Mtz,
Hizi ni pesa ambazo mabosi wa vitengo hutengewa kwa ajili ya CSR so hata kama asingechangia huko angezipeleka sehemu nyingine au kuzirudisha wizarani (note bado miezi mitatu) fedha zote zilizo bakia inatakiwa zirudishwe hazina!
Cha msingi ni kujiuliza, uchangiaji wa madarasa was the only best priority ya huyu mkuu?
Kwa wale waiomjua jina lake vizuri na kumchanganya na watu wengine, Jina lake huyu jamaa ni ni Jayantkumar Chandubhai Patel
na ana passport ya ki british.
Najaribu ku post picha yake haikubali. Embu nielekezeni.
Ninayo sasa nimeshindwa kuipaste kwenye hii msg.
Kikwete is still embracing Jeetu Patel, to the extent of gracing his fundraiser despite the recent turn of events.I wonder what message will this send to law enforcement officers who are supposed to go after somebody like Jeetu Patel.
[media]http://bp1.blogger.com/_7ub-6wAldd4/R8lrZTBtZJI/AAAAAAAABLA/Bu2-Sqt-CjM/s1600-h/JEETU+PATEL.jpg[/media]
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza mkewe Mama Slama Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na MaendeleoWAMA kwa kuchangia shilingi milioni moja katika mfuko wa elimu wa wilaya ya Bagamoyo wakati wa harambee iliyofanyika katika hoteli ya Movenpick jijini Dar es Salaam Ijumaa jioni.Katika Harambee hiyo zaidi ya shilingi milioni tisa zilichangwa.Katikati ni Mwenyekiti wa harambee hiyo Bwana Jeetu Patel.
Pic and caption from BongoPix
Karibu sana
Pili acha kuwa mwonga, hawa akina Patel tokea lini wakawa wazaliwa wa Bagamoyo bwana? Tafuta njia nyingine ya kutetea haya Mafisadi, sio hii
Hivi umaskini gani una nafuu?
1, Akili?
2,Pesa?
Mkuu Allah's Slave
Heshima mbele nadhani wewe wamjua sana huyu bwana nasikia anaongea kikwele? hebu niambie
Ngoja niibandike hapaI NOW BRING YOU THE ONLY PICTURE OF JEETU PATEL THAT EXIST.
A RARE PICTURE INDEED. sO RARE THAT I CHALLENGE ANY ONE TO FIND IT.
REMEBER IF YOU SEE THIS PIC ANYWHERE REMEMBER IT CAME FROM HERE AND FROM ME...........
HIS REAL NAME IS
Jayantkumar Chandubhai Patel
Oops kumbe ile habari siku zile za hekalu kujengwa ni valid ? Maana watu waliipinga sana leo naona inakuwa kweli .Haya tuendelee .Mke wa Rais kajaa ma gold kila mahali Watanzania wanakufa njaa Pemba .
Mkuu Allah's Slave
Heshima mbele nadhani wewe wamjua sana huyu bwana nasikia anaongea kikwele? hebu niambie
Hivi umaskini gani una nafuu?
1, Akili?
2,Pesa?
Bora kutokua na Pesa upate Akili
Ni umaskini wa AkiliHivi umaskini gani una nafuu?
1, Akili?
2,Pesa?
I NOW BRING YOU THE ONLY PICTURE OF JEETU PATEL THAT EXIST.
A RARE PICTURE INDEED. sO RARE THAT I CHALLENGE ANY ONE TO FIND IT.
REMEBER IF YOU SEE THIS PIC ANYWHERE REMEMBER IT CAME FROM HERE AND FROM ME...........
HIS REAL NAME IS
Jayantkumar Chandubhai Patel