Kikwete Atibiwa Muhimbili: Mfano mzuri, for a change!

Halafu nyie wadanganyika nani amewaloga?. Kama anatibiwa na huduma zinasimama kwa watanzania WOTE si afadhali aende nje ya nchi?????????? wanakufa wangapi kwa humduma kusimama ili atibiwe yeye pekee yake!!

Je maisha ya watanzania elfu ni sawa na Rais pekee yake jamani??, labda kwenye vita tu!

Unafikiri Obama akienda hospitali yoyote hakuna huduma zinzzosimama?? Tuache kuropoka tu haya mambo yapo sehemu nyingi.
 
Jamani tusikubali kuhadaika kirahisi hivo, wala mie sioni jipya, alikwenda muhimbili kuona wagonjwa wala sio kutibiwa!
 
Kwa hili Kikwete apongezwe na kuigwa...


ametuzuga kupima macho muhimbili wakati siku hizi IKULU wana hospitali very special mfano wa lugalo ..ni wazi kuwa ziara ya jk muhumbili juzi ilikuwa ni zuga tu kwa wananchi...kwani angeenda kwenye ile designated hospital yetu pale ...angepata huduma hiyo bila kuleta usumbufu wowote...

zaidi sasa huyoooooooooo NEW YORK ,MAREKANI ameondoka muda sio mrefu ...huko pesa inaenda kuteketea buree.....
 
Sasa tunasubiri tamko la Rais la kupiga marufuku viongozi wa serikali kukimbilia nje ya nchi kwa matibabu na check up hata wakiumwa mafua tu. Asipotoa tamko tutajua ni usanii wake wake tu.
 
Hakwenda kutibiwa macho, bali alienda kuchange lensi ya miwani yake maana ilikuwa imeisha. Habari ndio hiyo!!!
 
Hakwenda kutibiwa macho, bali alienda kuchange lensi ya miwani yake maana ilikuwa imeisha. Habari ndio hiyo!!!

Is it simple like that? Si angeweza tu hata akamtuma mfanyakazi yeyote wa ikulu akamchukulie!

This sounds more of politics...
 
Ingewezekana kabisa kuimarisha taasisi zetu za ndani lakini kuna huduma nyingi tu muhimu zisizo weza kupatikana hapa mpaka uende nje.Kama yalivyo mambo mengine, hatujaamua bado kuwa na huduma bora za afya.
 
unapokuwa na viongozi ambao hawafanyi kitu cha maana chochote kikaonekana na jamii miaka nenda rudi lazima wanachi wajitokeze na kuona kitu kama hiki cha raisi kutibiwa hospitali kuu ya taifa ni "big deal" na kumpa sifa nyingi.mi viongozi inapishana tuu hawaachi historia yoyote ya maana mabayo inaweza kuongezwa kwenye vitabu vyetu vya kumbukumbu zaidi ya tarehe walio pewa huongozi na kutoka.what is MKAPA LEGACY THAT WE R PROUD OF TODAY OR WE CAN TELL OUR GRAND KIDS IN FUTURE? WHAT WILL BE JK LEGACY I KNOW HE STILL GOT 5 BONUS YEARS COMING TO WASTE BUT I DONT SEE ANYTHING COMING FROM HIM EITHER ZAIDI YA ASIMILIMIA 80 ZA KURA ALIZOPATA KWENYE BOGUS ELECTIONS ZETU?
 
Eti kiwete atibiwa Muhimbili !!!!Hivi kweli wabongo wamekuwa mabunuwasi kiasi hichi ?hata akili zinakuwa zipo na uvivu wa kufukiria ?poleni sana endeleni hivyo hivyo.
 
Mkuu JokaKuu umenikuna hapo!

Halafu hivi JK hajaenda Geneva kwenye mkutano wa Climate Change? Au kaona aibu safari hii katuma wawakilishi?

Nilipata habari kuwa zaid ya viongozi wa kitanzania 60 walikuwa wana mpango wa kwenda ila donors wetu wakawa wamestuswa na hilowakawa wanaiwekea ngumu Sirikali sasa sijui kama walienda
 
Kwa kweli nimefurahishwa sana na kitendo hiki cha Rais kuoonyesha kuwa anathamini huduma za afya zitolewazo na taasisi zetu.

Imekuwa kawaida ya viongozi wetu na familia yao kwenda Ulaya kwa gharama za serikali kwa ajili ya huduma za afya nyingine zikiwa ndogo sana na nyingine zinazoweza kuepukika kwa kubadili life style zao.

Jamani jamani mbona tunasahau mapena hivi, mmesahau tumekariba UCHAGUZI JAMA!!!
 
Mkuu JokaKuu umenikuna hapo!

Halafu hivi JK hajaenda Geneva kwenye mkutano wa Climate Change? Au kaona aibu safari hii katuma wawakilishi?
Kitengo kinachohusika na suala lazima la mazingira kiko chini ya ofisi ya makamu wa rais na ndiyo maana Dr.Shein yuko Geneva kwaajili hiyo na Alhamisi ya wiki hii atahutubia mkutano huo.
 
Kwani ye nani ila wabongoooo kujishusha mhhhh angekuwa hatakiwi kutibiwa mhimbiki basi hata nchi angehama
 
Back
Top Bottom