Kikwete atetea marekebisho ya Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani

Kikwete atetea marekebisho ya Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani

Elias Msuya

Senior Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
173
Reaction score
671
Rais mstaafu Jakaya Kikwete ametetea marekebisho ya Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani ya mwaka 2024 akihoji, "Hivi ni kweli kwamba, sheria zetu zinazohusu uchaguzi ni mbaya sana kiasi kwamba haziwezi kusimamia mchakato wa uchaguzi mwaka huu?"
Ameyasema hayo leo Juni 21 katika ufungufu wa Kongamano la kitaifa la Sheria jijini Dar es Salaam.
 
Rais mstaafu Jakaya Kikwete ametetea marekebisho ya Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani ya mwaka 2024 akihoji, "Hivi ni kweli kwamba, sheria zetu zinazohusu uchaguzi ni mbaya sana kiasi kwamba haziwezi kusimamia mchakato wa uchaguzi mwaka huu?"
Ameyasema hayo leo Juni 21 katika ufungufu wa Kongamano la kitaifa la Sheria jijini Dar es Salaam.
View attachment 3377661
Atuambie ule upuuzi wa Serikali za mitaa kwanini aliunyamazia? ana masilahi gani na yale mauaji ya Wagombea wa Upinzani?
 
Hivi ni kweli kwamba, sheria zetu zinazohusu uchaguzi ni mbaya sana kiasi kwamba haziwezi kusimamia mchakato wa uchaguzi mwaka huu?"
Kikwete , sitaki nikutukane, lakini unatupeleka kwenye angle ya kukutukana. Kwa akili ya kuzaliwa tu , hata ya lofa , Mwenyekiti wa Yanga club anakubalika akawa refa wa mechi kati ya Yanga na Simba?
Riziwani anaweza kuwa Hakimu ya kesi yako wewe Kikwete na Salma? atatenda uamuzi wa haki na wenye akili wakubali uamuzi huo?
 
Rais mstaafu Jakaya Kikwete ametetea marekebisho ya Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani ya mwaka 2024 akihoji, "Hivi ni kweli kwamba, sheria zetu zinazohusu uchaguzi ni mbaya sana kiasi kwamba haziwezi kusimamia mchakato wa uchaguzi mwaka huu?"
Ameyasema hayo leo Juni 21 katika ufungufu wa Kongamano la kitaifa la Sheria jijini Dar es Salaam.
View attachment 3377661
Yes, JK Yupo sahihi sana.
nadhan vibaka na matepeli wa siasa tu ndio leo wanaona sheria za uchuguzi ni mbaya mno, hasa baada ya kujikuta hawana ajira kwa muda mrefu sana na mambo yanawawia vigumu kufanya comeback 🐒
 
Mwaka 2020 kura za kumchagua magufuli na wagombea wengine wa.ccm KURA zilipigwa sikumbili kabla ya siku Ya UCHAGUZI ( Naweza kuthibitisha hili) ni ccm MKWAJUNI DAR HAPO
Walikusanywa watt toka mitaani kwenda kupiga KURA waliisha WALI MAHARAGWE Badala ya kuwapa 5000 zao kama walivyoahidi.
Kule Kasulu kwenye jumba la maendeleo. Nilishudia wasimamizi wakisokomeza KRA Kwenye mabox usiku wa saa 9
Wilayani kote. Wasi.amizi wa uchaguzi waalihiriki kwenye wiziwakura na mbinu ilikuwamoja kuonesha kwamba walikuwa TISS walishiriki
Jakaya kikwete unaishi wapi???
 
Rais mstaafu Jakaya Kikwete ametetea marekebisho ya Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani ya mwaka 2024 akihoji, "Hivi ni kweli kwamba, sheria zetu zinazohusu uchaguzi ni mbaya sana kiasi kwamba haziwezi kusimamia mchakato wa uchaguzi mwaka huu?"
Ameyasema hayo leo Juni 21 katika ufungufu wa Kongamano la kitaifa la Sheria jijini Dar es Salaam.
View attachment 3377661
Na kwanini wanaalikaha watu wenye zero knowledge in law/legal field?? of all intellectuals in law, wamemuona huyu?
 
Ninyamaze mie, maana bado ugali na pitiku nataka sana tyuuh.

Ila wanatia hasira, bas tyuuh. Lol
Hivi pitiku ndio ile mboga ya majani ya maboga au ni ile mboga itokanayo na majani ya maharage?

Kwa wilaya ya Songea kwa wangoni wanaita Pitiku kama sijachanganya ni majani yatokanayo na mboga ya maboga

Kwa Mbeya kule Tukuyu kwa wanyakyusa wanaita nazani wanaiita sijui Nguniani ile mboga ya majani ya maharage

Hebu nisahihidhe mkuu,Nimeishi mikoa mingi nachanganya mambo

Pitiku ni mboga itokanayo na majani gani?
 
Rais mstaafu Jakaya Kikwete ametetea marekebisho ya Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani ya mwaka 2024 akihoji, "Hivi ni kweli kwamba, sheria zetu zinazohusu uchaguzi ni mbaya sana kiasi kwamba haziwezi kusimamia mchakato wa uchaguzi mwaka huu?"
Ameyasema hayo leo Juni 21 katika ufungufu wa Kongamano la kitaifa la Sheria jijini Dar es Salaam.
View attachment 3377661
Acheni kujitoa akili aisee,wakati iko wazi sheria zetu za uchaguzi ni mbovu na haziwezi kutupa viongozi wanaowajibika kwa wananchi zaidi ya kujipendekeza(chawa)tu.
 
Back
Top Bottom