Pundit
JF-Expert Member
- Feb 4, 2007
- 3,733
- 120

Kikwete is still embracing Jeetu Patel, to the extent of gracing his fundraiser despite the recent turn of events.I wonder what message will this send to law enforcement officers who are supposed to go after somebody like Jeetu Patel.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza mkewe Mama Slama Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na MaendeleoWAMA kwa kuchangia shilingi milioni moja katika mfuko wa elimu wa wilaya ya Bagamoyo wakati wa harambee iliyofanyika katika hoteli ya Movenpick jijini Dar es Salaam Ijumaa jioni.Katika Harambee hiyo zaidi ya shilingi milioni tisa zilichangwa.Katikati ni Mwenyekiti wa harambee hiyo Bwana Jeetu Patel.
Pic and caption from BongoPix
Last edited by a moderator: