Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
In just few days (if no one acts and if we are not too late), some very high level PPF officials (a group of less than 10 individuals) will receive from fund millions of Tanzanians shillings (over a billion in total) in what is seen as another round of rewarding "themselves" for a job "well done".
Since the first reports of the massive embezzlement under the auspice of "an Endowment Scheme" came to light almost three years ago I have been following from afar hoping that our leaders and law enforcement agents will take swift action to stop these acts of blasphemous abuse of power and office. So far no one dared to act.
It has taken me sometime to collect enough evidence (Asante vi-nzi) to warrant leveling unhindered and unqualified accusations of high level corruption in Tanzania's Parastatal Pension Fund. The overwhelming evidence collected so far leave no doubt to an independent mind that a group of well connected individuals within the fund and outside it have created a mechanism that guarantees them a systematic siphoning of public monies routinely.
If this system will work as it has been designed to work; then the same group of people (may and newer ones) will get new checks worthy millions of Tanzanian shillings as stated above. The last time (in 2008 as the following invoices show) the individuals named elsewhere (here in JF and in other news outlets) took home ....
Exclusive Report will follow in few days after the next round is completed or if somebody acts to stop it. After this report I will retire from this kind of investigative political activism (including popular columns in some major newspapers) after almost six years of a very emotional engagement in Tanzania's political arena. Over the years, I have created many friends to last a life time. Unfortunately, I have created many enemies to last a lifetime as well - some may be even in the after life. I don't know how long I'll be in that retirement before something push me back in the fight. Between now and then we have work to do.
Jana tumeanza kuangalia suala la malipo ya zaidi ya shilingi bilioni 1 kwa wakurugenzi sita ndani ya shirika la Pensheni la Mashirika ya Umma (PPF). Tuliona baadhi tu ya invoices za malipo kwa Wakurugenzi hao. Malipo hayo toka mwanzo yalizua mgogoro ndani ya PPF baada ya aliyekuwa Mhasibu Mkuu kutotaka kulipa na kujikuta akigongana na viongozi wake wa juu (ambao walikuwa walengwa wa malipo hayo). Pamoja na nia yake njema ya kujaribu kuliokolea shirika fedha hizo na kujaribu kusimamia utawala bora Mhasibu huyo aliondolewa makao makuu na baada ya kumrusha huko na huko amejikuta akirushwa Mbeya ambako juhudi za mwisho sasa hivi zinataka kuhakikisha anatolewa kabisa kwenye Shirika. Jitihada zake hazijapata mtetezi ndani ya serikali. Kukosekana kwa sheria ya kuwalinda Whistleblowers ni kizuizi kikubwa kwa watu kama hawa kujitokeza hadharani kwani ndio wanapata makali ya hasira ya viongozi wanaoumbuliwa.
Kutokana na mgongano uliotokea baada ya malipo kufanyika Shirika ikabidi liitishe Kikao cha ndani na ajenda ikiwa ni kujadili ripoti ya Wakaguzi wa Nje waliotumwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali. Barua hii sehemu kubwa inaelezea kile ambacho wakaguzi hao walikipata na mapendekezo yao.
Wakaguzi wa nje (External Auditors) wa TAC Associate wanaofanya Audit kwa niaba ya Controller and Auditor General (CAG) wameeleza kuwa malipo hayakuwa sahihi. Walipeleka ukaguzi wao kwa Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha Gray Mgonja ambaye ni Mwenyekiti wa Bodi PPF ambaye hakuufanyia kazi - labda kutokana na matatizo yake mwenyewe. Pia walipeleka nakala kwa CAG. Angalia ukurasa wa nane wa nakara ya ripoti ya TAC
Ukipitia ripoti ya Mkaguzi Mkuu ya 2007/2008 (kipindi cha Malipo haya) huwezi kuona yale ambayo yanatajwa katika maoni ya wakaguzi hawa ambayo kama yangepewa uzito unaostahili leo hii (baada ya malipo mengine kufanyika kama inavyotarajiwa) tusingekuwa tunayazungumzia.
Ripoti Kamili Inakuja siku chache zijazo - Kurasa karibu 50 ambazo zitashtua watawala wetu. Tukitoka hapa tunaenda kule kwingine ili tusije kuonekana tunaing'ang'ania PPF!
Kundi hilo lililolipwa kiasi hicho ni hawa wafuatao na kiasi cha fedha ambazo walijilipa kama sehemu ya mafao yao kwa mwaka 2008.
1. Baduru Msangi -Mkurugenzi wa Pensions Tshs. 220,000,000 (Milioni 220)
2.Hossea Kashimba -Chief Internal auditor Tshs. 220,000,000 (Milioni 220)
3. Michael Mjinja- Director of Commercial Services-Tshs 172, 000,000(Milioni 172)
4. Charles Chenza-Director of Investiments- Tshs 172, 000,000 (Milioni 172)
5. Martin Mmari Director of Finance Tshs. 172,000,000 (Milioni 172)
6. Carina Wangwe-Director of computer Services. Tshs. 130,000,000 (Milioni 130)
Mwaka 2010 Mkurugenzi wa shirika hilo Bw. Erio alilipwa shilingi 520,000,000 yaani shilingi Milioni 520! Hii ni sasa na nusu bilioni!
Kwa kadiri ya kwamba Serikali itaendelea kukaa kimya bila kuonesha kuchukua hatua tutaendelea kufunua hapa JF sakata hili kwa kuendelea kuweka hadharani nyaraka mbalimbali zinazohusiana na utendaji mbovu katika mashirika haya ya hifadhi ya jamii... Hatua zozote za kuchunguza PPF ni muhimu kuhusisha mifuko yote mingine. Natumaini Kamati ya Bunge ya Mashirika ya Umma itakuwa na la kusema japo sijui kwanini itakuwa hivyo sasa kwani jambo hili lina miaka mitatu sasa na hasa tukizingatia kuwa malipo mengine yatakuwa yamefanyika jana na mengine kufanyika leo huku mmoja wa waliolipwa safari iliyopita atadai kulipwa tena as "end of employment" kwani anakwenda Bodi mpya kusimamia Mifuko ya Hifadhi ya Jamii.
Since the first reports of the massive embezzlement under the auspice of "an Endowment Scheme" came to light almost three years ago I have been following from afar hoping that our leaders and law enforcement agents will take swift action to stop these acts of blasphemous abuse of power and office. So far no one dared to act.
It has taken me sometime to collect enough evidence (Asante vi-nzi) to warrant leveling unhindered and unqualified accusations of high level corruption in Tanzania's Parastatal Pension Fund. The overwhelming evidence collected so far leave no doubt to an independent mind that a group of well connected individuals within the fund and outside it have created a mechanism that guarantees them a systematic siphoning of public monies routinely.
If this system will work as it has been designed to work; then the same group of people (may and newer ones) will get new checks worthy millions of Tanzanian shillings as stated above. The last time (in 2008 as the following invoices show) the individuals named elsewhere (here in JF and in other news outlets) took home ....
Exclusive Report will follow in few days after the next round is completed or if somebody acts to stop it. After this report I will retire from this kind of investigative political activism (including popular columns in some major newspapers) after almost six years of a very emotional engagement in Tanzania's political arena. Over the years, I have created many friends to last a life time. Unfortunately, I have created many enemies to last a lifetime as well - some may be even in the after life. I don't know how long I'll be in that retirement before something push me back in the fight. Between now and then we have work to do.
Jana tumeanza kuangalia suala la malipo ya zaidi ya shilingi bilioni 1 kwa wakurugenzi sita ndani ya shirika la Pensheni la Mashirika ya Umma (PPF). Tuliona baadhi tu ya invoices za malipo kwa Wakurugenzi hao. Malipo hayo toka mwanzo yalizua mgogoro ndani ya PPF baada ya aliyekuwa Mhasibu Mkuu kutotaka kulipa na kujikuta akigongana na viongozi wake wa juu (ambao walikuwa walengwa wa malipo hayo). Pamoja na nia yake njema ya kujaribu kuliokolea shirika fedha hizo na kujaribu kusimamia utawala bora Mhasibu huyo aliondolewa makao makuu na baada ya kumrusha huko na huko amejikuta akirushwa Mbeya ambako juhudi za mwisho sasa hivi zinataka kuhakikisha anatolewa kabisa kwenye Shirika. Jitihada zake hazijapata mtetezi ndani ya serikali. Kukosekana kwa sheria ya kuwalinda Whistleblowers ni kizuizi kikubwa kwa watu kama hawa kujitokeza hadharani kwani ndio wanapata makali ya hasira ya viongozi wanaoumbuliwa.
Kutokana na mgongano uliotokea baada ya malipo kufanyika Shirika ikabidi liitishe Kikao cha ndani na ajenda ikiwa ni kujadili ripoti ya Wakaguzi wa Nje waliotumwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali. Barua hii sehemu kubwa inaelezea kile ambacho wakaguzi hao walikipata na mapendekezo yao.
Wakaguzi wa nje (External Auditors) wa TAC Associate wanaofanya Audit kwa niaba ya Controller and Auditor General (CAG) wameeleza kuwa malipo hayakuwa sahihi. Walipeleka ukaguzi wao kwa Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha Gray Mgonja ambaye ni Mwenyekiti wa Bodi PPF ambaye hakuufanyia kazi - labda kutokana na matatizo yake mwenyewe. Pia walipeleka nakala kwa CAG. Angalia ukurasa wa nane wa nakara ya ripoti ya TAC
Ukipitia ripoti ya Mkaguzi Mkuu ya 2007/2008 (kipindi cha Malipo haya) huwezi kuona yale ambayo yanatajwa katika maoni ya wakaguzi hawa ambayo kama yangepewa uzito unaostahili leo hii (baada ya malipo mengine kufanyika kama inavyotarajiwa) tusingekuwa tunayazungumzia.
Ripoti Kamili Inakuja siku chache zijazo - Kurasa karibu 50 ambazo zitashtua watawala wetu. Tukitoka hapa tunaenda kule kwingine ili tusije kuonekana tunaing'ang'ania PPF!
Kundi hilo lililolipwa kiasi hicho ni hawa wafuatao na kiasi cha fedha ambazo walijilipa kama sehemu ya mafao yao kwa mwaka 2008.
1. Baduru Msangi -Mkurugenzi wa Pensions Tshs. 220,000,000 (Milioni 220)
2.Hossea Kashimba -Chief Internal auditor Tshs. 220,000,000 (Milioni 220)
3. Michael Mjinja- Director of Commercial Services-Tshs 172, 000,000(Milioni 172)
4. Charles Chenza-Director of Investiments- Tshs 172, 000,000 (Milioni 172)
5. Martin Mmari Director of Finance Tshs. 172,000,000 (Milioni 172)
6. Carina Wangwe-Director of computer Services. Tshs. 130,000,000 (Milioni 130)
Mwaka 2010 Mkurugenzi wa shirika hilo Bw. Erio alilipwa shilingi 520,000,000 yaani shilingi Milioni 520! Hii ni sasa na nusu bilioni!
Kwa kadiri ya kwamba Serikali itaendelea kukaa kimya bila kuonesha kuchukua hatua tutaendelea kufunua hapa JF sakata hili kwa kuendelea kuweka hadharani nyaraka mbalimbali zinazohusiana na utendaji mbovu katika mashirika haya ya hifadhi ya jamii... Hatua zozote za kuchunguza PPF ni muhimu kuhusisha mifuko yote mingine. Natumaini Kamati ya Bunge ya Mashirika ya Umma itakuwa na la kusema japo sijui kwanini itakuwa hivyo sasa kwani jambo hili lina miaka mitatu sasa na hasa tukizingatia kuwa malipo mengine yatakuwa yamefanyika jana na mengine kufanyika leo huku mmoja wa waliolipwa safari iliyopita atadai kulipwa tena as "end of employment" kwani anakwenda Bodi mpya kusimamia Mifuko ya Hifadhi ya Jamii.