saidoo25
JF-Expert Member
- Jul 4, 2022
- 602
- 1,407
Waziri wa Nishati, Januari Makamba amenukuliwa akiitupia lawama bodi ya wakurugenzi na menejimenti ya TANESCO iliyopita kwamba ndio imehusika kuhujumu mradi wa Bwawa la kufua umeme la Julius Nyerere na kushindwa kukamilika kwa wakati kwa mujibu wa mkataba.
Kama itawapendeza wajumbe naomba tutajiwe majina ya hao wajumbe wa bodi ya TANESCO iliyopita na Menejimenti ili tuungane na Waziri Makamba kuwalaani kwa kutucheleweshea mradi huu mkubwa.
Kama itawapendeza wajumbe naomba tutajiwe majina ya hao wajumbe wa bodi ya TANESCO iliyopita na Menejimenti ili tuungane na Waziri Makamba kuwalaani kwa kutucheleweshea mradi huu mkubwa.