BONGOLALA
JF-Expert Member
- Sep 14, 2009
- 16,511
- 11,913
Jamaa huyu si ndie nasikia kamjengea JK pale Msoga Chalinze?
Subhash Patel ndiye kamjengea JK jumba msoga ndiye mwenye jengo la umoja wa vijana,maeneo ya viwanda mikocheni kanunua toka kwa mengi na Estim Construction.Huyu mleta habari haeleweki maana kichwa cha habari kingine ndani kaandika Jeetu Patel wakati siye huyo.Huu ni uandishi kanjanja