Jk mdini sana, ametoa muislam ameweka mkristo
Ndio maana halisi ya kusimama kwenye TAALUMA yako. Ikibidi kuondoka, kuondolewa inakuwa hivo. Kwa nini uchafuliwe na escrow kama Prof Muhongo?kwenye siasa za Tz ukisimamia taaluma hukai hata kidogo. Lazima ufuate siasa za chama tawala.
We mjinga sana manina zako huo udini kaa nao kwako.Jk mdini sana, ametoa muislam ameweka mkristo
Hatimaye mteuzi ni waziri mwenye dhamana ya nishati.Nafasi za board members zilitangazwa na watu waka-apply
Manyani mzee wako kagame.... Manyani? Au Masokwe??
Mimi hata sielewi Rais atamteua nani asiye na DINI!We mjinga sana manina zako huo udini kaa nao kwako.
Ndio maana halisi ya kusimama kwenye TAALUMA yako. Ikibidi kuondoka, kuondolewa inakuwa hivo. Kwa nini uchafuliwe na escrow kama Prof Muhongo?
Kwa kweli Tido ni MTAALUMA sana. Mwingine ni Jenerali Ulimwengu.Hapo nimekuelewa. Ila wakati meinginr njaa inasumbua naona. Wengine ni woga wa kufanyiwa kitu mbays. Huoni Tido Mhando? hakuteteleka mpaka wakamuondoa
Ila sasa ndo atakuwa vizuri maana amepata AZAM TV.
Hongera sana Dr. Manyahi. Mtaalamu wa umeme utokanao na radi.
kweni mteule dini ganiWe mjinga sana manina zako huo udini kaa nao kwako.
Ni hatari sana mkuu,umeme Wa radi tena...!?
Ni hatari sana mkuu,umeme Wa radi tena...!?
Jk mdini sana, ametoa muislam ameweka mkristo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, amemteua Dk.Mighanda Manyahi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO).
Kwa taarifa iliyotolewa leo na kwa vyombo vya habari -na kusainiwa na Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini ilisema ,kufuatia uteuzi huo,Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter -Muhongo amewateua Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa TANESCO .
Wajumbe wa bodi walioteuliwa ni Kissa Vivian Kilindu,Juma Mkobya,Dk.Haji Semboja,Shabaan Kayungilo,Dk.Mtesigwa Maingu,Bodi Mhegi,Felix Kabodya pamoja na Dk.Nyamajeje Weggoro.
Taarifa hiyo ilisema bodi hiyo imeanza kazi Januari 1 na itaishia Februari 31 Mwaka 2017
chanzo: ikulu
Dini ya nini? Dini itamsaidia yeye kutambika, kuzikana na nduguzake basi. Sisi huku tunamsubiri amalizie kazi iliyoanzishwa na Prof Muhongo ya kusambaza umeme vijijini.kweni mteule dini gani
Ili iweje jamani!hili jina halitatujuza kama ni muislamu au mkristo..
hili jina halitatujuza kama ni muislamu au mkristo..