Kikwete amteua Dr. Mighanda Manyahi M/kiti Bodi ya TANESCO

Mwikimbi

JF-Expert Member
Mar 8, 2008
1,762
825
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, amemteua Dk.Mighanda Manyahi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO).

Kwa taarifa iliyotolewa leo na kwa vyombo vya habari -na kusainiwa na Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini ilisema ,kufuatia uteuzi huo,Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter -Muhongo amewateua Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa TANESCO .

Wajumbe wa bodi walioteuliwa ni Kissa Vivian Kilindu,Juma Mkobya,Dk.Haji Semboja,Shabaan Kayungilo,Dk.Mtesigwa Maingu,Bodi Mhegi,Felix Kabodya pamoja na Dk.Nyamajeje Weggoro.

Taarifa hiyo ilisema bodi hiyo imeanza kazi Januari 1 na itaishia Februari 31 Mwaka 2017

Chanzo: Ikulu
 
atapiga ufisadi kwa muda gani kwa mujibu wa mkataba wao?
_nauliza tu
 
tutafute cv yake jamani.Uongozi hautaki proffessionalism saaana.Ni case ya administration zaidi.Kwenye idara na mafundi ndo kunahitaji maVolumes kichwani
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom