenyewe.niko foot step kutoka maeneo ya tukio hadi hivi ninavyoandika
guys... Rational thinking is key for our country, siungi mkono zomeazomea... Ni primitive
guys... Rational thinking is key for our country, siungi mkono zomeazomea... Ni primitive
Sikwel hajazomewa,wadanganyen waishio nje ya mza,jk katua mza sa11.30jiön kahutubia sahara karuka sa1 usiku kwenda dar je huko nyegez kapita saangapi?usidanganye watu kama watoto.
Sikwel hajazomewa,wadanganyen waishio nje ya mza,jk katua mza sa11.30jiön kahutubia sahara karuka sa1 usiku kwenda dar je huko nyegez kapita saangapi?usidanganye watu kama watoto.