Kikwete anamuogopa Andrew Chenge?

Kikwete anamuogopa Andrew Chenge?

hata china kwa miaka 5 iliyopita wameongezeka mabilionea lukuki.

Huko america kina dick chen,karl love,bush etc wamepiga madeal ya hatari na halibutorn yao na wamekua matajiri wakubwa na bado wamarekani wanakamuliwa kodi hata kama anaishi nje ya marekani bado anatakiwa kulipa kodi.
Huko kenya wadada kufungua grocery tu leseni ksh 50,000 ambayo ni sawa na milioni kwa hapa,wakati hapa watu wanafungua na kufanya biashara bila kulipa leseni wala kodi,hakuna maendeleo kama kodi hailipwi.

Acha kuandika upuuzi wewe andika ukiweka na ushahidi sio malipo ya buku saba yakufanye ushirikishe m***lio kwa kila bandiko kuliko kutumia akili.
 
Zimewauma kodi za pombe kupandishwa, semeni ukweli.
 
ungeanza kujiuliza kwanza hao wananchi wa bariadi waliompitisha kwenye kura za maoni na baadaye bila aibu wakamchagua kuwa mbunge wao. sasa kikwete angewakataza wananchi wasimchague?
ni vizuri ukaangalia tatizo la msingi.
Rombo walifanya kweli baada ya kuona Mramba ni mwizi wakampiga chini na kumchagua selasini.
Bariadi sasa ni mkoa kwa taarifa tu,na miundo mbinu inawekwa,barabara,umeme,na hata maji ya victoria yatafika
 
Hakuna kinacho tuuma ulisha sikia tunalalamika, wanyaji ndiyo wachangiaji wakubwa wa kodi wewe kama hupigi mambo yetu tuache tu
 
BBC wants you to pay TV
licence fee even if you
don’t own a set, as shows
go on iPlayer for longer
Lord Hall, the BBC’s director-
general, wants to extend the
£145.50 annual fee in response
to the growing popularity of
iPlayer
Picture: GEOFF PUGH
Twitter Facebook Share
BBC’s director-general looks to
extend the £145.50 annual TV
licence fee in response to
iPlayer's growing popularity
Householders could be required
to pay the television licence fee
even if they do not own a
television, under proposals being
discussed by the BBC.
Lord Hall, the BBC’s director-
general, wants to extend the
£145.50 annual fee in response
to the growing popularity of
iPlayer, which enables viewers to
watch programmes on home
computers, mobile phones and
tablet devices.
 
Huo uoga unaupimaje??? Chenge hayuko chini ya mamlaka ya rais hawezi mfanya chochote angekuwa waziri angemtimua alishafanya hivyo sawa huu uoga we unaupimaje??? Je akimuona anammkimbia?

Kweli user name zina ukweli aseeeeeeee!!!!!!!
Kweli delusion
 
Acha kuandika upuuzi wewe andika ukiweka na ushahidi sio malipo ya buku saba yakufanye ushirikishe m***lio kwa kila bandiko kuliko kutumia akili.
sema jingine,watu tuko full nondo bana,haturopoki.
 
Rejea kauli ya Chenge kwamba dollar 1,000.000 ni vijisent maana yake wapo wenye pesa zaidi ya hizo zake lakini hamusemi,tafakari chukua hatua.
 
Ukitazama jinsi Chenge anavyo waudhi wananchi hadi kuichukia serikali
unajiuliza why anaogopwa namna hiii

Kikwete hawawezi kumfanya lolote huyu Chenge?

Kwanza watu walilamika asiwekwe kwenye baraza la mawaziri
Kikwete akamuweka mwisho Chenge bila woga wala haya akaliuza shirika la reli kwa
wawekezaji vimeo wa kutoka India na kila mtu anajua kilichotokea hadi mwisho serikali
imelirudisha shirika hilo kwa umma....

halafu Chenge akaenda kufanya fitina akateuliwa Mwenyekiti wa Kamati bungeni bila kupigiwa kura
yaani ni uteuzi tu wa Spika kinyume na taratibu na sasa anatumia huo uenyekiti kuzalisha kero mpya

za kila mara kwa Watanzania...hasa kupandisha kodi zisizo na kichwa wala miguu
mfani hii kodi ya simcard licha ya mawaziri wa Kikwete kama January Makamba kuipinga
Chenge ameilazimisha iwepo na mwaka huu anairudisha tena na kodi zingine kupandisha,,,

swali la kujiuliza ni kwa nini huyu mtu Chenge anaogopwa ndani ya CCM hadi na mawaziri na Kikwete pia?

why is Chenge still powerful ndani ya CCM? why Kikwete anamuogopa?
@The Boss somo kuanzia ukurasa wa 66 wa rasimu hii uone dawa inayopendekezwa kwa wakwepa kodi
 

Attachments

ccm imetunga sheria ya presumptive tax payers makusudi i
li isiwaudhi wapiga kura,wanajua kuwa wanapoteza kodi nyingi kwa hawa watu lakini hawawezi kuwatoza sababu hakuna maendeleo in return.
 
Mziki wa Mh. Chenge muulize hata Spika wa viwango anaujua, ule unga unga mweupe kwenye viti Bungeni - habari ndiyo hiyo. Chenge si wa kuparamia!!
 
Chenge alikuwa mwanasheria mkuu anajua madudu yao yote,ndio maana hatakumvua gamba walishindwa
 
Toka Kikwete awe Rais hawa wamekuwa mabilionea
1. Lowassa
2.Chenge
3.Ngeleja
4.Riziwani
5.Karamgi
6.Maswi na wengineo

why watu walipe kodi zaidi?

Waongeze JAIRO , LUHANJO na msaidizi wa Vasco Dagama MTAWA!!!
 
Ni kweli Kodi inatumika kinyume na matarajio na hapo ndipo kwenye tatizo kubwa, nini kifanyike ? Cha kufanya si watu kuacha kulipa Kodi kisa hazileti maendeleo ,bali sasa umefika mda wa kuweka Uwazi juu ya ukusanyaji Kodi na matumizi ya Kodi ibuniwe njia za kisayansi kuziba mianya ya wajanja kupiga.
Sijasema watu waache kulipa kodi, la hasha!
Cha kufanya:
1. Serikali iombe radhi kwa kutumia kodi vibaya
2. Serikali ikusanye kodi kwa yeyote na ifute misamaha yote na kureview sehemu ambazo misamaha ina faida kwa mwananchi
3. Serikali iache kuwaibia wananchi kwa mgongo wa kodi. Kodi zipo nyingi mno kwa mfano mfanyakazi Analipa:
  • PAYE anapolipwa mshahara
  • VAT anaponunua karibia kila kitu
  • EWURA/REA katika umeme/mafuta
  • et al
Kodi lazima ziwe na utaratibu kuepuka double payments kwa baadhi ya makundi.

Na mwisho na kubwa kuliko yote, kodi zitumiwe kama ilivyokusudiwa, yaani kuleta maendeleo.

Kumbuka kodi sio deni ambalo mwancnhi anadaiwa na serikali bali ni pesa ambayo wananchi wanaikusanya kujitatulia matatizo na serikali anakuwa tu "trustee" wa kusimamia wananchi wanalolitaka.

Kinyume na hapo tarajia ukwepaji wa kutosha tu wa kodi!
 
Wanamuogopa Chenge kwasababu kwa kukaa kwake muda mrefu kama Attorney General anajua uchafu mwingi sana wa viongozi wa chama na serikali na hasa uchafu wa mkweree kuanzia jinsi nalivyohusika na ufisadi wa IPTL na mazagazaga yake mengine mengi hivyo wanaogopa wakimuudhi asije akamwaga mboga!!!
 
Zimewauma kodi za pombe kupandishwa, semeni ukweli.

Kutegemea kupata mapato kutoka kwenye kodi za pombe ni kukosa ubunifu; ikitokea hao wanywaji wanaamua kuwa waislam safi na kuacha kugida serikali itapata wapi mapato? Kumbukeni ukimkamua sana ng'ombe mwishowe hatatoa maziwa bali damu!!!
 
Hakuna kinacho tuuma ulisha sikia tunalalamika, wanyaji ndiyo wachangiaji wakubwa wa kodi wewe kama hupigi mambo yetu tuache tu

Waambie hao, watu wameanza kunywa toka enzi hizo na maisha yanaendelea.Watu tunalalamika serikali haina watu weledi wa kupanua wigo wa kukusanya mapato.Pombe watu tutaendelea kunywa na serikali itaendelea tu kuwa na nakisi ya bajeti.
 
Back
Top Bottom