Mr Makunduchi
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 996
- 491
Mkuu wajinga ndio waliwao washasahau tezi dume ilikuwa muhimbiliEti kiwete atibiwa Muhimbili !!!!Hivi kweli wabongo wamekuwa mabunuwasi kiasi hichi ?hata akili zinakuwa zipo na uvivu wa kufukiria ?poleni sana endeleni hivyo hivyo.