Kikwete akiachwa huko CCM mtakuja kujuta. Mna puuza wazalendo wakina Warioba na kumsililiza huyu mzeee mbinafsi atawamaliza. Kikwete anatafuta manufaa yake na familia yake tu hajali lingine.
Msishangae yule Mama Samia wa 2021-2022 yuko wapi ametekwa na team kikwete . Yeye anataka tu awaache familia yake na ndugu zake kwenye mikataba ya bandari, gas na miradi mingine hajali nchi wala nini
Mama ajue akianza kurudi kwenye maridhiano huyu kukwete na mafia yake msije kushangaa wanasema Mama kaugua ghafla na hawezi kuendelea na Uraisi ili waweke watu wao. Yaani hii nchi imetekwa
Msishangae yule Mama Samia wa 2021-2022 yuko wapi ametekwa na team kikwete . Yeye anataka tu awaache familia yake na ndugu zake kwenye mikataba ya bandari, gas na miradi mingine hajali nchi wala nini
Mama ajue akianza kurudi kwenye maridhiano huyu kukwete na mafia yake msije kushangaa wanasema Mama kaugua ghafla na hawezi kuendelea na Uraisi ili waweke watu wao. Yaani hii nchi imetekwa