The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,080
uchizi na utaahira miafrika ndivyo tulivyo
Wandugu,
Mmeisikia hiyo???? Kuna kijana amesafiri kwa baiskeli kutoka wilayani Geita hadi Ikulu Dar es Salaam kumpongeza mhe. jk kwa kushinda kwa mara nyingine kiti cha urais. ITV wamemwonyesha kijana akiwa anamkabidhi mhe. jk bahasha ya kaki ya A4 sijui ilikuwa na nini ndani yake!!! Vipi wakuu, inaingia akilini hiyo????
Chanzo cha Habari: Taarifa ya Habari ya Saa 2 Usiku.
i like this ...huyu jamaa ...katoka kitunda .......acheni utani mwana hivi mnajuwa geita,,,ni mbali....yaani ni unatoka geita...sengerema....unavuka mv misungwi..unaingia mwanza...unaitafuta shinyanga ...tabora...singida..dodoma.....moro...[msoga-chalinze]..pwani..dar....its more than 1,200 km....kati kati kuna mapori..wanyama wakali..majambazi..milima na mabonde......
kwanini alipoanza matembezi hatukuambiwa ili watu angalau ...wamuunge mkono huko mabarabarani...na safari hiyo haata iweje ni lazima itumie siku 40 hadi 60..just assuming kila siku alikuwa anatembea kilometa 20 hadi 30...assuming hakuugua au kupata uchomvu uliopitiliza....tuacheni usanii jamani..
Wandugu,
Mmeisikia hiyo???? Kuna kijana amesafiri kwa baiskeli kutoka wilayani Geita hadi Ikulu Dar es Salaam kumpongeza mhe. jk kwa kushinda kwa mara nyingine kiti cha urais. ITV wamemwonyesha kijana akiwa anamkabidhi mhe. jk bahasha ya kaki ya A4 sijui ilikuwa na nini ndani yake!!! Vipi wakuu, inaingia akilini hiyo????
Chanzo cha Habari: Taarifa ya Habari ya Saa 2 Usiku.
Wewe umesema, sijui ni msukuma gani hyu, ktk hili siamini, ni familia ya nani itamruhusu afanye uzembe huo, sijui kama kuna ukweli, pengine kweli labda atakuwa ametokea kitunda tu, tena alikuja kuuza mayai akaona afanye usanii.The boy has got problem between his two ears; Badala angetumia huo muda na hizo nguvu constructive kupanda mahindi (Since mvua karibia zinaanza) kuliko ku - waste his energy, kama alitaka sana kumpokea angetuma sms..... Wastage of energy