Chuo kikuu cha tiba na sayansi muhimbili kimemtunuku cheti Rais Jakaya Mrisho kikwete kwa kutambua mchango wake katika sekta ya afya!
Ni kweli anamejitahidi kiasi lakini siungi mkono kila mara kumrundikia kiongozi vyeti kila mara!
Huyo ni Raisi anayofanya ni wajibu wake, na anatumia kodi zetu kuboresha sekta ya afya sasa hivyo vyeti vya nini
nchii hii tunakoelekea ni kuja kuwa na Raisi profesa asiye na elimu hiyo!
Ni kweli anamejitahidi kiasi lakini siungi mkono kila mara kumrundikia kiongozi vyeti kila mara!
Huyo ni Raisi anayofanya ni wajibu wake, na anatumia kodi zetu kuboresha sekta ya afya sasa hivyo vyeti vya nini
nchii hii tunakoelekea ni kuja kuwa na Raisi profesa asiye na elimu hiyo!